Uchaguzi 2020 Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

Makamanda bhana hadi mnatia huruma
 
ha ha ...duh..mmefikia wapi na bilionea?
 
Huyu shila sio wa kumwamini sana,niwashauri chadema kuwa makini,ccm inaweka mapandikizi ili baadae yajitoe uchaguzi kuvuruga chama,huyu shila ni rafiki mkubwa sana wa bashite.
Niliyaona haya mapema sana.
 
Huyu hajachanganya dini na siasa wandugu? Mbona naona comment nyingi tofauti na alivyotangaza nia Gwajima? Tuache unafki kwenye nyeusi tuseme nyeusi haijalishi ni upande gan!
Kwani na huyu nae kasema Pengo kala maharage gani sijui, au na yeye kasema misikiti ote ataigeuza sunday shool au nae kala kondoo?
 
Bahati mbaya huwezi kukumbatia pesa halafu ukabaki na Yesu, hawa watu wanaonesha jinsi walivyo watafutaji, nawasikitikia sana hao waumini wao, naona msimu wa fursa kwao umewadia.
Angalau wewe unajielewa kuliko haya kina salary slip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…