Bill gates ala wali maharage

Alikula wali maharage pamoja na wanafunzi hao.
Ni mfano wa kuigwa, kuwa matajiri wawe na mda wa kujichanganya na masikini kwenye baadhi ya matukio.
Ili kujifunza na ikiwezekana kusaidia katika miradi mihimu ya kijamii.
 
hivi unajua kuna wabongo wanakula hela za bill gates na tuko nao hapahapa bongo bahati mbaya?!! kuna wahuni morogoro wana mradi wa mabusha ya panya buku, juzi melinda gates kaja kimya kimya kukagua na akaacha mlungula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…