Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.

Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).

"Maendeleo hayana chama".


Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero


Akimuonya Lijualikali na Gwajima



Uchaguzi wa mwaka huu tutaona na kusikia mengi.
Sasa ikiwa wanojiita watumishi wa Mungu kuanza kupigana vijembe, mmhhhhh
 
Ahsante kwa kushiriki ww pa1 na mwenzako.....

#usikate tamaa,cha msing tumia hizo bilion zako kununua chakula cha kuku
 
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).

Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.

Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:



Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.

GWAJIMA mlisema anachanganya DINI na SIASA, huyu je?
 
Huyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Tofauti ni kuwa Gwajima alianza kutumia mimbari ya kanisa lake kuishambulia Chadema tena kwa tuhuma za uongo kama ile aliyosema Chadema inawatukana viongozi wa dini jambo ambalo si kweli. Kwa vile Chadema hawakuwa na jukwaa la Kikanisa kumjibu waliamua kumchunia sasa kaja huku kwenye majukwaa ya siasa lazima tumnyonyoe. Shila hajawahi kutumia mimbari ya Kanisa kushambulia wana siasa.
 
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).

Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.

Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:



Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.

Kwahiyo huyu yeye hachanganyi dini na siasa kama Gwajima?
 
Baba yake sijui yu hali gani huko aliko, atatumbuliwa soon
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.

Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).

"Maendeleo hayana chama".


Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero


Akimuonya Lijualikali na Gwajima

 
Na hata CCM wenyewe hawatampitisha kwani kupitia mitandao tu,watakuwa tayari wamejua kuwa atawagharimu.
Uzuri Gwajima amezoea kujitetea mwenyewe! Na Gwajima akipitishwa kugombea msithubutu kuqnzisha siasa za kupakana matope maana atawabutua hadi mjione hamfai. Mbowe mwenyewe anajua sana hilo.
 
Back
Top Bottom