Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Huyu shila sio wa kumwamini sana,niwashauri chadema kuwa makini,ccm inaweka mapandikizi ili baadae yajitoe uchaguzi kuvuruga chama,huyu shila ni rafiki mkubwa sana wa bashite.
 
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).

Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.

Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:



Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.


He has guts
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.

Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).

"Maendeleo hayana chama".


Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero


Akimuonya Lijualikali na Gwajima

Kazi ipo. Atatafutiwa kashfa sasa hivi
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.

Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).

"Maendeleo hayana chama".


Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero


Akimuonya Lijualikali na Gwajima


Lijuakali hataki ubunge , anataka kazi ya kufanya usafi lumumba
 
Huyu Nabii bilionea sijawahi kumuelewa

Ova
 
Mwaka huu vituko vitakua vingi sana kuelekea Oktoba.

Hapo zamani nafasi ya ubunge ilikua ni ya kuheshimika sana ndio maana wakapewa jina la mheshimiwa.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla.

Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).

"Maendeleo hayana chama".


Wimbo wa Sholomwamba akimnadi Nabii Shilla ubunge Kilombero


Akimuonya Lijualikali na Gwajima



Sometime ukisoma vitu vingine ni shida. Haya ngoja tunyamaze.
 
Dah nikikumbuka jinsi wakina Kubenea walivyokuwa wanahudhuria misa za Gwajima huwa nacheka sana...misa za Gwajima zilirushwa live kwenye mitandao ya CHADEMA.Waswahili wana msemo wao "dalili ya kifo cha Punda ni kurusha mateke ya nguvu...."
Hahaaa! Uzuri wa haya mambo yako pande zote, huyohuyo gwajima upande wa pili walimpa kesi ya madawa ya kulevya
 
Huyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Kasema hata Yusufu alikua nabii na akaja kua Waziri Mkuu
 
Uzuri Gwajima amezoea kujitetea mwenyewe! Na Gwajima akipitishwa kugombea msithubutu kuqnzisha siasa za kupakana matope maana atawabutua hadi mjione hamfai. Mbowe mwenyewe anajua sana hilo.
Kuna kubutuliwa kama kuonyeshwa live unakula kondoo wako?
 
Kumekucha kumekuchaaa
IMG-20200705-WA0029.jpeg
 
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).

Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.

Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:



Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo hyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.


Chadema mnashangaza sana!
 
Back
Top Bottom