Imehama 1.5T imefikia 2.4T mwakani mtasema 3.5TChadema bado kinahitaji fedha kujiendesha, hizi propaganda zenu za bilioni 1.9 hazitasitisha shughuli za Chadema. Wote kwenye akili wanaelewa jinsi gani ccm inavyohaha kufarakanisha Chama hiki ambacho wanaamini kuwa ipo siku kitakufa.
Kama wametumia zaidi ya trilioni 2.4 kwenye mambo yasiyojulikana, wameteka watu wetu na kuumiza na kuua, kuwanunua madiwani na wabunge, kuwaonga wanachama wetu vyeo lakini Chadema bado ni msitu mnene, tujiulize kwa nini propaganda nyingi zisiwepo. Kama mwanachadema stand for your right
Kwa hiyo chadema wanajifunza tabia mbovu za ccm ?Nyie zile tilioni 2.4 zako wapi?
Mbona hamna sehemu CAG kahoji 1.5T Lakini huku mtaani mmeshika mabango?Mjomba... CAG si anapita huku?
Kwanini tukusikilize wewe badala ya CAG?
Kwaiyo hata cdm wakipiga sawa tu? Lakini hawa si ndio tunataka kuwa mbadala wa chama tawala?Vyote.nape kapiga gari la chama kimyakimya.January mabilioni huko nssf
Ulijua nini? Na kwanini hukusema kama kweli ulijua? Ukisikia ramli chonganishi ndio hizi zako.Duh, nilijua tu.
Hao jamaa ndio maana wanaitwa Nyumb***** yaani ni kupelekwa pelekwa tuImehama 1.5T imefikia 2.4T mwakani mtasema 3.5T
Dhoruba zote zile alizopata unasema hakuhoji, sio?Mbona hamna sehemu CAG kahoji 1.5T Lakini huku mtaani mmeshika mabango?
Halafu kuna wapumbavu wengi hapo wameaminishwa chama huendeshwa kwa pesa binafsi za Mbowe,mara anakikopesha chama.
Kutegemea et hao jamaa wakishika dola kutakuwa na jipya ni zaidi ya ukichaa.
Walitaka kumuua CAG.Dhoruba zote zile alizopata unasema hakuhoji, sio?
Nimekulazimisha uamini nilichokiandika hapa? Na Kwako Wewe neno Vita unaelewa tu ni mpaka Watu wapigane au wagombane kwa Kutumia Silaha? Pathetic.
Kwa hio unakiri kuna malalamiko!? Je ni akina nani waliolalamika kuhusu hilo kwa ndugai!?Kama hawakatwi wanapewa pesa yote, nini kinawazuia wasizipeleke wenyewe kwa mfumo mwingine?
Makato kwa mtumishi ni makubaliano ya kisheria ikitokea malalamiko lazima kuzingatia.
Uongo Wa kiwango cha lami😂Wabunge wengi wa CHADEMA walimtonya asiendelee kuwakata hela zao zinaliwa na mchwa kwenye account ya ECO benki.
Kwa hio unakiri kuna malalamiko!? Je ni akina nani waliolalamika kuhusu hilo kwa ndugai!?
Bora sisi CCM tulipoteza 2.4trionkama ni kweli , hiyo bil 1.9 iliyopotea CHADEMA wangekuwa wana dola ingepotea tril 1.9
Ndio maana nasema hii kitu chanzo chake ni ndugaiTuwaulize wwnyewe mazee, maana maandiko ya Mdee yanathibitisha kuna masnitch hawataki kuchangia chama ndio waliopeleka habari kwa spika...
Bavicha hawataki kabisa habi kama hizi,wanapita kimya kimya
View attachment 1212319
CHADEMA wamejikuta wakipoteana mara baada ya mwanachama maarufu katika mtandao wa Twitter Kigogo2014 kuwalipua CHADEMA kwa ufujaji na wizi wa mabilioni ya fedha.
Mwanzoni ndugu Kigogo2014 alipata umaarufu miongoni mwa vijana wa BAVICHA mara baada ya ku tweet leaks mbalimbali ambazo mara nyingi amekua akizipata kwa media House mbalimbali zinapoalikwa Ikulu, Ujanja huu umeaminisha wengi eti anazipata habari ndani ya Idara iliyotukuka yaani TISS.
Moja ya uongo wake wa hivi karibuni ni ule wa Kipilimba kuandaliwa hati ya mashtaka 97 ikiwemo uhujumu uchumi na pia amekamatwa.
Kutokujielewa kwa BAVICHA kumepelekea kumuamini Kigogo2014 Kama mtabiri sasa amewalipua na Pro CHADEMA kama akina Yericko Nyerere wameamua kuanika yote aliyokua akichati na Kigogo mara baada ya kukerwa na ukweli alioutoa Kigogo2014 kuhusu CDM.
Kutokana na Kuishiwa kwa hoja na kupitwa na Wakati Wanachama wengi wa CHADEMA wamekua wakitumia hoja dhaifu za kwenye mitandao ya kijamii kama kipooza maumivu (pain Killer). Ukweli unabakia palepale propaganda za Kigogo2014 haziwezi kuipa CHADEMA unafuu wowote kama ilivyokua kwa Dada wa Taifa Mange Kimambi ambaye mmemchoka sasa baada ya kuwavuna wengi kama Followers wake kwenye mitandao ya k
Majibu mepesi sana hayoNi propaganda tu na mwisho wake baada ya uchaguzi. Wachache wanao wapuuza uongo huu wanafanya vema sana kupuuza.