Hii na huu ndio mfano sahihi kabisa wa mihemko
CDM ni kama mwanamke asiye jiamini ambaye anashobokea wanaume na kutamba kuhusu wachumba zake na anapoumizwa anasema na kulaumu upande wa pili
Hamna mnachojiamini nacho mkakiuza, kikakubalika.mmekuwa mkipanda na kudandia majina ya watu mara Lowassa, mara Membe, mara nyalandu, kesho mkisikia labda fulani anachukua form kuchuana na JPM mtahamia wote huko.Mara mnampenda uhuru kenyata, mara odinga, mara rais wa barrick, mara ili mradi mmewekeza kuwapa promo na kushobokea watu.Hii akili haipo CCM iko kwenu wenye inferiority Complex ambao siasa mmegeuza sio hoja na ushindani bali uchungu, gubu na lawama tu
Gwajima alikuwa wenu kabisa nyie CDM kipindi anapambana na Makonda[emoji23][emoji23][emoji23] mmesahau? Yuko wapi??? Au yako wapi?
Shillah unamjua? Au unapenda wanaoongea? Huwa mnafanya due diligence nyie?
Sasa wewe right handman wa mbowe una akili hizi, hao wengine wenye hulka na akili za kama wanyama wale wa mbugani lazima wakushangilie
Kesho akiwaumiza, mnakaa kimya kwa sasa you have NOTHING TO SELL OUT
Yaani hata wanawake vichaa wanazaa kwa uzazi wa mpango jamani! Sio kujiachia huku na kushoboka tu huku kesho mnalizwa, mnajazwa mimba, ukikaa wiki unapachikwa tena, unalalamika wanaume wabaya kumbe hauna akili ya kujitambua
CDM ya mwaka 2006 to 2012 haikuwa hii ya kutegemea trending news na individual, you had agenda, you threw it away, you never bothered to ask yourselves who made you to be zombies now a days, mnae na mnamwona, Wanaojitambua wanakimbia mliobaki kufaidika na 8.9b na michango ndio kutwa kucha kurusha post za kujifariji
Kama kweli kabisa kuna wana CCM wanalipwa Lumumba kwa kupost humu, anayewalipa nyie wa chadema anatoa hela ndefu maana mmejizira, mmejitoa ufahamu na mnajisahaulisha kila siku