Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Salary Slip,

Sasa huyu ndio sio tapeli ila Gwajima siku hizi tapeli, makamanda bana [emoji1787][emoji1787]
Huyu kasema "si dhambi mchungaji kugombea .. ila asimame kwenye haki si kwenye tumbo..." yule yeye alisema "...hahitaji udiwani, ubunge au uwaziri maana yeye yu zaidi ya hivyo!! Je kagundua siri ipi mnayoificha tusiijue?
 
CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.

Na uzuri hakuna ombwe,akituko huyo, anaingia yule.

Ikiwapendeza na huyu mumuchuke ingawa yeye hana njaa, ila bado watakuja wengine mpaka siku mjione wajinga.
Ifikie hatua hata kama ndiyo uhuru wa kuandika muwe na adabu, huwezi kulinganisha mfumo wa kishetani (Demokrasia) na nidhamu za Mola katika kuwakomboa wanadamu na kuwaadabisha.

Uhuru usio na mpaka ni utumwa wa kujitakia.
 
Siasa ni kama indicator muda wowote hubadilika rangi. Kwa makaribisho yale pale kilosa wiki mbili zilizopita na ninachokishuhudia hapa Kilombero mchuano wa 2020 yeyote anaweza kuchukua kombe...

Morogoro is still Red and blue...
 
Ila huyu shillah ni msanii msanii hivi, anawachora cdm!
Mimi si nzi wa kijani na wala haitokaa niwe upande huo lakini huyu shillah simkubali hata kidogo!
...anafuta umaarufu, hachelewi kubadilika ndani ya dakika 5 huyo!
Ni jamaa mmoja tu alimtamkia gombea ubunge, hajawahi kuwaza kugombea hapo kabla!
Ni kama mapadlock!
 
Ifikie hatua hata kama ndiyo uhuru wa kuandika muwe na adabu, huwezi kulinganisha mfumo wa kishetani (Demokrasia) na nidhamu za Mola katika kuwakomboa wanadamu na kuwaadabisha.

Uhuru usio na mpaka ni utumwa wa kujitakia.
Mola ndio nami Allah?
 
Najaribu kuangalia kilicho itikisa kilombero sioni naona tu Bodaboda 5 spika 4 na gari 1 au sioni vizuri
 
CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.

Na uzuri hakuna ombwe,akituko huyo, anaingia yule.

Ikiwapendeza, na huyu mumuchuke ingawa yeye hana njaa, ila bado watakuja wengine mpaka siku mgundue kuwa mnatwanga maji kwenye kinu.
Acha kumchezea MUNGU, MUNGU Hana mipango na watu waovu
 
Back
Top Bottom