Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hili ulisemalo hata mimi linanipa wasiwasi, na siwezi kukupinga kwani linawez tokea katika maeneo mengi tu ambako CHADEMA watasimamisha wagombea, hivyo inabidi CHADEMA wawe makini(kuna wataopitishwa kisha watanunliwa na kujitoa).Huyu kwa kazi anazozifanya za Unabii mamboleo, sitashangaa akiwa PANDIKIZI. Mkimpitisha huyu, Mgombea wa CCM hatapata UPINZANI wa Chadema
Kwa huyu,nina imani hawezi fanya hivyo hasa ukizingatia kaguswa na kitendo cha waumini wake kubomolewa nyumba maeneo ya Kimara na kwenda kwake kumuomba msaada, tena kaonyesha wazi kuwa kwa kitendo hicho, yeye hawawezi chagua kuwa upande wa wale waliowabomolewa waumini wake nyumba hivyo sidhani kama atakuja kugeuka.