Bima ya Afya, mnachokifanya mnajua madhara yake?

Bima ya Afya, mnachokifanya mnajua madhara yake?

Sikushangai wewe kwasababu unafikiri kila mtu anaishi mazingira kama ya dar ambapo mtu kwenda mkoani anapanda daladala ya Tsh. 500.
Kuna maeneo ndani ya nchi hii mtu kwenda mkoani ni safari ya siku nzima na nauli ni kubwa, bado gharana za malazi maana muda anaofika ofisi zineshafungwa
Kumwambia aende na mwenzi wake maana yake gharama zinaongezeka mara mbili. Wazee wetu hawa wanahoja za msingi acha kuwakebehi
Asante sana kwa hoja nzuri.
Heri yake anaongea kukosa
"Huduma za kibingwa".

Mioyo yetu ina mengi.
 
DENAMWE ahsante sana jwa taarifa muhimu kwa wastaafu. Wengi hatuna habari ya UHAKIKI wa kadi za bima za afya kwa wastaafu. UBARIKIWE SANA.

Ushauri wako uzingatiwe. Kijana wa leo ni mzee wa kesho. NHIF wekeni utaratibu mzuri wa bima ya afya kwa wastaafu ili nanyi mkifika uzeeni mfaidike na mipango mizuri mliyoisisi.
 
Ishu serious kama hii kuna litanzania linaandika ujumbe wa kukejeli ama kweli kuna wachawi wako wazi sana. Poleni sana sana Mungu awasimamie.
 
DENAMWE ahsante sana jwa taarifa muhimu kwa wastaafu. Wengi hatuna habari ya UHAKIKI wa kadi za bima za afya kwa wastaafu. UBARIKIWE SANA.
Ushauri wako uzingatiwe. Kijana wa leo ni mzee wa kesho. NHIF wekeni utaratibu mzuri wa bima ya afya kwa wastaafu ili nanyi mkifika uzeeni mfaidike na mipango mizuri mliyoisisi.
Nakushukuru sana Alibaaliyo.
Tuendelee kusaidiana.
 
Ishu serious kama hii kuna litanzania linaandika ujumbe wa kukejeli ama kweli kuna wachawi wako wazi sana. Poleni sana sana Mungu awasimamie.
Ni ajabu sana.
Huenda anafaidika kwa adha tunazozipata.
 
Mimi ni mstaafu mwandamizi niliyepo wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera.

Nilipata tetesi za kuwapo kwa uhakiki wa wastaafu walio kwenye mfuko wa bima ya Afya tangu mwezi Machi mwaka huu. Kila aliyeniambia nilipomuuliza alikozipata taarifa, naye aliniambia ameambiwa na mwingine.
Hakukuwapo uthibitisho wa chanzo.

Nilihisi kuwa ni jumbe za kitapeli ambazo zinatumwa mara kwa mara. Jana, jamaa yangu akanitumia na kuniuliza iwapo nimepata ujumbe huu:

"NHIF 17.03.2023 SAA 03:11PM NDG. MWANACHAMA MSTAAFU,TAFADHALI FIKA NA MWENZAWAKO KTK. OFISI YA MFUKO ILIYO KARIBU KWA AJILI YA ZOEZI LA UHAKIKI KABLA YA 30.04.2023. AIDHA, FIKA NA NA. YAKO YA NIDA NA NA. MWENZA WAKO. KWA UFAFANUZI _ PIGANA. 199 BILA MALIPO. SENDER HENRY".

Naye alitumiwa na mstaafu mwenzetu. Sikuamini kuwa huo ni ujumbe halali. Mtindo/namna ya uandishi haikuniongoza kuamini kuwa umetumwa na taasisi hii kubwa. Kuna makosa mengi ya kiuandishi na hata ya kimantiki. Hilo tuliache.

Niliingia kwenye tovuti yao. Sikuona tangazo hilo. Niliwasiliana nao kupitia simu hiyo 199. Nilipata ushirikiano mkubwa kwa aliyenipokea. Niliambiwa yafuatayo:

1. Ni kweli uhakiki upo. Unahusisha wastaafu na walioko kazini. Wanataka mstaafu aende na mweza wake.

2. Kila mhusika alishaarifiwa kupitia simu yake na kila mmoja ana tarehe yake. Mimi na wastaafu sita niliowauliza hatuna ujumbe huu.

3. Uhakiki unafanyika makao makuu ya mkoa.

4. Mwisho wa uhakiki ni Mei 30.

Inaelekea bima ya afya hawafahamu kuwa Wastaafu (wateja wao):
i) Ni wazee
ii) Wengi ni wagonjwa
iii) Wengi wana pato duni mno ambalo huenda halitoshi hata gharama ya kwenda mkoani.
iv) Baadhi ni walemavu
v) Kuna ambao hawawezi kusoma jumbe hizo

Yaani wao kwenye simu zao wanafahamu kubonyeza kitufe kimoja tu. Cha kupokelea simu.
Hawa hawawezi kuweka vocha, kukata simu baada ya maongezi, kuongeza salio, kuunga kifurushi nk.
Sembuse kusoma au kuandika ujumbe!

Ushauri:
1. Uhakiki ufanywe jirani na wahusika. Ikiwezekana kwenye Kata. Kuwalazimisha kwenda mkoani kuachwe. Haya ni mateso. Mateso makubwa mno.

Mstaafu aliyepo kijiji cha Muganza wilayani Ngara, mkoa wa Kagera, uhakiki huu utamgharimu siku 5 (kwenda Bukoba na Kurudi). Baadhi ya wastaafu wanahitaji kusindikizwa/kupata wasaidizi. Mbali ya adha za safari, fikiria muda na gharama za safari. Mkifika kwenye kata zao ni vema zaidi.

2. Zoezi hili lifanyike kwa uwazi na kwa haki. Tangazeni kwenye vyombo vya habari. Wekeni kwenye tovuti yenu.
Wasilianeni vema na wateja/wadau wenu. Uduni wa taarifa hizi na hata uandishi wa sms ya wito tunautofautishaje na sms nyingine za kitapeli tunazotumiwa mara kwa mara.

3. Fungueni ofisi wilayani au muweke dawati lenu ama kwa Mkuu wa wilaya au Halmashauri. Mnataka wazee hawa wafe kwa ajali barabarani kwa safari? Mara uhakiki wa PSSSF mkoani na sasa uhakiki huu nao mkoani.
Magonjwa mengine yanatokana adha hizi.

Wazee mnaowasumbua na kuwatesa leo walitumikia nchi hii kwa bidii na uaminifu mkubwa. Msiwalipe mateso kwa kuwajaza majuto na kihoro.

KWA HALI HII, UZEE SI DHAHABU BALI NI ADHABU.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Huu mwandiko sio wa mzee
 
Mimi ni mstaafu mwandamizi niliyepo wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera.

Nilipata tetesi za kuwapo kwa uhakiki wa wastaafu walio kwenye mfuko wa bima ya Afya tangu mwezi Machi mwaka huu. Kila aliyeniambia nilipomuuliza alikozipata taarifa, naye aliniambia ameambiwa na mwingine.
Hakukuwapo uthibitisho wa chanzo.

Nilihisi kuwa ni jumbe za kitapeli ambazo zinatumwa mara kwa mara. Jana, jamaa yangu akanitumia na kuniuliza iwapo nimepata ujumbe huu:

"NHIF 17.03.2023 SAA 03:11PM NDG. MWANACHAMA MSTAAFU,TAFADHALI FIKA NA MWENZAWAKO KTK. OFISI YA MFUKO ILIYO KARIBU KWA AJILI YA ZOEZI LA UHAKIKI KABLA YA 30.04.2023. AIDHA, FIKA NA NA. YAKO YA NIDA NA NA. MWENZA WAKO. KWA UFAFANUZI _ PIGANA. 199 BILA MALIPO. SENDER HENRY".

Naye alitumiwa na mstaafu mwenzetu. Sikuamini kuwa huo ni ujumbe halali. Mtindo/namna ya uandishi haikuniongoza kuamini kuwa umetumwa na taasisi hii kubwa. Kuna makosa mengi ya kiuandishi na hata ya kimantiki. Hilo tuliache.

Niliingia kwenye tovuti yao. Sikuona tangazo hilo. Niliwasiliana nao kupitia simu hiyo 199. Nilipata ushirikiano mkubwa kwa aliyenipokea. Niliambiwa yafuatayo:

1. Ni kweli uhakiki upo. Unahusisha wastaafu na walioko kazini. Wanataka mstaafu aende na mweza wake.

2. Kila mhusika alishaarifiwa kupitia simu yake na kila mmoja ana tarehe yake. Mimi na wastaafu sita niliowauliza hatuna ujumbe huu.

3. Uhakiki unafanyika makao makuu ya mkoa.

4. Mwisho wa uhakiki ni Mei 30.

Inaelekea bima ya afya hawafahamu kuwa Wastaafu (wateja wao):
i) Ni wazee
ii) Wengi ni wagonjwa
iii) Wengi wana pato duni mno ambalo huenda halitoshi hata gharama ya kwenda mkoani.
iv) Baadhi ni walemavu
v) Kuna ambao hawawezi kusoma jumbe hizo

Yaani wao kwenye simu zao wanafahamu kubonyeza kitufe kimoja tu. Cha kupokelea simu.
Hawa hawawezi kuweka vocha, kukata simu baada ya maongezi, kuongeza salio, kuunga kifurushi nk.
Sembuse kusoma au kuandika ujumbe!

Ushauri:
1. Uhakiki ufanywe jirani na wahusika. Ikiwezekana kwenye Kata. Kuwalazimisha kwenda mkoani kuachwe. Haya ni mateso. Mateso makubwa mno.

Mstaafu aliyepo kijiji cha Muganza wilayani Ngara, mkoa wa Kagera, uhakiki huu utamgharimu siku 5 (kwenda Bukoba na Kurudi). Baadhi ya wastaafu wanahitaji kusindikizwa/kupata wasaidizi. Mbali ya adha za safari, fikiria muda na gharama za safari. Mkifika kwenye kata zao ni vema zaidi.

2. Zoezi hili lifanyike kwa uwazi na kwa haki. Tangazeni kwenye vyombo vya habari. Wekeni kwenye tovuti yenu.
Wasilianeni vema na wateja/wadau wenu. Uduni wa taarifa hizi na hata uandishi wa sms ya wito tunautofautishaje na sms nyingine za kitapeli tunazotumiwa mara kwa mara.

3. Fungueni ofisi wilayani au muweke dawati lenu ama kwa Mkuu wa wilaya au Halmashauri. Mnataka wazee hawa wafe kwa ajali barabarani kwa safari? Mara uhakiki wa PSSSF mkoani na sasa uhakiki huu nao mkoani.
Magonjwa mengine yanatokana adha hizi.

Wazee mnaowasumbua na kuwatesa leo walitumikia nchi hii kwa bidii na uaminifu mkubwa. Msiwalipe mateso kwa kuwajaza majuto na kihoro.

KWA HALI HII, UZEE SI DHAHABU BALI NI ADHABU.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Uhakiki
Mimi ni mstaafu mwandamizi niliyepo wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera.

Nilipata tetesi za kuwapo kwa uhakiki wa wastaafu walio kwenye mfuko wa bima ya Afya tangu mwezi Machi mwaka huu. Kila aliyeniambia nilipomuuliza alikozipata taarifa, naye aliniambia ameambiwa na mwingine.
Hakukuwapo uthibitisho wa chanzo.

Nilihisi kuwa ni jumbe za kitapeli ambazo zinatumwa mara kwa mara. Jana, jamaa yangu akanitumia na kuniuliza iwapo nimepata ujumbe huu:

"NHIF 17.03.2023 SAA 03:11PM NDG. MWANACHAMA MSTAAFU,TAFADHALI FIKA NA MWENZAWAKO KTK. OFISI YA MFUKO ILIYO KARIBU KWA AJILI YA ZOEZI LA UHAKIKI KABLA YA 30.04.2023. AIDHA, FIKA NA NA. YAKO YA NIDA NA NA. MWENZA WAKO. KWA UFAFANUZI _ PIGANA. 199 BILA MALIPO. SENDER HENRY".

Naye alitumiwa na mstaafu mwenzetu. Sikuamini kuwa huo ni ujumbe halali. Mtindo/namna ya uandishi haikuniongoza kuamini kuwa umetumwa na taasisi hii kubwa. Kuna makosa mengi ya kiuandishi na hata ya kimantiki. Hilo tuliache.

Niliingia kwenye tovuti yao. Sikuona tangazo hilo. Niliwasiliana nao kupitia simu hiyo 199. Nilipata ushirikiano mkubwa kwa aliyenipokea. Niliambiwa yafuatayo:

1. Ni kweli uhakiki upo. Unahusisha wastaafu na walioko kazini. Wanataka mstaafu aende na mweza wake.

2. Kila mhusika alishaarifiwa kupitia simu yake na kila mmoja ana tarehe yake. Mimi na wastaafu sita niliowauliza hatuna ujumbe huu.

3. Uhakiki unafanyika makao makuu ya mkoa.

4. Mwisho wa uhakiki ni Mei 30.

Inaelekea bima ya afya hawafahamu kuwa Wastaafu (wateja wao):
i) Ni wazee
ii) Wengi ni wagonjwa
iii) Wengi wana pato duni mno ambalo huenda halitoshi hata gharama ya kwenda mkoani.
iv) Baadhi ni walemavu
v) Kuna ambao hawawezi kusoma jumbe hizo

Yaani wao kwenye simu zao wanafahamu kubonyeza kitufe kimoja tu. Cha kupokelea simu.
Hawa hawawezi kuweka vocha, kukata simu baada ya maongezi, kuongeza salio, kuunga kifurushi nk.
Sembuse kusoma au kuandika ujumbe!

Ushauri:
1. Uhakiki ufanywe jirani na wahusika. Ikiwezekana kwenye Kata. Kuwalazimisha kwenda mkoani kuachwe. Haya ni mateso. Mateso makubwa mno.

Mstaafu aliyepo kijiji cha Muganza wilayani Ngara, mkoa wa Kagera, uhakiki huu utamgharimu siku 5 (kwenda Bukoba na Kurudi). Baadhi ya wastaafu wanahitaji kusindikizwa/kupata wasaidizi. Mbali ya adha za safari, fikiria muda na gharama za safari. Mkifika kwenye kata zao ni vema zaidi.

2. Zoezi hili lifanyike kwa uwazi na kwa haki. Tangazeni kwenye vyombo vya habari. Wekeni kwenye tovuti yenu.
Wasilianeni vema na wateja/wadau wenu. Uduni wa taarifa hizi na hata uandishi wa sms ya wito tunautofautishaje na sms nyingine za kitapeli tunazotumiwa mara kwa mara.

3. Fungueni ofisi wilayani au muweke dawati lenu ama kwa Mkuu wa wilaya au Halmashauri. Mnataka wazee hawa wafe kwa ajali barabarani kwa safari? Mara uhakiki wa PSSSF mkoani na sasa uhakiki huu nao mkoani.
Magonjwa mengine yanatokana adha hizi.

Wazee mnaowasumbua na kuwatesa leo walitumikia nchi hii kwa bidii na uaminifu mkubwa. Msiwalipe mateso kwa kuwajaza majuto na kihoro.

KWA HALI HII, UZEE SI DHAHABU BALI NI ADHABU.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Uhakiki sio suala gani hapa nchini Taasisi nyingi zimekuwa zikifanya uhakiki katika maeneo yake hivyo kama hauna tatizo kwa nini uje kulalamika hapa?
 
Na hii ishu ya BIMA ya Afya kuwanyima huduma za Dharura wanaopoteza vitambulisho eti mpaka waje na Vitambulisho vya NIDA ni mbaya sana. Huyu mtu wakati akishughulikia kupata hiyo namba ya NIDA akipata changamoto ya afya afanyeje sasa?.

Zamani mlikubali kuandikisha watu kwa kutumia vitambulisho vya mpiga kura, leo mtu ana dharura ya matibabu baada ta kupoteza kadi yake, kafuata procedure zote including Loss report ya polisi, kujaza fomu zenu upya, mihuri ya mwajiri kila kitu kipo halafu mnasema hamumpi nyaraka za dharura za matibabu mpaka aje na kadi ya NIDA, Huo ni Uchawi kuliko uchawi. Kwenye system zenu mtu mnamuona, ana shida ya dharura ya matibabu hamumpi, lakini kila mwezi bado mnakata hela ya mchangiaji. Huo kama siyo Udhalimu ni nini?

NHIF, acheni bureaucracy, Hudumieni watu, acheni kubadilibadili magoli wakati hela kila mwezi mnachukua.

Mimi au mtegemezi wangu akipata dharura kwa nyie kukataa kumpa matibabu kisa hana namba ya NIDA wakati kipindi najiandikisha mlitoa options kibao , sasa akidhurika nawashitaki!.
Ukipoteza kadi kuna utaratibu wake mfano unapopoteza kadi ya banki mbona hauji hapa kulalamika ebu tuacheni njia za mkato tufuateni utaratibu uliowekwa, NHIF ni taasisi kama ilivyo nyingine
 
Mimi ni mstaafu mwandamizi niliyepo wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera.

Nilipata tetesi za kuwapo kwa uhakiki wa wastaafu walio kwenye mfuko wa bima ya Afya tangu mwezi Machi mwaka huu. Kila aliyeniambia nilipomuuliza alikozipata taarifa, naye aliniambia ameambiwa na mwingine.
Hakukuwapo uthibitisho wa chanzo.

Nilihisi kuwa ni jumbe za kitapeli ambazo zinatumwa mara kwa mara. Jana, jamaa yangu akanitumia na kuniuliza iwapo nimepata ujumbe huu:

"NHIF 17.03.2023 SAA 03:11PM NDG. MWANACHAMA MSTAAFU,TAFADHALI FIKA NA MWENZAWAKO KTK. OFISI YA MFUKO ILIYO KARIBU KWA AJILI YA ZOEZI LA UHAKIKI KABLA YA 30.04.2023. AIDHA, FIKA NA NA. YAKO YA NIDA NA NA. MWENZA WAKO. KWA UFAFANUZI _ PIGANA. 199 BILA MALIPO. SENDER HENRY".

Naye alitumiwa na mstaafu mwenzetu. Sikuamini kuwa huo ni ujumbe halali. Mtindo/namna ya uandishi haikuniongoza kuamini kuwa umetumwa na taasisi hii kubwa. Kuna makosa mengi ya kiuandishi na hata ya kimantiki. Hilo tuliache.

Niliingia kwenye tovuti yao. Sikuona tangazo hilo. Niliwasiliana nao kupitia simu hiyo 199. Nilipata ushirikiano mkubwa kwa aliyenipokea. Niliambiwa yafuatayo:

1. Ni kweli uhakiki upo. Unahusisha wastaafu na walioko kazini. Wanataka mstaafu aende na mweza wake.

2. Kila mhusika alishaarifiwa kupitia simu yake na kila mmoja ana tarehe yake. Mimi na wastaafu sita niliowauliza hatuna ujumbe huu.

3. Uhakiki unafanyika makao makuu ya mkoa.

4. Mwisho wa uhakiki ni Mei 30.

Inaelekea bima ya afya hawafahamu kuwa Wastaafu (wateja wao):
i) Ni wazee
ii) Wengi ni wagonjwa
iii) Wengi wana pato duni mno ambalo huenda halitoshi hata gharama ya kwenda mkoani.
iv) Baadhi ni walemavu
v) Kuna ambao hawawezi kusoma jumbe hizo

Yaani wao kwenye simu zao wanafahamu kubonyeza kitufe kimoja tu. Cha kupokelea simu.
Hawa hawawezi kuweka vocha, kukata simu baada ya maongezi, kuongeza salio, kuunga kifurushi nk.
Sembuse kusoma au kuandika ujumbe!

Ushauri:
1. Uhakiki ufanywe jirani na wahusika. Ikiwezekana kwenye Kata. Kuwalazimisha kwenda mkoani kuachwe. Haya ni mateso. Mateso makubwa mno.

Mstaafu aliyepo kijiji cha Muganza wilayani Ngara, mkoa wa Kagera, uhakiki huu utamgharimu siku 5 (kwenda Bukoba na Kurudi). Baadhi ya wastaafu wanahitaji kusindikizwa/kupata wasaidizi. Mbali ya adha za safari, fikiria muda na gharama za safari. Mkifika kwenye kata zao ni vema zaidi.

2. Zoezi hili lifanyike kwa uwazi na kwa haki. Tangazeni kwenye vyombo vya habari. Wekeni kwenye tovuti yenu.
Wasilianeni vema na wateja/wadau wenu. Uduni wa taarifa hizi na hata uandishi wa sms ya wito tunautofautishaje na sms nyingine za kitapeli tunazotumiwa mara kwa mara.

3. Fungueni ofisi wilayani au muweke dawati lenu ama kwa Mkuu wa wilaya au Halmashauri. Mnataka wazee hawa wafe kwa ajali barabarani kwa safari? Mara uhakiki wa PSSSF mkoani na sasa uhakiki huu nao mkoani.
Magonjwa mengine yanatokana adha hizi.

Wazee mnaowasumbua na kuwatesa leo walitumikia nchi hii kwa bidii na uaminifu mkubwa. Msiwalipe mateso kwa kuwajaza majuto na kihoro.

KWA HALI HII, UZEE SI DHAHABU BALI NI ADHABU.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Uhakiki ni watu ni mchakato wa kawaida sana msipende shortcut
 
Hata mfuko wao unapumulia mashine sababu ya ufisadi wakifanya ivyo wakahakiki wote itakula kwao. Tatizo limeanzia mbali.
Tuache kuibua mambo ambayo hayapo, uhakiki ni utaratibu tu katika huduma nyingi
 
Mimi ni mstaafu mwandamizi niliyepo wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera.

Nilipata tetesi za kuwapo kwa uhakiki wa wastaafu walio kwenye mfuko wa bima ya Afya tangu mwezi Machi mwaka huu. Kila aliyeniambia nilipomuuliza alikozipata taarifa, naye aliniambia ameambiwa na mwingine.
Hakukuwapo uthibitisho wa chanzo.

Nilihisi kuwa ni jumbe za kitapeli ambazo zinatumwa mara kwa mara. Jana, jamaa yangu akanitumia na kuniuliza iwapo nimepata ujumbe huu:

"NHIF 17.03.2023 SAA 03:11PM NDG. MWANACHAMA MSTAAFU,TAFADHALI FIKA NA MWENZAWAKO KTK. OFISI YA MFUKO ILIYO KARIBU KWA AJILI YA ZOEZI LA UHAKIKI KABLA YA 30.04.2023. AIDHA, FIKA NA NA. YAKO YA NIDA NA NA. MWENZA WAKO. KWA UFAFANUZI _ PIGANA. 199 BILA MALIPO. SENDER HENRY".

Naye alitumiwa na mstaafu mwenzetu. Sikuamini kuwa huo ni ujumbe halali. Mtindo/namna ya uandishi haikuniongoza kuamini kuwa umetumwa na taasisi hii kubwa. Kuna makosa mengi ya kiuandishi na hata ya kimantiki. Hilo tuliache.

Niliingia kwenye tovuti yao. Sikuona tangazo hilo. Niliwasiliana nao kupitia simu hiyo 199. Nilipata ushirikiano mkubwa kwa aliyenipokea. Niliambiwa yafuatayo:

1. Ni kweli uhakiki upo. Unahusisha wastaafu na walioko kazini. Wanataka mstaafu aende na mweza wake.

2. Kila mhusika alishaarifiwa kupitia simu yake na kila mmoja ana tarehe yake. Mimi na wastaafu sita niliowauliza hatuna ujumbe huu.

3. Uhakiki unafanyika makao makuu ya mkoa.

4. Mwisho wa uhakiki ni Mei 30.

Inaelekea bima ya afya hawafahamu kuwa Wastaafu (wateja wao):
i) Ni wazee
ii) Wengi ni wagonjwa
iii) Wengi wana pato duni mno ambalo huenda halitoshi hata gharama ya kwenda mkoani.
iv) Baadhi ni walemavu
v) Kuna ambao hawawezi kusoma jumbe hizo

Yaani wao kwenye simu zao wanafahamu kubonyeza kitufe kimoja tu. Cha kupokelea simu.
Hawa hawawezi kuweka vocha, kukata simu baada ya maongezi, kuongeza salio, kuunga kifurushi nk.
Sembuse kusoma au kuandika ujumbe!

Ushauri:
1. Uhakiki ufanywe jirani na wahusika. Ikiwezekana kwenye Kata. Kuwalazimisha kwenda mkoani kuachwe. Haya ni mateso. Mateso makubwa mno.

Mstaafu aliyepo kijiji cha Muganza wilayani Ngara, mkoa wa Kagera, uhakiki huu utamgharimu siku 5 (kwenda Bukoba na Kurudi). Baadhi ya wastaafu wanahitaji kusindikizwa/kupata wasaidizi. Mbali ya adha za safari, fikiria muda na gharama za safari. Mkifika kwenye kata zao ni vema zaidi.

2. Zoezi hili lifanyike kwa uwazi na kwa haki. Tangazeni kwenye vyombo vya habari. Wekeni kwenye tovuti yenu.
Wasilianeni vema na wateja/wadau wenu. Uduni wa taarifa hizi na hata uandishi wa sms ya wito tunautofautishaje na sms nyingine za kitapeli tunazotumiwa mara kwa mara.

3. Fungueni ofisi wilayani au muweke dawati lenu ama kwa Mkuu wa wilaya au Halmashauri. Mnataka wazee hawa wafe kwa ajali barabarani kwa safari? Mara uhakiki wa PSSSF mkoani na sasa uhakiki huu nao mkoani.
Magonjwa mengine yanatokana adha hizi.

Wazee mnaowasumbua na kuwatesa leo walitumikia nchi hii kwa bidii na uaminifu mkubwa. Msiwalipe mateso kwa kuwajaza majuto na kihoro.

KWA HALI HII, UZEE SI DHAHABU BALI NI ADHABU.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Asante kwa maoni yako. Uhakiki wa wanachama ni suala la msingi na hufanyika mara kwa mara katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. NHIF inaendelea na uhakiki wa wanachama wake na ili taarifa ifike kwa walengwa ujumbe maalum wa wito unatumwa kwa mhusika. Dhumuni ni kuhuisha taarifa za uanachama na endapo kuna changamoto yoyote mwanachama asisite kuwasiliana na Mfuko kupitia namba ya bure ya huduma kwa wateja 199.
 
Mbona kwenye ujumbe wa NHIF wanasema ofisi ya
Nashindwa kuelewa mbona tangazo la ujumbe mfupi linasema ofisi iliyo karibu na wewe unasema makao makuu ya mkoa?
NHIF wana ofisi hadi ngazi mkoa. In that context ukiambiwa ofisi iliyo karibu nawe maana yake nini? Jumbe za kitapeli zinazoficha ukweli wa jambo kuwatapeli wajinga; ujumbe na zoezi lenyewe ni siasa halafu tunaona sawa. Kama unadhani wanajali pole!
 
Back
Top Bottom