TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Muda kama huu nipo MAZINGIRA CENTER, nasikiliza mziki mzuri wa GATHO BEEVANS - AZALAKI AWA 🎢
hahaha Aisee halafu unajua huo wimbo Kuna jamaa yangu mmoja juzi tulikua tunajadili maswala ya hits za miaka ya 80's akawa anatafuta wimbo wa Papa Wemba Maria Valencia na huo Azalaki Awa ila akawa hajui msanii Wala wimbo ila akaniimbia melody kidogo nikajua huyo ni Ghatho Beevans tu akafurahi Sana tukaupakua Ile video na dancing stlye ikawachanganya vijana wakasema kumbe mziki wa zamani mtamu Hivi nikaishia kucheka maana washazoea takataka zao zisizokua na radha na zilizojaa matusi tu!
Kumbe mziki mzuri upo na unaishi!
 
Yaani mziki wa zamani na sasahivi ni kama usiku na Giza

Nimetoka kusikiliza ''Bane'' wa Oliver Ngoma halafu nikawaambia vijana flani waliozaliwa miaka ya 1995 kuwa sikuhizi hakuna hata bendi wala wapiga vyombo vya muziki...wakabaki kucheka

Nikaenda mbali zaisi kuwaambia kuwa kulikuwa na Mtu aliyeitwa Franco Lwambo Makiadi alishawahi kuunda na kuongoza bendi yenye wanachama 85 Zaire ya zamani na sasa DRC, tena Madilu System, Simaro ''Masiya'' Lutumba na Sam Mangwana wakiwa ndani

Nikazidi kuwaambia kuwa hao wazee walikuwa wanatunga wimbo kwa muda mrefu na wanaimba wakipokezana huku wakipiga gitaa, kinanda, na Vifaa vingine vingi mpaka filimbi na zeze.

Sasa kweli wimbo kama La jean wa Madilu system, Mamou wa Franco, Nadina, Nakei Nairobi au kokola ya Shela Mwana utaweza kulinganisha na nyimbo zipi za sasa kiutunzi??

Ifike mahali tuenzi na kuheshimu kazi za hawa wanamuziki na sio ushabiki tu wa matarumbeta, beats za kutengenezwa na matusi

Matusi sio muziki hata kama this rotten society ndio inapenda.

luambo makiadi Lucas Mobutu
 
cc: Wachagga wote na wapare wafanyao biashara
Halafu hawa watu zile BIASHARA KUBWA huwa hawafanyi. Huwa wanafanya BIASHARA NDOGO NDOGO yaani zile BIASHARA ZA REJA REJA na ukikuta wanafanya BIASHARA KUBWA ujue wameshika BIASHARA za watu wengine.

Na SERIKALI huwa inawatumia hawa watu wenyeji wa hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO kwenye kufanya BIASHARA ZA SERIKALI.

Ndio maana wenyeji wa hii mikoa huwa wanajiita ni WATEULE yaani SERIKALI YA TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ilipendekeza wenyeji wa hii mikoa miwili kuwa ni wafanyakazi wao katika BIASHARA ZA SERIKALI.

Na hata HAYATI MAGUFULI alipoingia madarakani, kitu cha kwanza alilalamika sana kuhusu huu mtindo wa SERIKALI YA TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kuwatumia wenyeji wa hii mikoa miwili ya ARUSHA na KILIMANJARO kwenye kufanya BIASHARA ZA SERIKALI na alipendekeza huo mtindo wa SERIKALI ufanywe kwa wenyeji wa mikoa yote inayopatikana TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ.

Lakini hawa wenyeji wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa wameshafahamu tangu siku nyingi na ndio maana na wao waliamua kuwatumia wale wale wenyeji wa hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO kwenye kufanya BIASHARA zao tangu kipindi cha uhujumu uchumi.

Lakini kwa kadri muda na nyakati zinavyobadilika hawa wenyeji wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanachukua makampuni yao ikiwemo HOTELI ZA KITALII kutoka kwa wenyeji wa hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO na hata kwa watu wengine wenye asili ya KIARABU, KIHINDI na KIZUNGU.

Na hapo ndio utaona kuwa hawa wenyeji wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA ndio walioshika UCHUMI WA TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ tofauti na SERIKALI YA TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ.
 
Hahaha we mtu mbishi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…