Bilionea wa Kirusi akutwa akiwa amefariki dunia ndani ya hoteli Zanzibar

Hapa mifuasi ya chama fulani itakuwa inafanya jitihada zote kufunika funika ili ugonjwa fulani usiwe ni chanzo cha kifo hata kama ndiwo.

Alaumiwe sana dobi Ila, kaniki ni rangi yake!

Apumzike kwa amani mtalii huyu. Yeye ni shahidi mwaminifu.
Hata kama ni corona kakuambia nani kaipata ZNZ. Inawezekana katoka nayo kwao. Kafia kwenye kinena cha mtoto wa kizenj, jaza mwenyewe.
 
wanawake sio poa aisee
mtu analala na mtu mwenye utajiri wa b 18 akipewa posho apo
anafungua kamradi kake anaanza na yeye kuwa motivation speakerπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Corona.

Zanzibar sasa hivi wamejaa warusi waliokimbia kwao kwa sababu ya corona kwa kigezo cha kuja kutalii.
Acha uongo.
Hawajakimbia kwao.

Wamekuja kwa sababu destinations zao nyingi zimefungwa au zina restriction nyingi. Kama uturuki Na Egypt
 
Vumbi la Congo ndio limemuua. Huyo binti alibanwa na plaizi atasema alimfanya nn huyo mzee kabla ya kulala naye

mkuu, kwanini wambane dada wa watu ? alikuwa kwenye utafutaji kama watu wengine tu, ukute labda hata wamekutana Badoo huko
sioni kama anapaswa huko dada kubanwa wakati jamaa mwenyewe ndiye kafata utamu, hiyo james Bond anaiita occupational hazard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…