Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima