Mirad yake mingi..mashamba kawekeza kilomberoEeh!
Why kilombelo na isiwe kwao singida?
Ila najua hayuko serious huyu ,kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mirad yake mingi..mashamba kawekeza kilomberoEeh!
Why kilombelo na isiwe kwao singida?
Ila najua hayuko serious huyu ,kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
sana! kama mtu anakubalika kwa kiwangi kinaholeta matumaini, why not?Kwani atapitishwa na chama?
akishinda atatangazwaHuyu Nabii nani atakaye mtangaza aneshinda?
Hiyo hela bora angekula kamongo tu
Chadema hadi raha yaani. Kwanini nchi hii isibaki na chama limoja tu chadema?? Yaani utaona vijana wana furaha. Nguvu na ukakamavu wa hatari. Hiki chama Mungu akiweke miaka 800.View attachment 1498633View attachment 1498634View attachment 1498637
Mwanzo Lijuakali alipokuwa anaomba kazi za usafi kwenye maliwato ya CCM Lumumba huku akimwaga chozi sikumuelewa.
Lakini baada ya kujitokeza hadharani kwa huyu kamanda Shilla nimeelewa kwanini Lijuakali aliamua kuomba kazi ya usafi CCM.
Tupe mrejesho ukirejea matembezi ya Rais na Ya Nabii Shilla nani yuko juu?? Sema ukweli wako.Siasa ni kama indicator muda wowote hubadilika rangi. Kwa makaribisho yale pale kilosa wiki mbili zilizopita na ninachokishuhudia hapa Kilombero mchuano wa 2020 yeyote anaweza kuchukua kombe...
Morogoro is still Red and blue...
ushahidi!Huyu jamaa ni CCM na sijui kama Chadema watampitisha. CCM kabisa hata zile mikusanyiko yake wanakuwepo kijani wa kutosha na influence zao.
Rais hatagombea ubunge na wala watu hawatapiga kura kwa influence ya RaisTupe mrejesho ukirejea matembezi ya Rais na Ya Nabii Shilla nani yuko juu?? Sema ukweli wako.
Lengo lake la kujipitisha lilikuwa ni hilo. Jpm bwana anajaribu kulazimisha kupendwa na vistori vyale vya kuoa wanawake mara amwage vihela fulani. Mara atumbue majibu uchwara yaani mlani tu ajaribu kuvuta attension asiyostahili.😁Rais hatagombea ubunge na wala watu hawatapiga kura kwa influence ya Rais
Lijua likali amuombe PolePole amwandalie show maana ni hatari!!Lijukali haamini kile anachokiona machoni
Hata kwenye lile sakata la video yake ya kungonoka "...tuliona jinsi alivyoweza kujitetea mwenyewe kwa kutetewa na dola ikishirikiana na wachumia tumbo wachungaji wa kariba yake!!"Uzuri Gwajima amezoea kujitetea mwenyewe! Na Gwajima akipitishwa kugombea msithubutu kuqnzisha siasa za kupakana matope maana atawabutua hadi mjione hamfai. Mbowe mwenyewe anajua sana hilo.
Clip yake nimeiona twitter(Darmpya Blog on twitter), imenifurahisha mno na huyu inaonyesha ni muongeaji mzuri sana.Akiingia Bungeni, itakuwa ni shida(watu wataomba muongozo wa kiti mwanzo, mwisho).
Anakwambia: Akili kichwani, pesa mfukoni, Yesu moyoni.
Msikilizeni hapa kwenye hii clip akihojiwa:
Waliojipa kazi ya kuia CHADEMA wamefeli kwa asilimia 100, kwani watia nia ni wengi nchi nzima akiwemo huyu aliewatosa watu wa chama cha kijani akaona aje ajaribu kugombea kupitia CHADEMA,huku akidai yeye hana njaa.
Aisee Mimi Ni CCM damu ila huyu kijana unampondaje kwa mfano? Gwajima hata CCM tutamtema njeHuyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Picha zimetolewa kiufundi mnoLakini baada ya kujitokeza hadharani kwa huyu kamanda Shilla nimeelewa kwanini Lijuakali aliamua kuomba kazi ya usafi CCM.
Kwani kuna Rais wa Kilombero?Tupe mrejesho ukirejea matembezi ya Rais na Ya Nabii Shilla nani yuko juu?? Sema ukweli wako.