Bilionea Laizer afanya sherehe kubwa ya kuuaga umaskini, waalikwa wamekula na kuvimbiwa

Kafara la ng'ombe sita damu yake inatosha kabisa kwa miaka 2 mfululizo bila kufanya tena
 
Ibada.....asikiae na afahamu

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Unamjua jiwe au unamsikia,uliza wenye maduka ya kubadilishia pesa walichofanywa
 
Huyo dingi ni fogo kitambo, hiyo ni kawaida yake (utaratibu wa kimaasai) kufanya sherehe. Hizo billions kaongezea tu kwenye billions mingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…