Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

Status
Not open for further replies.
Niliwahi kusema kuhusu kigogo
Wachangiaji zaid ya 109 walinibeza hasa Wapinzan.
Nilisema hivi,kigogo2014 ni agent Wa serikali na anajulikana na serikali.
Lakin hii ni project ya serikal baada ya kujifunza Kwa akina Mange kimambi, kuwa na giants Wa social media aliye nje ya mfumo ,inatoa mwanya mkubwa Wa kushindwa ku control social media
Sasa wapinzan wakadhan wamepata mbadala Wa akina Mange , kumbe walikua wamepata Trojan horse.
Wengine walianza kumpa endorsement Kibao huko Twitter,
Kama ilivo Kwa sleeper agents ,kigogo ameanza kazi aliyopaswa kuifanya rasmi,
1.ana orchestrate mgogoro Wa act na chadema
2. Ana orchestrate mgogoro Wa wapinzan binafsi ,mfano nondo na yerico
3.ana vunja back borne ya upinzan, baada ya kupata iman ya wafuasi hasa wapinzan ,Sasa anajua anaaminika, anaanza kutema sumu za maana
Kila asemacho asilimia kubwa wanaamin.
Na In short kigogo ni 24 hrs yuko active ,unadhan ni robot ?
Watu Wana shift za kuandika kwenye page ya kigogo , ni office sio mtu
 
Mwenzio kigogo akipost anasepa anawaacha nyie mlumbane sasa wewe mbona povu linakutoka hapa watu wakichangia thread yako?
 
Kuwa mpinzani ni sawa na kuvaa nguo nyeupe , DOA likigusa tuuuu ni balaaa .Ni kweli wakuu fedha zimepigwa, zaidi ya 1.9 Bilioni.

Wakuu ni hivi jumla ya Tsh 1.9 Bilioni, Zimekwapuliwa kwenye account ya Chama, (CHADEMA) Miezi kadhaa iliyopita.

Toka jana Chama kimeshindwa kujenga hoja kabisa juu ya ukwapuliwaji wa hizo fedha, John Mrema amejenga hoja dhaifu kuwahi kutokea, kwa kusema kuwa chama kinachafuliwa kwa kuwa tunaelekea uchaguzi mkuu. Hii ni hoja dhaifu kweli kweli

Ipo hivi, Kwa kawaida wabunge wa viti maalumu CHADEMA huchangia 1, 560, 000 kwa mwezi,

Na wabunge wa majimbo huchangia 520, 000 kila mwezi

Katibu mkuu Dr. Vincent Mashinji, Mwenyekiti Freeman Mbowe na Mweka hazina ndio waweka sahihi kwenye hiyo account. (signatories)

Ni takribani ya miezi 5 sasa wabunge hawaendelei kuchanga fedha hizo (wamegoma) baada ya kubaini kuwa fedha hizo zimekwapuliwa na kupelekwa kusiko julikana

Kama mimi muongo aje mbunge yeyote aseme yeye kama ndani ya hii miezi 5 amechanga zile fedha za wabunge zilizokuwa zinachangwa kila mwezi. Na kama haziendelei kuchangwa kuna nini nyuma ya pazia?

Jiulizeni kwa nini wabunge sasa hawachangi fedha hizo?.... Why hawachangi?... Kuna nini nyuma ya pazia?... Aje mbunge hata mmoja aliyechangia mwezi huu au mwezi uliopita.

Jana Mayor wa ubungo kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter badala ya kujenga hoja, anapiga picha magari ya chama, na kudai hakuna fedha zilizo kwapuliwa, anataka kusema kuwa fedha za michango ya wabunge ile imetumika kununua magari?

Fedha za Ruzuku zilifanya nini? .... Leteni ushahidi kwa nini hawaendelee kuchanga fedha kama ilivyo kuwa awali?

Jana Joseph Selasini akijibu hoja hiyo ameweza kukubali kuwa ni kweli Wabunge hawaendelei kuchanga kwa takribani ya mezi 5 kwa kile alicho kieleza kuwa spika amegoma kuwakata.

Mjiulize kwa nini Ndugai amegoma kuwakata?... Kama ameshindwa kuwakata na nyie mpo safi na hakuna upotevu wa hizo fedha za wabunge kutoka account ya ECO Bank, mmeshindwa kuitisha kikao kutafuta njia mbadala ya wabunge kuendelea kuchanga?...Why mnakwepa vikao?

Nimalize kwa kusema, Hao wanaotetea kwamba Fedha zimetumika kununua magari au pikipiki. Je wanajua wanachokifanya? Hawaoni kama wanazidi kukichafua chama?

Haya wabunge njooni sasa, uwanja ni wenu, semeni ni lini mmechanga hizo fedha?

Yani CHADEMA ya sasa haina maana kabisa muda wa kufanyika kwa uchaguzi kwa mujibu wa kalenda ya Chama umeshapita na Mbowe hataki kabisa kuitisha uchaguzi labda kwa sababu anahofia madudu yake kubainika.

Tueleze na 1.4tr za mwenyekiti wenu ziko wapi
 
Chadema bado kinahitaji fedha kujiendesha, hizi propaganda zenu za bilioni 1.9 hazitasitisha shughuli za Chadema. Wote kwenye akili wanaelewa jinsi gani ccm inavyohaha kufarakanisha Chama hiki ambacho wanaamini kuwa ipo siku kitakufa.
Kama wametumia zaidi ya trilioni 2.4 kwenye mambo yasiyojulikana, wameteka watu wetu na kuumiza na kuua, kuwanunua madiwani na wabunge, kuwaonga wanachama wetu vyeo lakini Chadema bado ni msitu mnene, tujiulize kwa nini propaganda nyingi zisiwepo. Kama mwanachadema stand for your right
 
Mleta mada na Ndugai akili yenu ni moja, mumezuia michango halafu unaleta mada tuwajadili kina Mbowe. Shetani was kijani ashindwe. Kama Ndugai anashinda kutwa mzima kuiombea na kuikandamiza upinzani kwa mini tushitushituke kuwa ni ajenda aliichomeka makusidi. Shikeni masikio muelewe kuwa kama walipiga stop trilioni 2.4 isijadiliwe nyie ni nani mnajimaliza kwa bilioni 1.9? Upinzani ni mkali sana nje na mkiruhusu ikahamia ndani hakuna atakayebaki salama
 
Niliwahi kusema kuhusu kigogo
Wachangiaji zaid ya 109 walinibeza hasa Wapinzan.
Nilisema hivi,kigogo2014 ni agent Wa serikali na anajulikana na serikali.
Lakin hii ni project ya serikal baada ya kujifunza Kwa akina Mange kimambi, kuwa na giants Wa social media aliye nje ya mfumo ,inatoa mwanya mkubwa Wa kushindwa ku control social media
Sasa wapinzan wakadhan wamepata mbadala Wa akina Mange , kumbe walikua wamepata Trojan horse.
Wengine walianza kumpa endorsement Kibao huko Twitter,
Kama ilivo Kwa sleeper agents ,kigogo ameanza kazi aliyopaswa kuifanya rasmi,
1.ana orchestrate mgogoro Wa act na chadema
2. Ana orchestrate mgogoro Wa wapinzan binafsi ,mfano nondo na yerico
3.ana vunja back borne ya upinzan, baada ya kupata iman ya wafuasi hasa wapinzan ,Sasa anajua anaaminika, anaanza kutema sumu za maana
Kila asemacho asilimia kubwa wanaamin.
Na In short kigogo ni 24 hrs yuko active ,unadhan ni robot ?
Watu Wana shift za kuandika kwenye page ya kigogo , ni office sio mtu
Hili nalo neno
 
Dah haya mavyama Ni shida tupu, yaani ccm chini ya magu 2.4 trilioni hazieleweki, upande wa chadema 1.9 bilioni duh.watanzania wanyonge watakimbilia wapi? Kwa kweli wanasiasa Ni shida.
2.4t = 2,400,000,000,000/= CCM
1.9b= 1,900,000,000/= Chadema

Namba hizoo...
 
Mbona hoja yako dhaifu Sana hi.Kama ndugai hawakati Hakuna tatizo si ina maana pesa wanabaki nazo wenyewe SI wazipeleke wenyewe.mfano mimi unatakiwa unikate laki moja kwenye mshahara wangu ili ziende chadema hujanikata Mimi SI nizipeleke.Mleta mada Yuko sahihi wamegoma kuchangia wangekuwa haeajagoma hizo pesa wangezipeleka wrnyewe kwa cash au kuagiza benki zao wa transfer hiyo michango toka kwenye akaunti zao ziende akaunti ya chadema.Wamegoma
Duh!! So wewe imekuuma sana?
 
Yaani mnavyoteseka hadi huruma. Huu upuuzi mtaacha lini?

Udipende mpaka upofuke macho. Angalia bavicha wamecharuka yericko kavujisha mazungumuzo
 

Attachments

  • Screenshot_20190921-035816.png
    Screenshot_20190921-035816.png
    274.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_20190921-035803.png
    Screenshot_20190921-035803.png
    276.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20190921-035129.png
    Screenshot_20190921-035129.png
    144.2 KB · Views: 14
mbona mnaharaka subirini kwanza kazi aliyopewa kabakiza mkia tu ccm itang'ooka muda si mrefu tutachagua Mwenyekiti mwingine.
 
Chadema bado kinahitaji fedha kujiendesha, hizi propaganda zenu za bilioni 1.9 hazitasitisha shughuli za Chadema. Wote kwenye akili wanaelewa jinsi gani ccm inavyohaha kufarakanisha Chama hiki ambacho wanaamini kuwa ipo siku kitakufa.
Kama wametumia zaidi ya trilioni 2.4 kwenye mambo yasiyojulikana, wameteka watu wetu na kuumiza na kuua, kuwanunua madiwani na wabunge, kuwaonga wanachama wetu vyeo lakini Chadema bado ni msitu mnene, tujiulize kwa nini propaganda nyingi zisiwepo. Kama mwanachadema stand for your right
Chadema ni msitu mnene 😂😂😂
 
Sasa kama Ndugai hawakati si unaona kabisba yuko nyuma ya huu mchezo?

Yeye kinamhusu nini kuibiwa au kukwapuliwa hela ndani ya chadema?

Kwanini asiendelee na utaratibu wake Wa kukata kama ilivyokua awali? Au kuna wabunge Wa Chadema waliomlalamikia kuhusu suala hilo?

Kua usitukate hela maana hatuoni au haturidhishwi na matumizi yake? Yaani ni kama unavyotoa sadaka na kuondoka, kuibiwa haikuhusu

Ndugai aache kusambaza na kuvumisha usanii wake Wa kutaka wenzao Chadema washindwe hata kujiendesha, hivyo kuipa ccm kushinda uchaguzi bila kupingwa na kutuletea maboya!
Wabunge wengi wa CHADEMA walimtonya asiendelee kuwakata hela zao zinaliwa na mchwa kwenye account ya ECO benki.
 
Niliwahi kusema kuhusu kigogo
Wachangiaji zaid ya 109 walinibeza hasa Wapinzan.
Nilisema hivi,kigogo2014 ni agent Wa serikali na anajulikana na serikali.
Lakin hii ni project ya serikal baada ya kujifunza Kwa akina Mange kimambi, kuwa na giants Wa social media aliye nje ya mfumo ,inatoa mwanya mkubwa Wa kushindwa ku control social media
Sasa wapinzan wakadhan wamepata mbadala Wa akina Mange , kumbe walikua wamepata Trojan horse.
Wengine walianza kumpa endorsement Kibao huko Twitter,
Kama ilivo Kwa sleeper agents ,kigogo ameanza kazi aliyopaswa kuifanya rasmi,
1.ana orchestrate mgogoro Wa act na chadema
2. Ana orchestrate mgogoro Wa wapinzan binafsi ,mfano nondo na yerico
3.ana vunja back borne ya upinzan, baada ya kupata iman ya wafuasi hasa wapinzan ,Sasa anajua anaaminika, anaanza kutema sumu za maana
Kila asemacho asilimia kubwa wanaamin.
Na In short kigogo ni 24 hrs yuko active ,unadhan ni robot ?
Watu Wana shift za kuandika kwenye page ya kigogo , ni office sio mtu
Point,napigia msumari.
 
Sasa kama Ndugai hawakati si unaona kabisba yuko nyuma ya huu mchezo?

Yeye kinamhusu nini kuibiwa au kukwapuliwa hela ndani ya chadema?

Kwanini asiendelee na utaratibu wake Wa kukata kama ilivyokua awali? Au kuna wabunge Wa Chadema waliomlalamikia kuhusu suala hilo?

Kua usitukate hela maana hatuoni au haturidhishwi na matumizi yake? Yaani ni kama unavyotoa sadaka na kuondoka, kuibiwa haikuhusu

Ndugai aache kusambaza na kuvumisha usanii wake Wa kutaka wenzao Chadema washindwe hata kujiendesha, hivyo kuipa ccm kushinda uchaguzi bila kupingwa na kutuletea maboya!
Kama hawakatwi wanapewa pesa yote, nini kinawazuia wasizipeleke wenyewe kwa mfumo mwingine?
Makato kwa mtumishi ni makubaliano ya kisheria ikitokea malalamiko lazima kuzingatia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom