Nejad Rocket
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 298
- 197
Hi great thinkers Jana katika mitandao mbalimbali nchini kuligubikwa na taarifa za JPM kulipa bilioni 200 Kwa wadai wa ndani.
Napongeza hatua hii kwakuwa mvua zimeanza kunyesha sehemu nyingi nchini.Watakao lipwa naamini hawatafanya kosa katika kilimo na kukuza shughuli zao tofauti.
Hongereni mnaonuia kuzitumia vizuri hizo pesa mtakazolipwa ili mzunguko wa fedha urudi bata ziendelee
Napongeza hatua hii kwakuwa mvua zimeanza kunyesha sehemu nyingi nchini.Watakao lipwa naamini hawatafanya kosa katika kilimo na kukuza shughuli zao tofauti.
Hongereni mnaonuia kuzitumia vizuri hizo pesa mtakazolipwa ili mzunguko wa fedha urudi bata ziendelee