Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Hujamkumbuka Ex wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujamkumbuka Ex wako?
Mnh!Bill wala haamini hizo habari za Mungu.
Nimemjibu mtoa mada kwa hilo la Mungu hayo mengine yajibuni nyie🙏Mnh!
Vipi kuhusu hoja ya pili ya kukimbiwa na mke?anaamini au haamini?
asingeaza tu ,bilgate naye inaonesha akiwa tungi hua anaweweseka......
Nawaza kama huyu tajiri namba moja kwa zaidi ya miaka kumi A.k.A Bill Gates asingeachana basi angekua na utajiri mkubwa sanaa labda top 3Ndio maana mlielezwa muishi nao kwa akili
Bill Gates aliyekuwa tajiri namba moja duniani na mke wake wa ndoa Melinda Gates walitalikiana miaka miwili uliyopitia. Mke alivuna karibu nusu ya utajiri wa Bill
Kwa sasa akihojiwa na vyombo vya habari amedai mtalaka wake huyo anahangaika kutumia marafiki wa karibu wa Bill ili amsamehe, kwamba hana amani ya moyo
Kisa hicho kimetokea baada ya mwanaume aliyemrubuni Melinda kumwacha kuanzia Mei mwaka huu, hivyo kabaki hana pa kuushika,
Melinda alidai atakuwa na furaha kitu ambacho kimekuwa kugeuka kwani jamaa anaendelea na mambo yake, TMZ wameripoti habari hiyo na kuifuta haraka sana lakini Bill mwenyewe aliongea na watu mbalimbali na kuthibitisha hilo
Tuzidi kujifunza juu ya hawa Wanawake hawajielewi kabisa wanataka nini na hawataki nini
Miss aishiwameshamaliza Hela au
asingeaza tu ,bilgate naye inaonesha akiwa tungi hua anaweweseka......