Bima ya Afya, mnachokifanya mnajua madhara yake?

Inauma, inakera, inaumiza.
Kuna mengi mioyoni mwetu ila tuendelee kuwaomba wafahamu kuwa afya ni mali na pesa tumezipata kwa jasho.
 
Si ubinafsi rafiki.
Ni kutapatapa.
Nimewaza hivi kwa kuwa tunatakiwa twende mkoani ambako gharama ni kubwa mno.
Hatuimudu.
Heri nusu shari......
Sawa heri nusu shari....

Ila kiukweli Serikali hii inabidi ifanye mabadiliko makubwa kwenye recruitment ya viongozi wa Umma na taasisi zote vinginevyo hakutokuwa na mabadiliko.
 
Sawa heri nusu shari....

Ila kiukweli Serikali hii inabidi ifanye mabadiliko makubwa kwenye recruitment ya viongozi wa Umma na taasisi zote vinginevyo hakutokuwa na mabadiliko.
Mioyo yetu imelemewa mengi.
 
Kwakua una afya na nguvu unajona uko salama, siku yakikukuta ndio utajua mtoa mada anamaanisha nini.
 
Lengo ni wastaafu/wanachama wengi wasipate taarifa ya uhakiki kwa wakati mpaka muda wa uhakiki uishe wawasitishie huduma/uanachama.

Halafu wasote miezi kurudishiwa uanachama mfuko walau upumue kidogo.

Mfuko uko taabani huku wenyewe wakikopeshana michango ya wanachama wao hawajui FINCA,BAYPORT etc
 
Ummy Mwalimu na Naibu wako umemsikia huyu Mzee anavyotoa mapendekezo yake, alafu mda mwingine muwe mnaomba hata ushauri kutoka kwa wananchi basi kuliko kujiamulia tu kisa mnashinda kwenye viyoyozi mda wote, it's not fair
 
Ummy Mwalimu na Naibu wako umemsikia huyu Mzee anavyotoa mapendekezo yake, alafu mda mwingine muwe mnaomba hata ushauri kutoka kwa wananchi basi kuliko kujiamulia tu kisa mnashinda kwenye viyoyozi mda wote, it's not fair
Asante sana kwa utetezi wako.
 
Vitu vingine Viwapite
Mkajadili Kula tunda kimasihala
Sio Kuharibu Mada yawatu
 
Kwakua una afya na nguvu unajona uko salama, siku yakikukuta ndio utajua mtoa mada anamaanisha nini.
Nishashindwa kupata huduma za kibingwa kwa kukosa bima, na ikabd kukaa na ugonjwa zaidi ya miaka miwili now ndo nahangaika kujiweka sawa , na kila after two weeks nipo Regency medical center ..... kuhusu janga la kiafya hapa Tz nishaexperience badly chief ... Huyo mzee aende Bugando , KCMC na Mhimbili aone jinisi watu wanavyokata Moto kwa kukosa huduma kisa hawana bima na hawana cash , inashangaza yeye ameambiwa akahakiki tuu taarifa bima yake iende viral anaanza kulia lia..kimsingi anatakiwa akae Ulaya na sio hii Tz
 
Pole sana , najihisi kuogopa sasa maana
 
Hizo nguvu za kuhakiki wangeziwekeza kwenye kuzuia wezi ingekuwa poa sana
 
Asante sana kwa.maoni yako.
Nakuomba usome tena maelezo yangu.
Ukiwauliza wataalam, hata uzee ni aina.ya ugonjwa.
Hivi unapoona TRA, benki, NSSF, wapo kila wilaya unaona wamekosea?
Hao wanaopeleka huduma za kifedha hadi vijijini wanalenga nini?
Serikali inapojenga zahanati, vituo vya afya, shule, vyuo vya Ufundi, vituo vya polisi nk karibu na wananchi inakusudia nini?
 
Tutafute hela aisee maana huko mbeleni matibabu yatakuwa ghali sana
 
Sikushangai wewe kwasababu unafikiri kila mtu anaishi mazingira kama ya dar ambapo mtu kwenda mkoani anapanda daladala ya Tsh. 500.
Kuna maeneo ndani ya nchi hii mtu kwenda mkoani ni safari ya siku nzima na nauli ni kubwa, bado gharana za malazi maana muda anaofika ofisi zineshafungwa
Kumwambia aende na mwenzi wake maana yake gharama zinaongezeka mara mbili. Wazee wetu hawa wanahoja za msingi acha kuwakebehi
 
Watu huwa hawashindani kwa matatizo. Kama unapitia magumu usitake na mwenzako ayapitie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…