Lakini unavyouangalia uwanja wa Arusha unaweza kula Bilioni zote hizo kwa taa tu?Bila kupata specs za taa na namna zinavyofungwa, huwezi jibu swali hili
Kodi zikanunue taa?"WaTanzania hamlipi kodi, ni watu millioni 12 tu ndiyo wanalipa kodi"
Uandishi wa kiuzushiGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
Zingekuwa mil.1 Mwendazake angeshafunga taa,Sasa aliiba pesa za airport ya Mwanza na Kushindwa kufunga taa Songwe .RIP magufuli
π¨π¨π¨ππBillion 30 kufanya renovation
Sawa mtoa mada na mbumbumbu wenzako mlitaka iwe bei gani? Au unajua ni taa za kumulikia mechi za Azam? ππππGreat thinkers na wataalamu wa taa hii gharama ni Sahihi au watu wanakusanya za uchaguzi?
π¨π¨π¨ππ Bado hujasema π πHapo mama Abdul kashakunja billion 3 yake hizo zinazobaki wale na wengine wa chini yake
Acha ujinga wewe,ulipo hapo hujui chochote kuhusu mfumo wa manunuzi wa Umma ila unapayika tuu.Hapo Sasa ndio hatuelewi manunuzi siri
Sio taa za kukuzia broilers hizo ππππKipindi cha kula kwa urefu wa kambaView attachment 3198673
Watu wanadhani ni taa kama taa zao za chooniSiwezi kubisha katika airports taa zina gharama kuanzia bei hadi installation na uendeshaji.
Japo wataiba lakini gharama zitakaribia hio gharama tajwa.
Taa za airport ni bei gani mkuu?Ni Kwa sababu Nchi Kwa Sasa imekuwa shamba la bibi.