Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Dah chadema Wana wakati mgumu maana huyu Shilla yupo vizuri na Kibatala yupo vizuri na amekipigania chama
Watakuwa hawana akili nzuri wampe Shilla dogo mhuni na siasa anaanza mwaka huu wakati Kibatala miaka mingi yupo anakipigania chama

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Ma Makamanda wangapi njaa tu........ mpaka wakistaafu ndio wanaonekana ...........huyu ni mtu wa kawaida tu..........ukipata pesa kwa kuchangiwa wewe ni wa kawaida tu mpaka kiama.......wenye pesa za kutafuta wapo lakini hawajigambi .......mark zurga yuko kimya na ni self bilionea kwenye dolla........laizer wa juzi tu hapa lakin hana hata Tambo sasa huyu kibwetele veeeppeee......mwambie apoe......wajinga ndio walio mpa pesa na umaarufu
 
Huyu Bwana AKILI KUBWA inayostahili kupewa MAJUKUMU MAKUBWA!......Lijualikali ajipange tu kuiba kura hapo hachomoki!
 
I wonder if MUNGU ana SHIRKI na VILIVYO VICHAFU 😎 ( MAFISADI YA CCM NA MANAFKI WA CHADEMA )
 
Lijuakali anapigwa mchana peupe...

I dont like this dogo ila Lijuakali hatoki salama!

Unafiki kwa unafiki!
 
Chadema haijafa kwa sababu haijajengwa na MTU mmoja kama kada mkongwe wa CCM na mwenyekiti wa CDM Mbowe anavyowadanganya wapambe wake na kuwakatisha watu tamaa kwa kusema kuwa yeye ndiye pekee aliyetumia Juhudi zake kukijenga chama na wengine wote ni wasaliti wanaotaka kuuza Chama. Na eti yeye pekee ndiye kiboko ya Mwenyekiti wa CCM.
 
UnawazungumziaLijualikali na Silinde au Mwambe?
 
UnawazungumziaLijualikali na Silinde au Mwambe?
Mwambe alichukuliwa kipindi Kama hiki.

But wapo waliopigana kilombero imekuwa hivyo

Nashangaa Leo mnamshabikia mgeni huyu.

Atapigwa na wananchi mchana kweupe.

Labda hamwajui wana Kilombero.
 
Bahati mbaya huwezi kukumbatia pesa halafu ukabaki na Yesu, hawa watu wanaonesha jinsi walivyo watafutaji, nawasikitikia sana hao waumini wao, naona msimu wa fursa kwao umewadia.
Mchungaji Rwakatare vipi, au kwakuwa alikuwa sisiemuu
 
...duuuh,

Ukitaka kuuza utumbo usiogope inzi= ukitaka kuingia ufalme wa shetani usiogope dhambi.

Over
Kuwa mbunge nako ni zambi?Rais wa Malawi wa sasa ni mchungaji,kutoka kuwa Askofu wa makanisa ya kipentecoste mpk kua Rais wa nchi.
 
Mwambe alichukuliwa kipindi Kama hiki.

But wapo waliopigana kilombero imekuwa hivyo

Nashangaa Leo mnamshabikia mgeni huyu.

Atapigwa na wananchi mchana kweupe.

Labda hamwajui wana Kilombero.
Lijualikali kajiua mwenyewe, hata CCM wanamwangalia kwa tahadhali.
 
Hata kabla ya kuachana na CDM,Lijuakali alikuwa Katia nia Momba kwa Silinde na si Kilombero.
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hali za waumini wake watoao sadaka takatifu kwa bwana zikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…