Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Duh,kwa hiyo unataka kusema hata binti wa kizanzibar tayari ana covid 19? Maana alikuwa analala na marehemu bilionea. Au unaleta hisia za kiChadema?
Unauliza au unapigia jibu mstari dogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,kwa hiyo unataka kusema hata binti wa kizanzibar tayari ana covid 19? Maana alikuwa analala na marehemu bilionea. Au unaleta hisia za kiChadema?
Haka kajamaa si kalikuwa kamati ya kuleta habari za vifo vya Covid19, au umeshakasahau? 😂😂Umepata wapi mamlaka ya kutangaza habari ya vivo vya watalii wanaokuja kutalii ndani ya nchi yetu, wewe utakua umetumwa na mabeberu
Watakaomsogelea wahakikishe wamevaa barakoa, Covid haiogopi maombi.
Jibu gani hapo lipo?Unauliza au unapigia jibu mstari dogo?
Huku kuna mshenzi jana kanisani anasema Tanzania inapendwa sana na Mwenyezi Mungu kwani ametunusuru na covid19 wakati takwimu za ugonjwa hakuna.Hatari!
... wabongo bhana...Hii ni hasara kwa taifa,,bulionea angekolea kwa binti wa kizanzibar angeweza kuwekeza viwanda na zanzibar ingeweza kuondoa tatizo la ajira...🌿🌿🐜🐜
Ngoja tusubiri kigogo 2014 anasemajePoleni sana!
Hapa makamanda wa Ufipa watajifanya wajuaji kupita maelezo!
Hujaona Kamanda ameshaweka dondoo kuwa Inaonekana Jamaa amekufa kifo cha Kawaida?Aisee gone too soon
Hako kabinti kazi ipo mpaka uchunguzi uishe atakuwa ameshakaa selo takribani mwezi 1 na siku kadhaa