Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Mswati mfalme ni kama alivyokuwa suleimanMswati ana wangapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mswati mfalme ni kama alivyokuwa suleimanMswati ana wangapi
Hili andiko mnalitoa kwenye kitabu kipi??Binadamu tumeumbiwa tamaa
wake 15Mswati ana wangapi
Mwisho wanneMke mwisho mmoja tu , wengine ni michepuko tu.
Unataka kuleta vitabu vya mashariki ya mbali huku ni Africa miliki kadri ya uwezo wako....ndio mila na desturi zetu.Hili andiko mnalitoa kwenye kitabu kipi??
Sasa hiyo limit ya wa 4 inatokea wapiwake 15
Kwakweli. Na hata hao darasa la nne wengine unakuta tayari haipoBongo na bikra wapi na wapi wakuu labda uchukue darasa la 4
Kwa dini gani?Mswati ana wangapi
Wanahangaika na kina Mobeto,Nicole, Poshqueen, Careen,Uwoya,Wema nk.Papuchi zimetumika na kuchakazwa,zimechoka kama gari la kubeba mkaa.mabilionea wa bongo waige mfano huu.
Ikiwa sheria ya ndoa kwa bongo wanaume watakufa bila kuoa.Hii iwe sheria ya Ndoa.
Heshima Yako Pia Mkuu.Kaka
Heshima yako!
Anakataka?Na bado anakatamani ka comedian emmanuela,jamaa lina tamaa sana
wenye Imani zao hao.Sasa hiyo limit ya wa 4 inatokea wapi
ndio anakamendea.Anakataka?
Bilionea ana luku yake pesono anataka kufanana na Senga yule mwenzie pembe, achana na mlungula wewe! Wote hapo wana amani ya kutosha
AnanyotayamabikiraaBilionea Ned Nwoko kutoka nchini Nigeria amesema huwa hafungi ndoa na Mwanamke ambaye sio bikra. Bilionea huyo hadi sasa ana wake 6 anaishi nao wote hadi sasa.
Maneno hayo alitamka kwenye interview Mpya na kuweka wazi kuwa yeye akitaka kuoa ni lazima mwanamke husika awe bikra bila hivyo Haoi. Pia alisisitiza wake zake wote 6 alionao sasa akiwemo Muigizaji maarufu Regina Daniels (23) aliwaoa wakiwa bado bikra.
Wake wake woke Sita aliooa bado anaishi nao hadi sasa kila maja akiwa na kwake huku kati Yao wengine wakiwa wasomi wa vyuo vikuu.