Bima ya Afya kwa wote Wizara iache woga ipeleke muswada Bungeni

Bima ya Afya kwa wote Wizara iache woga ipeleke muswada Bungeni

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu alitanabaisha mapema kuwa wataalamu wa afya wahakikishe kuwa muswada wa bima ya afya kwa wote unaenda bungeni haraka.

Nichukur fursa hii kama mwanamtandao wa kijamii kuwashawishi tena Wizara ya Afya chini ya mama Gwajima kiharakisha utekelezaji wa zoezi hili.

Ni muda muafaka sasa wa muswada huu kufika Bungeni.

Kamwe tusiogope kuleta muswada huu bungeni kwani afya ni jambo la lazima kwa jamii yetu.

Financing ya afya ni jambo la msingi katika ukuaji wa sekta ya afya.hadi sasa Tanzania bado imeweka swala la afya kwa hisani ya wahisani..hili sio sawa.

Leteni muswada huu bungeni ili lijadiliwe na kujikomboa.

Hayo ni yangu kwa leo.

Tutekeleze Ilani ya CCM na ya Chadema pia

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Kama utapelekwa bungeni naamini utapitishwa, tatizo litakuja kwenye utekelezaji wake, kila siku mahospitalini wanazidi kuondoa madawa kwenye huo utaratibu wa bima wakati wanaopata hiyo huduma ni wachache, je wakiongezeka huo mzigo wataweza kuubeba?
 
Mimi nafikiri waanze na wazee wa miaka 50 hawa wanateseka sana mahospitali.

Ile pesa ya kodi ya simcard ndio itumike kwa bima ya afya.
 
Kamwe tusirudishwe nyuma na vibaraka wa mabeberu ambao siku zote watalipwa kuhujumu.
 
Back
Top Bottom