Kuna watu hawaoni hilo. Jamaa anafanya biashara yenye risk sana.Na huyu bwana hawezi uza jezi non stop for two years kuna kipindi zitamdodea tu.....
Ndilo swali languSimba imepanda thamani, ni pesa ndogo sana.
Simba.imesambaa.nchi nzima wana uwezo wa chini kuuza jezi laki tano acha na vitu vingine kama kofia, bendera na bidhaz nyingine.
Kama kila jezi ni 20000 mauzo ni Bilioni 10 ukiondoa gharama nyingine wanapata si chini ya bilioni 5....
Kwahiyo huko ukingani kila mtu tajiri?Nenda ukingani majibu utayapata huko.
Mkuu, hatupaswi kufungwa na mtizamo wa nyuma ikiwa tunaizungumzia Simba iliyomaliza nafasi ya kwanza kwenye group lenye timu kama Al ahly na As Vita.Mtazamo wako ni finyu sana.
Haujaainisha kwa miaka ya nyuma Simba walikuwa wakiingiza kiasi gani kwa mauzo ya "MERCHANDISE" zake...
Atadodewa vipi na jezi wakati kila msimu zinatoka jezi mpya?Kuna watu hawaoni hilo. Jamaa anafanya biashara yenye risk sana.
Simba wamepigwa na Vunjabei [emoji23][emoji23][emoji23]Kutoka kulipwa mil 100 kwa mwaka mpaka bilion 2 kwa miaka 2 unasema wamepigwa dah...huu mwanzo tu subiri tuone mwisho wa mkataba utajua nani kapigwa au kashinda.
Yani jinsi ulivyopiga hayo mahesabu nakufananisha na mkulima wa matikiti kwenye mtandao....Hongera sana Simba na Vunja bei kwa makubaliano ya kihistoria mlioingia hii leo, kiukweli Simba imepiga hatua ukilinganisha na ilipokuwepo...
Kwani yeye kauliza maisha ya kila mtu?Kwahiyo huko ukingani kila mtu tajiri???
Naamini hivyo.Na huyu bwana hawezi uza jezi non stop for two years kuna kipindi zitamdodea tu.....
Hawa Simba wakishanyolewa club bingwa ndio kwisha habari yao nani atataka kununua jezi jekundu, hii business ina risk balaa is all about mood swing.Mtazamo wako ni finyu sana.
Haujaainisha kwa miaka ya nyuma Simba walikuwa wakiingiza kiasi gani kwa mauzo ya "MERCHANDISE" zake...
Ndio maana nimeanza kwa kuwapongeza.Yani jinsi ulivyopiga hayo mahesabu nakufananisha na mkulima wa matikiti kwenye mtandao....
Vunja Bei ataingia gharama za...
Hiyo biashara ina pande mbili aidha imtoe au imfilisi.....kama yy ndio kaweka fedha yake...Kuna watu hawaoni hilo. Jamaa anafanya biashara yenye risk sana.
Kwa kuanzia sio mbaya, ukitegemea miaka ya nyuma simba alikuwa anapata 100M, after hiyo miaka miwili nategemea deal litakalosainiwa litakuwa kubwa zaidi ya hili la 2BHongera sana Simba na Vunja bei kwa makubaliano ya kihistoria mlioingia hii leo, kiukweli Simba imepiga hatua ukilinganisha na ilipokuwepo.
Twende kwenye facts sasa....
Gharama za uendeshaji ndio kila kitu....Ndio maana nimeanza kwa kuwapongeza.
Mind you halafu hesabu za hapa nimeweka elfu 10 kinyume na uhalisia wa bei ambazo zitakuja kuuzwa
kwa quality ya jezi ya simba, wachina wanakutolea hiyo hiyo kwa bei isiyofika shilingi elfu kumi (bei ya jumla).Gharama za uendeshaji ndio kila kitu....
Jezi zitauzwa 30-35k
Angalau simba inapata bilioni mbili kwenye jezi na vifaa, yanga hampati hata bukuNyie Simba jipeni matumaini tu, huku mitaani tumejaa mashabiki wa Yanga na hizo jezi zenu hanunui mtu(joke)[emoji6]