Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
mkuu unachangia uzi huu huu au umepotea maboya ?Amechoka kula kondoo wa bwana. Chadema mnasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu unachangia uzi huu huu au umepotea maboya ?Amechoka kula kondoo wa bwana. Chadema mnasikitisha sana
mkuu unachangia uzi huu huu au umepotea maboya ?
Hivi kumbe yupo airiaz huyu jamaa
Atakuwa kapotea maboya [emoji23][emoji23]mkuu unachangia uzi huu huu au umepotea maboya ?
Hahahaha hatareeeLijukali haamini kile anachokiona machoni
Huyu kasema "si dhambi mchungaji kugombea .. ila asimame kwenye haki si kwenye tumbo..." yule yeye alisema "...hahitaji udiwani, ubunge au uwaziri maana yeye yu zaidi ya hivyo!! Je kagundua siri ipi mnayoificha tusiijue?Salary Slip,
Sasa huyu ndio sio tapeli ila Gwajima siku hizi tapeli, makamanda bana [emoji1787][emoji1787]
Ifikie hatua hata kama ndiyo uhuru wa kuandika muwe na adabu, huwezi kulinganisha mfumo wa kishetani (Demokrasia) na nidhamu za Mola katika kuwakomboa wanadamu na kuwaadabisha.CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.
Na uzuri hakuna ombwe,akituko huyo, anaingia yule.
Ikiwapendeza na huyu mumuchuke ingawa yeye hana njaa, ila bado watakuja wengine mpaka siku mjione wajinga.
Mbona kuna mtu alifananishwa na Yesu mkapiga makofi na wala hamkohoji?Ifikie hatua hata kama ndiyo uhuru wa kuandika muwe na adabu, huwezi kulinganisha mfumo wa kishetani (Demokrasia) na nidhamu za Mola katika kuwakomboa wanadamu na kuwaadabisha.
Uhuru usio na mpaka ni utumwa wa kujitakia.
Mola ndio nami Allah?Ifikie hatua hata kama ndiyo uhuru wa kuandika muwe na adabu, huwezi kulinganisha mfumo wa kishetani (Demokrasia) na nidhamu za Mola katika kuwakomboa wanadamu na kuwaadabisha.
Uhuru usio na mpaka ni utumwa wa kujitakia.
Acha kumchezea MUNGU, MUNGU Hana mipango na watu waovuCHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.
Na uzuri hakuna ombwe,akituko huyo, anaingia yule.
Ikiwapendeza, na huyu mumuchuke ingawa yeye hana njaa, ila bado watakuja wengine mpaka siku mgundue kuwa mnatwanga maji kwenye kinu.
Una uhakika mimi ni miongoni mwao, sasa msiishi kwa kubahatisha na kuona kila mtu ni kama nyinyi.Mbona kuna mtu alifananishwa na Yesu mkapiga makofi na wala hamkohoji?
AllahMola ndio nami Allah?
Ndio ujue chadema vigeugeuKule Gwajima anapondwa kwa kutia nia akiwa kiongozi wa dini, huku kwa nabii watu cheko. Siasa hizi!!