Bima ya Afya NHIF na Hospitali ya Celian Arusha ni aibu

Bima ya Afya NHIF na Hospitali ya Celian Arusha ni aibu

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Leo nimeenda kutibiwa Selian hospital Arusha, kilicho nishangaza ni kwamba kwanza ni kama NHIF hawana dawa za kutosha pale, nimeambiwa Paracetamol na Bluefen kati ya dawa za maumivu et nikanunue duka la dawa nje ya hospitali.

Sasa najiuliza Bima haina dawa hizo 2 za maumivu je zimeisha ghafla au kuna nini. Kusema ukweli, kwa kiasi kikubwa Selian hospital imeshapoteza wateja wengi, sio ile tuliyokuwa tukienda unakuya foleni kubwa. Inasikitisha sana.
 
Hawataki malipo kiduchu ya NHIF hivyo wameona bora dawa zao wawauzie wenye hela au wenye bima zenye hela..kiufupi kama unataka huduma nzuri za NHIF nenda kwenye hospital ya mkoa au hospital za misaada kama Aghakan...hizi purely business utateseka sana uwatukane hadi NHIF
 
Awali ya yote nipende kumshukuru mama Samia kwa katika nchi huru mpaka watu wanaishi kwa Raha .

Sasa nijielekeze kwenye point kwa kusema hapo wanakosea aisee
 
Hawataki malipo kiduchu ya NHIF hivyo wameona bora dawa zao wawauzie wenye hela au wenye bima zenye hela..kiufupi kama unataka huduma nzuri za NHIF nenda kwenye hospital ya mkoa au hospital za misaada kama Aghakan...hizi purely business utateseka sana uwatukane hadi NHIF
Agha khan hawapokei BIMA ya NHIF
 
1000041714.png


Orketeemi
 
Afadhali uliambiwa hizo painkillers hata hazina gharama mtaani ukilinganisha na zingine.

Kama kuna huduma ulipata kupitia bima basi shukuru Mungu mkuu, wenye kulipa cash kwa kila kitu wasemeje sasa.

Hata mimi mara nyingi tu, huwa kuna huduma ama dawa naambiwa NHIF haitumiki sasa sijui wale wenye bima za vifurushi huduma wanapataje.

Pole kwa maumivu mkuu.
 
Leo nimeenda kutibiwa Selian hospital Arusha, kilicho nishangaza ni kwamba kwanza ni kama NHIF hawana dawa za kutosha pale, nimeambiwa Paracetamol na Bluefen kati ya dawa za maumivu et nikanunue duka la dawa nje ya hospitali.

Sasa najiuliza Bima haina dawa hizo 2 za maumivu je zimeisha ghafla au kuna nini. Kusema ukweli, kwa kiasi kikubwa Selian hospital imeshapoteza wateja wengi, sio ile tuliyokuwa tukienda unakuya foleni kubwa. Inasikitisha sana.
...Utashangaa Sasa Madai Yao Serikali I..
 
Leo nimeenda kutibiwa Selian hospital Arusha, kilicho nishangaza ni kwamba kwanza ni kama NHIF hawana dawa za kutosha pale, nimeambiwa Paracetamol na Bluefen kati ya dawa za maumivu et nikanunue duka la dawa nje ya hospitali.

Sasa najiuliza Bima haina dawa hizo 2 za maumivu je zimeisha ghafla au kuna nini. Kusema ukweli, kwa kiasi kikubwa Selian hospital imeshapoteza wateja wengi, sio ile tuliyokuwa tukienda unakuya foleni kubwa. Inasikitisha sana.
dawa zikiwa hakuna,
then hutapewa chochote kwasabb dawa hakuna.

Muhimu ni kuJaribu hospitali nyingine au ukanunue dawa kwenye maduka ya dawa yanayotumia bima 🐒
 
Leo nimeenda kutibiwa Selian hospital Arusha, kilicho nishangaza ni kwamba kwanza ni kama NHIF hawana dawa za kutosha pale, nimeambiwa Paracetamol na Bluefen kati ya dawa za maumivu et nikanunue duka la dawa nje ya hospitali.

Sasa najiuliza Bima haina dawa hizo 2 za maumivu je zimeisha ghafla au kuna nini. Kusema ukweli, kwa kiasi kikubwa Selian hospital imeshapoteza wateja wengi, sio ile tuliyokuwa tukienda unakuya foleni kubwa. Inasikitisha sana.
pale hamna hospital ni ujinga mtupu uliopo pale.
Note ukiwa na bima mchezo wanaofanya ni hiviii.

1) Utamwona daktari na utapimwa vizur
2) Dawa hautopewa bali utaandikiwa ukanunuwe
Nahisi kuna kamgomo fulani hivii na watu wengi washahama hiyo hospital wanapata huduma kwingine.

Hospital the best Arusha kwa hivi sasa nahisi ni NSK iliyoko ungalimited.

sory km nimemkwaza mtu kwa kutoa ushuhuda wangu wa hospital ya Selian kwani nimeenda mara 4 na sikupata dawa zaid ya kuambiw nikanunuwe dawa wakati bima ya afya ninayo
 
Back
Top Bottom