Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Mbona unaweweseka?!Najaribu kuangalia kilicho itikisa kilombero sioni naona tu Bodaboda 5 spika 4 na gari 1 au sioni vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaweweseka?!Najaribu kuangalia kilicho itikisa kilombero sioni naona tu Bodaboda 5 spika 4 na gari 1 au sioni vizuri
Kwani huyu ni mzinzi Kama Gwaji??Huyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Chadema kuna maajabu kwa hiyo Shilla anajiona keshapitishwa?Kwani atapitishwa na chama?
Hapo ndo watampopoa vibaya mno. Aendeleee kutoa huduma ya neno tu kwa waumini wake siasa mchezo mchafu sana.Hili ulisemalo hata mimi linanipa wasiwasi, na siwezi kukupinga kwani linawez tokea katika maeneo mengi tu ambako CHADEMA watasimamisha wagombea, hivyo inabidi CHADEMA wawe makini(kuna wataopitishwa kisha watanunliwa na kujitoa).
Kwa huyu,nina imani hawezi fanya hivyo hasa ukizingatia kaguswa na kitendo cha waumini wake kubomolewa nyumba maeneo ya Kimara na kwenda kwake kumuomba msaada, tena kaonyesha wazi kuwa kwa kitendo hicho, yeye hawawezi chagua kuwa upande wa wale waliowabomolewa waumini wake nyumba hivyo sidhani kama atakuja kugeuka.
Labda akagombee chatu hukoLijuakali kupenya kupitia CCM siyo kazi rahisi...
Mlokole mwenzio huyo mkuuChadema kuna maajabu kwa hiyo Shilla anajiona keshapitishwa?
Achana nae wivu tu huyo. Unajua hao walizani kwa walivyoibania cdm itakosa wagombea sasa wakiwaona akina Ney wa Mitego hawaamini macho yaoMbona kuna mtu alifananishwa na Yesu mkapiga makofi na wala hamkohoji?
We hukusikia jiwe alipoteua askofu kuwa mbunge.. au mkuki kwa nguruwe??GWAJIMA mlisema anachanganya DINI na SIASA, huyu je?
Kabisa mkuu hapa cdm ndo wanapofeli huyu jamaa amekua close Sana na Bashite 3 month ago amekua akishiriki sijui wale viongoz wa dini wa cm kumwombea jiwe inshort ni amepandikizwa na ccm ili avuruge cdm wasipate mgombea makiniIla huyu shillah ni msanii msanii hivi, anawachora cdm!
Mimi si nzi wa kijani na wala haitokaa niwe upande huo lakini huyu shillah simkubali hata kidogo!
...anafuta umaarufu, hachelewi kubadilika ndani ya dakika 5 huyo!
Ni jamaa mmoja tu alimtamkia gombea ubunge, hajawahi kuwaza kugombea hapo kabla!
Ni kama mapadlock!
Hoja mfu kabisa hii.. kwa hiyo siasa ni ya wapagani pekee??Kwahiyo huyu yeye hachanganyi dini na siasa kama Gwajima?
Ni kweli kabisaKabisa mkuu hapa cdm ndo wanapofeli huyu jamaa amekua close Sana na Bashite 3 month ago amekua akishiriki sijui wale viongoz wa dini wa cm kumwombea jiwe inshort ni amepandikizwa na ccm ili avuruge cdm wasipate mgombea makini