Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).
Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.
Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:
Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.
Kazi ipo. Atatafutiwa kashfa sasa hiviHayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.
Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
"Maendeleo hayana chama".
Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero
Akimuonya Lijualikali na Gwajima
Hahaaa! Uzuri wa haya mambo yako pande zote, huyohuyo gwajima upande wa pili walimpa kesi ya madawa ya kulevyaDah nikikumbuka jinsi wakina Kubenea walivyokuwa wanahudhuria misa za Gwajima huwa nacheka sana...misa za Gwajima zilirushwa live kwenye mitandao ya CHADEMA.Waswahili wana msemo wao "dalili ya kifo cha Punda ni kurusha mateke ya nguvu...."
Kasema hata Yusufu alikua nabii na akaja kua Waziri MkuuHuyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Kuna kubutuliwa kama kuonyeshwa live unakula kondoo wako?Uzuri Gwajima amezoea kujitetea mwenyewe! Na Gwajima akipitishwa kugombea msithubutu kuqnzisha siasa za kupakana matope maana atawabutua hadi mjione hamfai. Mbowe mwenyewe anajua sana hilo.
Hao ndio makamanda siku zote wanaona makosa ya ccm ila ya kwao hawayaoni Magufuli dikteta ila Mbowe ni kamandaAhahahaha! Huyu hachanganyi siasa na dini. Ni Gwajima tu ndiye anayechanganya siasa na dini. Ahahahahah! Kuwa nyumbu kweli ni mzigo!
Kwa hiyo hata kura za CCM atazikosa, kamtukana sana Kikwete, Makinda, n.k na ushahidi upo.Haya ya Gwajima kuishambulia chadema ni side B ya tape, ukigeuza side A utayakuta pia yamegeukia kwa ccm km hayo.
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).
Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.
Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:
Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.
Nipe mimi battle nae mchawi uyo kila siku anamtokea mama angu mdogo kisa kuhama kanisaUzuri Gwajima amezoea kujitetea mwenyewe! Na Gwajima akipitishwa kugombea msithubutu kuqnzisha siasa za kupakana matope maana atawabutua hadi mjione hamfai. Mbowe mwenyewe anajua sana hilo.
Unamaanisha ana nguvu nyingine tofauti nimekuelewa.Nipe mimi battle nae mchawi uyo kila siku anamtokea mama angu mdogo kisa kuhama kanisa
Salary Slip,
Sasa huyu ndio sio tapeli ila Gwajima siku hizi tapeli, makamanda bana [emoji1787][emoji1787]