ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
Hata kama ni corona kakuambia nani kaipata ZNZ. Inawezekana katoka nayo kwao. Kafia kwenye kinena cha mtoto wa kizenj, jaza mwenyewe.Hapa mifuasi ya chama fulani itakuwa inafanya jitihada zote kufunika funika ili ugonjwa fulani usiwe ni chanzo cha kifo hata kama ndiwo.
Alaumiwe sana dobi Ila, kaniki ni rangi yake!
Apumzike kwa amani mtalii huyu. Yeye ni shahidi mwaminifu.