Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Huyu kwa kazi anazozifanya za Unabii mamboleo, sitashangaa akiwa PANDIKIZI. Mkimpitisha huyu, Mgombea wa CCM hatapata UPINZANI wa Chadema
Hili ulisemalo hata mimi linanipa wasiwasi, na siwezi kukupinga kwani linawez tokea katika maeneo mengi tu ambako CHADEMA watasimamisha wagombea, hivyo inabidi CHADEMA wawe makini(kuna wataopitishwa kisha watanunliwa na kujitoa).

Kwa huyu,nina imani hawezi fanya hivyo hasa ukizingatia kaguswa na kitendo cha waumini wake kubomolewa nyumba maeneo ya Kimara na kwenda kwake kumuomba msaada, tena kaonyesha wazi kuwa kwa kitendo hicho, yeye hawawezi chagua kuwa upande wa wale waliowabomolewa waumini wake nyumba hivyo sidhani kama atakuja kugeuka.
 
Unamsemea huyo Dogo hivi unamfahamu vizuri? Haya mpitisheni halafu baadae mje kubadili maneno eti kafika bei, CHADEMA kazi yenu kuvamia watu msiowajua
Hili ulisemalo,siwezi kukupinga na ni kwa maeneo mengi tu inabidi CHADEMA wawe makini(kuna wataopitishwa kisha watanunliwa na kujitoa).

Kwa huyu,nina imani hawezi fanya hivyo hasa ukizingatia kaguswa na kitendo cha waumini wake kubomolewa nyumba maeneo ya Kimara na kwenda kwake kumuomba msaada, tena kaonyesha wazi kuwa kwa kitendo hicho, yeye hawawezi chagua kuwa upande wa wale waliowabomolewa waumini wake nyumba hivyo sidhani kama atakuja kugeuka.
 
Uzuri Gwajima amezoea kujitetea mwenyewe! Na Gwajima akipitishwa kugombea msithubutu kuqnzisha siasa za kupakana matope maana atawabutua hadi mjione hamfai. Mbowe mwenyewe anajua sana hilo.
Amezoea kujitetea wapi,wakati ule alipomtukana Cardinal Pengo aliguswa kidogo tu karibia afe kwa presha.
 
ninashangaa sana wakati wa uchaguzi ukifika, unakuta wakazi wa dar wanaenda kutangaza nia mikoani utasema mikoani hakuna watu wa kugombea uongozi na uwezo wa kuongoza maeneo yao wanayoishi, fikiria mtu hata haishi eneo analotaka kuwakilisha, mfano steve nyerere anagombea iringa, zaidi ya miaka kumi tunamfahamu anaishi mji huuhuu wa dar, kinachomshinda kugombea anakoishi nini anaenda mikoani, hata huyu nabii bilionea na yeye ni wa mji huuhuu anatangaza nia kilombero, hivi kilombero hakuna wenyeji waishio huko ambao wanaweza kuongoza???
Wabunge wanaoishi makwao labda wa kaskazini. Ila mikoa mingine utakuwa unawaonea.
 
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).

Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.

Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:



Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.

njaa anayo .........kutwa kucha kuchukua sadaka za waumini makanisani na kujiita nabii......unafikiri nabii ni kitu kidogo eeh.........kifupi hana jipya kwanza kibamia hata ile krip ilionyesha undani wa sakata lake.........kijani hatumtaki
 
Ukabila, chuki kwa Waisalam, uzinzi, kuvunja ndoa za waumini,na kutuma video za ngono haya ni mambo ambayo ameyafanya mwenyewe na kamwe hayawezi kumuacha salama

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Kutuma video za ngono" .............Gaji miuno bana
 
Ahahahaha! Huyu hachanganyi siasa na dini. Ni Gwajima tu ndiye anayechanganya siasa na dini. Ahahahahah! Kuwa nyumbu kweli ni mzigo!
Vituko vyao mbugani na Mitandaoni Ni sawasawa tu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Common_wildebeest.jpg
 
Bahati mbaya huwezi kukumbatia pesa halafu ukabaki na Yesu, hawa watu wanaonesha jinsi walivyo watafutaji, nawasikitikia sana hao waumini wao, naona msimu wa fursa kwao umewadia.
Umasikini si tiketi ya kwenda mbinguni
 
Back
Top Bottom