TANZIA Bilionea Mustafa Sabodo afariki dunia

Yani aliwapa hela cdm ya kuchimba visima? Leta hiyo taarifa ilipo.

Au sikiliza hapa useme ni wapi sabodo alitamka hivyo


View: https://youtu.be/ggLBDDb2MJc?si=31g4vmV_sg8nichS


View: https://twitter.com/kigogo2014/status/1461967536124317698
Rudisheni hela za mzee wa watu.
 
Unaniwekea story mlizotunga wenyewe? Nimekuwekea video ta itv sabodo mwenyewe akiongea na mbowe akishukuru wewe unaniletea vyanzo vya watu kama wewe.
 
Mzee moyo wa CSR rest in peace tabasamu huku ukiwa kwenye safari ya milele 🙏🙏🙏
 
Wewe kichaa tofauti ni kuwa wenzio wanaokota makopo wewe unaokota story za vijiweni za vichaa wenzio.
Kichaa unacho cha kurithi toka kwa waliokuzaa ndio maana unaleta ujinga wako hapa unafikiri kila mtu ana muda nao.
 
Rip sabodo tutakukumbuka daima
 
Bilionea Mustafa Sabodo amefariki lkn maumivu yamebakia kwa wengine.

Alikuwa ni bilionea mwenye huruma Kwa jamii ya watanzania.

Alijenga mashule na alikuwa pia ni muumini wa siasa zenye usawa na mpenda haki.
Nakumbuka alitoa pesa ijengwe ofisi mkaenda kupanga lile banda kuku pale ufipa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…