pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 743
- 1,148
Kauli na matendo vimemhukumu kiaje?Gwajima, kauli na matendo yake ndio vimemuhukumu.
Nyie si ndio mlisema kuwa utumishi wa Mungu na siasa ni mbali mbali sasa huyo Shilla mbona mnamfagilia au yeye sio Mtumishi wa Mungu