kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Mkuu Huyo gwajima Jau sana ukitaka kuamini kasali pale ata miezi miwili utaelewa ukitaka kuachaDuh hebu funguka zaidi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Huyo gwajima Jau sana ukitaka kuamini kasali pale ata miezi miwili utaelewa ukitaka kuachaDuh hebu funguka zaidi hapa
Binafsi sinaga muda kwenda kwenye hivyo vijiwe ambavyo wenyewe wanaita makanisa! maana najua ni ushirikina tu! kwa namna jiwe alivyo mwoga wa uchaguzi na anavyotamani atawa cccm peke yake Gwajima atakuwa amehakikishiwa kupitishwa na hata kura zisipotosha zitajazilizwa!Mkuu Huyo gwajima Jau sana ukitaka kuamini kasali pale ata miezi miwili utaelewa ukitaka kuacha
sasa hilo ni tatizo, maana mbunge anatakiwa awepo vikao vya halmashauri ya wilaya ama manispaa aliyopo pia vikao vya bunge katika mwaka, sasa mbunge huyu anapata wapi muda wa kuja Dar????!!!! ndio maana sasa kama mtu anajiona hawezi kuishi huko anakotangazia nia basi isiruhusiwe kuwa hivyo , watangaza nia wabakie wakazi wa eneo husikaWabunge wanaoishi makwao labda wa kaskazini. Ila mikoa mingine utakuwa unawaonea.
Sioni kama ni kigezo kizuri cha kumpima Mbunge. Kwani hao ambao wanaishi kwenye majimbo yao, imewafanya wawe na ufanisi kiasi gani?sasa hilo ni tatizo, maana mbunge anatakiwa awepo vikao vya halmashauri ya wilaya ama manispaa aliyopo pia vikao vya bunge katika mwaka, sasa mbunge huyu anapata wapi muda wa kuja Dar????!!!! ndio maana sasa kama mtu anajiona hawezi kuishi huko anakotangazia nia basi isiruhusiwe kuwa hivyo , watangaza nia wabakie wakazi wa eneo husika
Hii nchi acha tu vijana kibao wapo CCM kusaka vyeo tu njaa mbaya sanaBinafsi sinaga muda kwenda kwenye hivyo vijiwe ambavyo wenyewe wanaita makanisa! maana najua ni ushirikina tu! kwa namna jiwe alivyo mwoga wa uchaguzi na anavyotamani atawa cccm peke yake Gwajima atakuwa amehakikishiwa kupitishwa na hata kura zisipotosha zitajazilizwa!
so tunaweza kuona bunje lijalo litakuwa la namna gani! ikiwa mwaka huu
watu wenye akili tumelidharau bunge la nduGUY lijalo ndio litakuwa majanga kabisa waliotuletea huu mkosi wameimosea sana Nchi
SwadaktaHahaaa! Uzuri wa haya mambo yako pande zote, huyohuyo gwajima upande wa pili walimpa kesi ya madawa ya kulevya
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima
watumishi wamejikita kutafuta fedha na nyadhifa duhKumekucha kumekuchaaaView attachment 1498291
Hakika !CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania
SijuiKwani atapitishwa na chama?