Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutakula wapi, acha hizo weweGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Tuoneeni huruma jamani nchi masikini hii mtaimalizatutakula wapi, acha hizo wewe
Hapo Sasa ndio hatuelewi manunuzi siriTaa hizo ngapi, za lumens ngapi na moja ni sh ngapi?
Nchi ngumu sanaNgoja tuwasubiri wataalamu.
Badala ya kujibu hoja watakushambuliaGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
njaa njaa baba! Punguzeni mnazowapa wanamichezo....mkitumia hovyo nyinyi wenye madaraka na sisis wa chini tutafaya hivyo hivyo!Tuoneeni huruma jamani nchi masikini hii mtaimaliza
Taa hizo ngapi, za lumens ngapi na moja ni sh ngapi?
Makonda wenu huyoGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Kipindi cha kula kwa urefu wa kambaGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Bila kupata specs za taa na namna zinavyofungwa, huwezi jibu swali hiliGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?