Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

Bima ya Tsh 4 kwa Kila Mtanzania!

Matibabu ya wazee na watoto ni changamoto..... Mengine haya ni siasa
 
Ngoja tuone, Bima ya Afya kwa wote siyo lala mama...
 
Kazi iendelee...

Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.

NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Huyu mama ni tajiri sana kuliko watanzania, yeye kila siku anamwaga mipesa tu wala hafirisiki! Hatuna sababu tena ya kugharamia bunge la bajeti kwani mama yupo na anazo.
 
Kazi iendelee...

Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.

NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Afya M231.7 kweli tunania ya kutibu watu??? Kwa hiyo pesa kweli??
 
Mrudishe magonjwa makubwa kwenye bima sio kutuachia magonjwa ya elfu kumi mpaka laki kwenye bima halafu yale ya mamilioni mmeyaondoa
 
Wale waliojipanga kuandamana huko New York vipi?

Na wale wa #MboweSiGaidi nao wanasemaje?
IMG_20211004_045425.jpg
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

#HONGERA RAIS SAMIA
 
Kazi iendelee...

Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.

NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 
Kazi iendelee...

Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.

NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

Jamani raisi hana hela yake andikeni serikali na kusema jina na raisi inakuwa kama katoa pesa zake binafsi wakti si kweli hizi ni pesa za umma.
 
Jamani raisi hana hela yake andikeni serikali na kusema jina na raisi inakuwa kama katoa pesa zake binafsi wakti si kweli hizi ni pesa za umma.
Mbona umeelewa lakini mkuu,


#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 
Bima ya Tsh 4 kwa Kila Mtanzania!

Matibabu ya wazee na watoto ni changamoto..... Mengine haya ni siasa
Hiyo ni fedha yakuanzia tu mkuu Wang

#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 
Kazi iendelee...

Pamoja na kwamba Bima ya Afya kwa wote iko kwenye Ilani ya CCM 2020-2025 Ukurasa wa 136 aliyekuwa Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu alidukua kipengele hiki na kukinadi kwa nguvu kubwa wakati flani, ikaonekana kana kwamba hilo wazo la " Bima ya Afya kwa Wote "ni lake Watanzania bila kujua kuwa alilidukua toka Ilani kubwa ya chama kikubwa cha CCM, fine yamepita,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa "Bima ya Afya " tayari ameshatenga pesa ya kuanzia kiasi cha Tshs 231.7M kwaajili ya kugharamia mpango huu kupitia Bajeti ya Wizara ya Afya ya FY2021|22 hapa nataka nawale wachache waliosalia Chadema na vyama vingine vya ACT, NCCR, CUF waje CCM kuungana na Mama Samia Suluhu katika kuwaletea Watanzania maendeleo endelevu kwakuwa kila walichoahidi kwa maneno Mama Samia Suluhu anafanya kwa vitendo.

NB, Muswada wa sheria ya Bima ya afya kwa wote rasmi bungeni mwezi Nov 2021 pesa tayari ipo.

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
Back
Top Bottom