Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutumia neno Israel kwa kumaanisha "Israel mtoaroho,muuaji ni muendelezo wa ubaguzi.Haina tofauti na kuwaita "Mayahudi"!Kwa nini waitwe Mayahudi na si Wayahudi?Je,tuitwe "Matanzania" badala ya Watanzania?Natania.😂😂😂😂😂Ndo hivyo mkuu ni huzuni kuondokewa na billionaire mwenzetu. Yani sisi mabilionare tukiingia kwenye ndege zetu binafsi roho juu juu. Juzi kati nilikuwa napeleka fungu dogo tu la hela off Shore tax haven Panama kama dollars za Marekani million 20 hivi na private jet yangu Gulfstream.
Katikati angani kulikuwa na tarbulance ya hatarii nikajisemea tu au Israel nini anataka kutupeleka zayuni. Ila jopo la flight attendants walinifariji.
Tulivyotua tu Panama baada ya kudeposit ikabidi twende tena British virgin islands na jersey island matax haven zingine. Dah nikagoma ikabidi nimpatie tu msaidizi wangu makumi ya mamilion ya dollars mengine anipelekee na Gulfstream yangu.
Ikabidi nitulie Panama 5 star hotel 10,000 $ a night kesho yake nikachukua passenger flight kurudi Geneva uswisi
...Mkuu, amka kumeshakucha...😊😊Ndo hivyo mkuu ni huzuni kuondokewa na billionaire mwenzetu. Yani sisi mabilionare tukiingia kwenye ndege zetu binafsi roho juu juu. Juzi kati nilikuwa napeleka fungu dogo tu la hela off Shore tax haven Panama kama dollars za Marekani million 20 hivi na private jet yangu Gulfstream.
Katikati angani kulikuwa na tarbulance ya hatarii nikajisemea tu au Israel nini anataka kutupeleka zayuni. Ila jopo la flight attendants walinifariji.
Tulivyotua tu Panama baada ya kudeposit ikabidi twende tena British virgin islands na jersey island matax haven zingine. Dah nikagoma ikabidi nimpatie tu msaidizi wangu makumi ya mamilion ya dollars mengine anipelekee na Gulfstream yangu.
Ikabidi nitulie Panama 5 star hotel 10,000 $ a night kesho yake nikachukua passenger flight kurudi Geneva uswisi