Bilioni 1.8 za Mradi wa BOOST Zakamilisha Ujenzi wa Shule 2 Mpya na Madarasa 25 Halmashauri ya Ushetu.

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga, Mhe. Dkt. Emmanuel Cherehani amesema kuwa jumla ya Shilingi Bilioni 1.8 za mradi wa BOOST zimetumika kukamilisha ujenzi madarasa 25 na Shule mpya 2 ikiwa ni Shule ya Msingi Shilabela Iliyopo Kata ya Ulewe Ushetu na Shule ya Msingi Kona Nne iliyopo Kata ya Ulewe ushetu.

Aidha, Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga Mhe. Dkt. Emmanuel Cherehani ametoa shukurani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha za miradi kwa Wana Ushetu.

#TunasimamaNaMama
#UshetuInajengeka

 
Hongera sana kwa serikali ya Rais Samia. Ila ajitahidi kuwa serious japo kidogo tu. Watu wanapiga sana. Vyombo vyake kama TAKUKURU, Usalama wa Taifa, Polisi, Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma etc na hata Chama chake cha Mapinduzi wamsaidie Rais. Rais ana nia njema sana ila kuna watu kwa makusudi wanataka kumuangusha

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…