Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

Status
Not open for further replies.
Imehama 1.5T imefikia 2.4T mwakani mtasema 3.5T
 
Vyote.nape kapiga gari la chama kimyakimya.January mabilioni huko nssf
Kwaiyo hata cdm wakipiga sawa tu? Lakini hawa si ndio tunataka kuwa mbadala wa chama tawala?

Je wanajenga taswira gani kwa wafuasi na wananchi?
 
[QmoUOTE="Geniuss, post: 32893069, member: 534572"]
Niliwahi kusema kuhusu kigogo
Wachangiaji zaid ya 109 walinibeza hasa Wapinzan.
Nilisema hivi,kigogo2014 ni agent Wa serikali na anajulikana na serikali.
Lakin hii ni project ya serikal baada ya kujifunza Kwa akina Mange kimambi, kuwa na giants Wa social media aliye nje ya mfumo ,inatoa mwanya mkubwa Wa kushindwa ku control social media
Sasa wapinzan wakadhan wamepata mbadala Wa akina Mange , kumbe walikua wamepata Trojan horse.
Wengine walianza kumpa endorsement Kibao huko Twitter,
Kama ilivo Kwa sleeper agents ,kigogo ameanza kazi aliyopaswa kuifanya rasmi,
1.ana orchestrate mgogoro Wa act na chadema
2. Ana orchestrate mgogoro Wa wapinzan binafsi ,mfano nondo na yerico
3.ana vunja back borne ya upinzan, baada ya kupata iman ya wafuasi hasa wapinzan ,Sasa anajua anaaminika, anaanza kutema sumu za maana
Kila asemacho asilimia kubwa wanaamin.
Na In short kigogo ni 24 hrs yuko active ,unadhan ni robot ?
Watu Wana shift za kuandika kwenye page ya kigogo , ni office sio mtu
[/QUOTE]
Moods mbona mnaunganisha threads zangu nyie Kila muda ,sio vyema
 
Kweli kabisa kama wale wapumbavu wanao aminisha kuwa jiwe anatimia pesa yake, hivyo hakuna haja ua uchaguzi, upinzani yeye atosha.
Halafu kuna wapumbavu wengi hapo wameaminishwa chama huendeshwa kwa pesa binafsi za Mbowe,mara anakikopesha chama.

Kutegemea et hao jamaa wakishika dola kutakuwa na jipya ni zaidi ya ukichaa.
 
Ok asante nilikuwa sijui kumbe hata kugombea bia bar nayo ni vita
Nimekulazimisha uamini nilichokiandika hapa? Na Kwako Wewe neno Vita unaelewa tu ni mpaka Watu wapigane au wagombane kwa Kutumia Silaha? Pathetic.
 
Kama hawakatwi wanapewa pesa yote, nini kinawazuia wasizipeleke wenyewe kwa mfumo mwingine?
Makato kwa mtumishi ni makubaliano ya kisheria ikitokea malalamiko lazima kuzingatia.
Kwa hio unakiri kuna malalamiko!? Je ni akina nani waliolalamika kuhusu hilo kwa ndugai!?
 
Tuwaulize wwnyewe mazee, maana maandiko ya Mdee yanathibitisha kuna masnitch hawataki kuchangia chama ndio waliopeleka habari kwa spika...
Kwa hio unakiri kuna malalamiko!? Je ni akina nani waliolalamika kuhusu hilo kwa ndugai!?
 
Tujifunze kuvumilia pale viongozi wetu wapendwa wanapokosolewa

-Ukiwa upinzani ukimkosoa Mbowe unashambuliwa ila ukimkosoa JPM na CCM hakuna shida

-Ukiwa Ccm ukimkosoa JPM unashambuliwa ila ukimkosoa Mbowe na upinzani hakuna shida

Hii tabia inatuharibu badala ya kutujenga
 
Kigogo ni double agent mzuri sana!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…