Bill Gates adai mke aliyetalakiana naye aanza kuwatumia marafiki wa karibu kuomba msamaha

Bill Gates adai mke aliyetalakiana naye aanza kuwatumia marafiki wa karibu kuomba msamaha

Ndio maana mlielezwa muishi nao kwa akili

Bill Gates aliyekuwa tajiri namba moja duniani na mke wake wa ndoa Melinda Gates walitalikiana miaka miwili uliyopitia. Mke alivuna karibu nusu ya utajiri wa Bill

Kwa sasa akihojiwa na vyombo vya habari amedai mtalaka wake huyo anahangaika kutumia marafiki wa karibu wa Bill ili amsamehe, kwamba hana amani ya moyo

Kisa hicho kimetokea baada ya mwanaume aliyemrubuni Melinda kumwacha kuanzia Mei mwaka huu, hivyo kabaki hana pa kuushika,

Melinda alidai atakuwa na furaha kitu ambacho kimekuwa kugeuka kwani jamaa anaendelea na mambo yake, TMZ wameripoti habari hiyo na kuifuta haraka sana lakini Bill mwenyewe aliongea na watu mbalimbali na kuthibitisha hilo

Tuzidi kujifunza juu ya hawa Wanawake hawajielewi kabisa wanataka nini na hawataki nini
Nawaza kama huyu tajiri namba moja kwa zaidi ya miaka kumi A.k.A Bill Gates asingeachana basi angekua na utajiri mkubwa sanaa labda top 3
 
Ila wanawake bhana ,kwamba mpaka elite Illuminati members wanaachwa au sio ?
Halafu Gates ni pedophile na Satanist aliyekuwa anafanya ibada za sexual abuse na watoto wadogo , yupo kwenye list ya clients WA Epstein
Ila Kwa vile sheria haina meno kwa watu A lists kama Bill ndio hivyo tena
 
images (6).png
 
Back
Top Bottom