Bill Cosby kutolewa jela na makosa yake yamefutwa

Bill Cosby kutolewa jela na makosa yake yamefutwa

110% accurate Sir. 👍🏽

Yessir!

Cosby kaachiliwa huru si kwa sababu hana/ hakuwa na hatia!

Kaachiliwa kwa sababu ya technicality tu.

Kulikuwa na violation ya due process.

Ndo uzuri na ubaya wa kufuata sheria.

Hata kama mtu ni kweli katenda kosa, huwezi tu kumfunga jela bila kufuata taratibu za kisheria zilizopo.

Ukimfunga jela bila kufuata mchakato wa kisheria, mtu huyo anaweza kushinda rufaa ya yeye kupinga mchakato uliotumika kumfunga endapo mchakato huo haukufuata sheria.

Kwa hiyo Bill Cosby kuachiwa, hakuhusuani kabisa na ukweli au uongo wa tuhuma dhidi yake.

Kama ulivyosema, ni kweli yeye mwenyewe alisema kuhusu kutumia hayo madawa kuwalala wanawake.

Lakini sheria ni lazima ifuatwe katika kila hatua ya mchakato wa kesi.
 
I don't understand,
how can a well grown woman inter to the room of a married celebrity man, then she wait 30yrs ndio anakuja kusema umekuwa abused sexually??..How?.
 
Kama yamemkuta Bill Cosby kuna aliesalama.
Nje ya mada.
Hiyo ID yako nimeipenda sana ni jina nimetokeaga kulipendaga tu nisipopata mpenzi mwenye hilo jina hata mtoto wangu nitamwita Mungu akijalia.
 
Shida sana aisee na huko wazungu Wana visheria vya ajabu ajabu sana aisee na mwanamke akiku report wafwa
States na ulaya mwanamme Ni Kama kimba tu mbele ya jamii na Sheria.

Mwanamke akichomoea tu umekwisha
 
Bora ze Jacko alijifia zake, pengine na yeye angekua lupango za hizi.
Yeye Nate alipelekeshwa kweli kesi za kubumba dhidi ya watoto.

Walisababishwa aanze kuchukiwa na akashindwa fanya kazi zake muziki.

Akawa frustration kibao akaanza kubugia midawa ya usingizi.

Akajifia zake .

Alipokufa wakapiga Sana hela kumuongelea kwenye media zao na kuonesha ule msafara wa maiti.

Wapuuzi Sana hao
 
Inasikitisha Sana, wanaume huwa victim wa mengi ni vile huwa hawapigi kelele kama sisi wanawake
Ukipita kelele utaambiwa uko soft .

Eti ugangamale ndio uanaume hata kama maji yamefika shingoni [emoji1].

Wanaume wanakufa na mengi sana sio ajabu life expectancy Yao iko down kuliko wanawake
 
Ukipita kelele utaambiwa uko soft .

Eti ugangamale ndio uanaume hata kama maji yamefika shingoni [emoji1].

Wanaume wanakufa na mengi sana sio ajabu life expectancy Yao iko down kuliko wanawake
Ndio maana wanaume wanakufa mapema Sana, na kujiua juu loh
 
I don't understand,
how can a well grown woman inter to the room of a married celebrity man, then she wait 30yrs ndio anakuja kusema umekuwa abused sexually??..How?.
Boss, hiyo ya hao wanawake yote ni chai tuu.

Mfumo hauruhusu mwanaume mweusi kuonesha image of power, integrity and respect, kitu ambacho mzee Cosby amekionesha kwa miaka mingi.

Mfumo unapenda kuonesha weak image kwenye media kwa mwanaume mweusi (mf kuwekwa jela, uchoko, n.k).

Kwa juu juu inaonekana upande wa mashtaka walikosea ndiyo maana wamemtoa ila walichokitaka ni kumchafua mzee.
 
Boss, hiyo ya hao wanawake yote ni chai tuu.

Mfumo hauruhusu mwanaume mweusi kuonesha image of power, integrity and respect, kitu ambacho mzee Cosby amekionesha kwa miaka mingi.

Mfumo unapenda kuonesha weak image kwenye media kwa mwanaume mweusi (mf kuwekwa jela, uchoko, n.k).

Kwa juu juu inaonekana upande wa mashtaka walikosea ndiyo maana wamemtoa ila walichokitaka ni kumchafua mzee.
Uchoko na u-lesbian,tena wanatumika blacks wenyewe bila hata wao kujua.Yaani wanajitahidi every black icon awe na sifa chafu chafu hasa uchoko..Utasikia a black gay this and that..Ukiangalia ile video ya Lil Nas X utagundua ule ni mfumo unamtumia ku potray ule uchafu..
 
Uchoko na u-lesbian,tena wanatumika blacks wenyewe bila hata wao kujua.Yaani wanajitahidi every black icon awe na sifa chafu chafu hasa uchoko..Utasikia a black gay this and that..Ukiangalia ile video ya Lil Nas X utagundua ule ni mfumo unamtumia ku potray ule uchafu..
Tena huyo lil Nas X ni a one hit wonder, hata matamasha hafanyi ila wanavyomnadi kuwa anapendwa utafikiri ni Prince vile.
 
Back
Top Bottom