Bill Gates had a video game created for microsoft windows called ‘omikron’

Kutumia kwa maana ovu.Anyway,unachotetea ni nini hapo,mbona concept ipo wazi?Acheni kutumika ninyi.
 
Ila kwel eeeh[emoji848][emoji848][emoji848]
Sema haya mambo yanachanganya sana aisee
 
Haihitaji akili sana ku-connect the dots mkuu,labda kama kichwani kidoogo kuna shida.
 

Soma Mada Upya
 
Soma Mada Upya
Nisome mada ili iweje. Ndio nishasoma na hoja yangu nishatoa, kama una hoja itoe na kama huna acha porojo. Mkikosa majibu mnarudi kwenye vipoint uchwara vyenu vya soma mada upya, hii ni kwa wenye akili tu, hii ni siri, etc.

Bill Gates ndio alianzisha hiyo herufi ya Omicron? Wagiriki ndio waliianzisha je ndio walileta COVID-19? Hata variant inayoweza kuja itaitwa vyovyote iwe Omega au Rho na mtakuja na vijistori vya billionaire fulani alinunua nyumba akaiita Omega na humo akafuga mashetani.
 
Hata mm nimeshangaa sana,kirusi kipya tayari jina limejulikana.
... cha kushangaza hapo nini? Mkuu Cvez hapo juu katuwekea nomenclature ya virus vya corona; they are named after Greek alphabets (at least for now); haihitajiki akili yoyote kujua next kitaitwa kwa jina gani. Ni sawa na vimbunga; jina la kimbunga kitakachotokea 2040 tayari lipo kwenye list. Let's be free minded badala ya kutekwa na propaganda uchwara!
 
Kuna watu wanaendeshwa na hizi propaganda ili mradi tu kuwe na debates tu.
 
Kwaiyo ata Hili jua linaloleta ukame Ni planned[emoji848]
 
Umejuaje wewe muuza miguu ya kuku huko Buza?
 
UONGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…