muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Lijuakali kupenya kupitia CCM siyo kazi rahisi...Lijuakali atagombea kupitia chama gani?TLP?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lijuakali kupenya kupitia CCM siyo kazi rahisi...Lijuakali atagombea kupitia chama gani?TLP?
Ukabila, chuki kwa Waisalam, uzinzi, kuvunja ndoa za waumini,na kutuma video za ngono haya ni mambo ambayo ameyafanya mwenyewe na kamwe hayawezi kumuacha salamaGwajima, kauli na matendo yake ndio vimemuhukumu.
Na hata CCM wenyewe hawatampitisha kwani kupitia mitandao tu,watakuwa tayari wamejua kuwa atawagharimu.Ukabila, chuki kwa Waisalam, uzinzi, kuvunja ndoa za waumini,na kutuma video za ngono haya ni mambo ambayo ameyafanya mwenyewe na kamwe hayawezi kumbeba
Hivi na huyu ana ubiri Siasa mbele ya madhabau?Huyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima
GWAJIMA mlisema anachanganya DINI na SIASA, huyu je?Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).
Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.
Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:
Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.
Tofauti ni kuwa Gwajima alianza kutumia mimbari ya kanisa lake kuishambulia Chadema tena kwa tuhuma za uongo kama ile aliyosema Chadema inawatukana viongozi wa dini jambo ambalo si kweli. Kwa vile Chadema hawakuwa na jukwaa la Kikanisa kumjibu waliamua kumchunia sasa kaja huku kwenye majukwaa ya siasa lazima tumnyonyoe. Shila hajawahi kutumia mimbari ya Kanisa kushambulia wana siasa.Huyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Kwahiyo huyu yeye hachanganyi dini na siasa kama Gwajima?Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).
Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.
Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:
Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima
Huyo Gwajima si mlikuwa mnamtumia kuishambulia CHADEMA?Na hiyo ndio maana halisi ya kuchanganya dini na siasa.Kwahiyo huyu yeye hachanganyi dini na siasa kama Gwajima?
Uzuri Gwajima amezoea kujitetea mwenyewe! Na Gwajima akipitishwa kugombea msithubutu kuqnzisha siasa za kupakana matope maana atawabutua hadi mjione hamfai. Mbowe mwenyewe anajua sana hilo.Na hata CCM wenyewe hawatampitisha kwani kupitia mitandao tu,watakuwa tayari wamejua kuwa atawagharimu.
Watakuja na vijisababu vya kumtetea huyo nabii feki.GWAJIMA mlisema anachanganya DINI na SIASA, huyu je?
Labda TLP maana CCM hawawezi mpitisha NCCR,UDP na TLP ni WABIA.Lijuakali atagombea kupitia chama gani?TLP?