Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bill Cosby is very Conservative old school so democrats wakamfix .Sababu ni kuwa Mzee alitaka kununua NBC, wakaamua kumfix.
Media za US zinatumika kuendeleza agenda ya kikundi cha watu fulani, hawawezi kuruhusu outsiders kuwa kwenye club. Ndiyo maana Bob Johnson walim-frustrate na divorce ya mke wake, halafuakanyang'anywaakauza kampuni yake ya BET. US wanawake weusi wanatumika sana bila kujijua kuendeleza agenda.
R. Kelly ni kweli alikuwa anapenda dogo dogo (alimuoa Aaliyah akiwa 15), hii inajulikana miaka mingi. Tatizo hiyo movement ililenga zaidi wanaume weusi wakati huo mchezo unafanywa zaidi na wanaume wazungu, hasa kule Hollywood
Case yake ilikuwa Democratic prosecutor alipokuwa ana campaigh akawaambia watu mkinichagua tu nitamweka bil mk Cosby ndani that aid against constitution na thanks god kuna Supreme CourtKama ataonekana hakuwa na hatia ina maana itabidi wamlipe pesa nyingi sana...
Billy Cosby aliungwa tu akaliwa kichwa.Kama yamemkuta Bill Cosby kuna aliesalama.
Kwani katolewa na Obama .Trump lawyer did itHongera awamu hii, impact ya kuachiwa watu ameieneza , sasa hata huko majuu wanatoka ppD kazi njema
Hongera awamu hii, impact ya kuachiwa watu ameieneza , sasa hata huko majuu wanatoka ppD kazi njema
Pamoja na Eddie Murphy. Ila jamaa namsifu aliahidiwa akikiri na kukubali alibaka anfaxhiwa mapema mwaka huu la sivyo atakaa jela hadi miaka 10. Akakataa na kuamua kukaa jela iyo miaka 10.
Ni kama tu Rugemalila wajaribu wapi
Yani hata kumuamgalia mtu ni kosa ukimgusa kwa bahati mbaya ya utani unashtukiwa na kama Kuna picha hata ya miaka mingapi ukishtakiwa unakuwa in troubleNi kuishi na hawa wenzetu kwa machale, hata kumuadhibu mwanao inabidi pia uwe mwangalifu, la sivyo utakosa kila kitu.
Hee?! Kwn Eddy Murphy yuko jela??Pamoja na Eddie Murphy. Ila jamaa namsifu aliahidiwa akikiri na kukubali alibaka anfaxhiwa mapema mwaka huu la sivyo atakaa jela hadi miaka 10. Akakataa na kuamua kukaa jela iyo miaka 10.
Ni kama tu Rugemalila wajaribu wapi
Pamoja na Eddie Murphy. Ila jamaa namsifu aliahidiwa akikiri na kukubali alibaka anfaxhiwa mapema mwaka huu la sivyo atakaa jela hadi miaka 10. Akakataa na kuamua kukaa jela iyo miaka 10.
Ni kama tu Rugemalila wajaribu wapi
Usikute hata R KELLY anasingiziwa.
Alibadilishiwa tuu jela ila bado wanae.
Wale mnojisadifu kula tunda kimasihara muwe makini
"Trump anachukia sana waafrika libaguzi sana"
Yessir!Nyani Ngabu njoo utie neno huku kuhusu kuachiwa kwa Cosby baada ya yeye mwenyewe kutoa ushahidi kuhusu kutumia madawa kulala na wanawake mbali mbali.