To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Yaan changamoto sanaMtihani Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan changamoto sanaMtihani Sana.
Be the best on your own why do you want to compete with others. F**k upMkuu nakuomba unipe reference yoyote ya Africa wataka NHIF yetu uwe kama ya nchi gani?............ebu tuwe na constructive criticism kwa mambo mengine ni metembea zaidi ya nchi 30 za Africa katika nyanja ya afya ila Tanzania bado hatuko pabaya nipe reference ya nchi unao taka tufanane.
Mkuu ni kweli hii kitu au ni editing?Great Thinkers.
Sikia kusimuliwa tu. NHIF kuna uozo mkubwa na wa kutisha ukizingatia imebeba hatma ya maisha ya watu, lakini hudumu ni za hovyo kupita kipindi chochote kile.
Sijui hizo hela tunazochanga zinaenda wapi. Halafu kuna wahuni wanasema mama anaupiga mwingi how. Watu wanatiwa umasikini kwa gharama za matibabu.
Hudumu nyingi hazimo kwenye bima kitu kinachoumiza sana.
Shame on you CCM, mlaaniwe kabisa.
Achana na mambo ya kujilinganisha kwenye maendeleo.Hao ni hao na sisi ni sisiMkuu nakuomba unipe reference yoyote ya Africa wataka NHIF yetu uwe kama ya nchi gani?............ebu tuwe na constructive criticism kwa mambo mengine ni metembea zaidi ya nchi 30 za Africa katika nyanja ya afya ila Tanzania bado hatuko pabaya nipe reference ya nchi unao taka tufanane.
Hujui unachoongeaNi bora huo mfuko ufe tutunze pesa zetu za matibabu wenyewe kuliko kuwaachia wezi wazisimamie.
Tutakaa na mabenki tuziweke hata kwenye Fixed Account,tunaweka makubaliano nikiumwa au mtemezi wangu akiumwa ni namna gani atatibiwa
Bado hatuko pabaya. Kauli inaweza kuwa inatolewa na anaye lipwa marupurupu kwenye makato ya watanzania. Kwahiyo unataka tufike pabaya?Mkuu nakuomba unipe reference yoyote ya Africa wataka NHIF yetu uwe kama ya nchi gani?............ebu tuwe na constructive criticism kwa mambo mengine ni metembea zaidi ya nchi 30 za Africa katika nyanja ya afya ila Tanzania bado hatuko pabaya nipe reference ya nchi unao taka tufanane.
Kwenye vitita vya bima hasa NHIF bei wanapanga wao na si watoa huduma au mnufaika kama wewe na mimi, sijui kwa nini umeshindwa hata kuuliza/kufuatilia kinachoendelea nchini kuwa NHIF wamefuta huduma na kushusha bei za hduma beyond uwezo wa watoa huduma kujiendesha na mtoa huduma kutakiwa kupokea bima(NHIF) regardless ya hayo.Mimi sio mtaalam wa afya lakini nimejaribu kuangalia madawa yaliyofutwa sielewi,
sasa najaribu kufikiri,labda ni madawa ya gharama ndogo ambayo watoa huduma walikuwa wanaiuzia serikali
kwa pesa kubwa wakati katika uhalisia sio bei yake.
Kwa mtu ambaye aliwahi kulazwa akahudumiwa na bima pamoja na mapungufu yake,
Na mwingine akalazwa pasipo bima kabisa,kusema ukweli pasipo bima mzigo ni mkubwa
haswa kwa mambo makubwa kama ukifanyiwa upasuaji n.k
Pamoja na mapungufu mengi ya serikali,tukumbuke watoa huduma wengi ni watanzania wenzettu
upigaji ni mwingi kwa kisingizio cha bima ya serikali,
Mimi natumia NHIF na bima binafsi,ninachokiona wenye bima binafsi usimamizi wao ni mkali sana
hivyo hawapati hasara kama serikali(cha wote).
we unayejua una nini?Hujui unachoongea
Sasa kama hata sindano na pamba hazipo kwenye kitita ni huduma zipi zimebaki? Alafu wanakuja na ngonjera ya kila mtanzania awe mwanachama wa NHIF? Hii ni kadi ya huduma ya afya au kadi ya huduma ya kwanza. Hata gloves za mpira hazipo ahaaaa Ummy hebu tuwe siriasi kidogo na maisha ya wadanganyika.Great Thinkers.
Sikia kusimuliwa tu. NHIF kuna uozo mkubwa na wa kutisha ukizingatia imebeba hatma ya maisha ya watu, lakini hudumu ni za hovyo kupita kipindi chochote kile.
Sijui hizo hela tunazochanga zinaenda wapi. Halafu kuna wahuni wanasema mama anaupiga mwingi how. Watu wanatiwa umasikini kwa gharama za matibabu.
Hudumu nyingi hazimo kwenye bima kitu kinachoumiza sana.
Shame on you CCM, mlaaniwe kabisa.
Crapwe unayejua una nini?
There is no one man's competition or race dude.......the word light loses meaning if there is no word darkness, sijiu umeelewa hiyo logic.Achana na mambo ya kujilinganisha kwenye maendeleo.Hao ni hao na sisi ni sisi
DopeCrap
Bora ungetembelea visiwa vya Goziba na wenzie uambukizwe UKIMWI utapike hizo nyaaa kwa fuvu!!Mkuu nakuomba unipe reference yoyote ya Africa wataka NHIF yetu uwe kama ya nchi gani?............ebu tuwe na constructive criticism kwa mambo mengine ni metembea zaidi ya nchi 30 za Africa katika nyanja ya afya ila Tanzania bado hatuko pabaya nipe reference ya nchi unao taka tufanane.
Subiri yakukute ndo utaelewa nilichoandikaMkuu ni kweli hii kitu au ni editing?
Kama ni kweli mbona itakua ni hatar sana
Well saidAchana na mambo ya kujilinganisha kwenye maendeleo.Hao ni hao na sisi ni sisi
Wakuu kama taifa kila mmoja anaweza kuona makosa, lakini wengi hatujui suluhu ni ipi.Great Thinkers
Sikia kusimuliwa tu. NHIF kuna uozo mkubwa na wa kutisha ukizingatia imebeba hatma ya maisha ya watu, lakini hudumu ni za hovyo kupita kipindi chochote kile.
Sijui hizo hela tunazochanga zinaenda wapi. Halafu kuna wahuni wanasema mama anaupiga mwingi how. Watu wanatiwa umasikini kwa gharama za matibabu.
Hudumu nyingi hazimo kwenye bima kitu kinachoumiza sana.
Shame on you CCM, mlaaniwe kabisa.
Na kupandisha ada/malipoWakuu kama taifa kila mmoja anaweza kuona makosa, lakini wengi hatujui suluhu ni ipi.
As a thinker nina suluhisho ktk endelevu ktk mazingira ya tz.
Suluhisho hili ni la kudumu endapo litapata wachangiaji walau 1,500,000 kati ya watz 60mil.
Thread 'Bima ya Afya Vikoba' SoC04 - Bima ya Afya Vikoba
Kama unaunga na una ushauri ktk kuboresha shauri. Kama umependa na like zifike 150,000.
Pia naomba vote yote yako
Jeshini wanachangia 6% ya mishara na sasa ni kama mwaka na nusu kama sio miakamiwili na bima card (NHIF CARD ) hakuna, hii sio dhulma kweli? Mtu mnamkata mshahara zaidi ya mmwaka na miezi mitano na hanufaikina hiyo pesa yake kweli? Ipo siku wakiamua patachimbikaGreat Thinkers.
Sikia kusimuliwa tu. NHIF kuna uozo mkubwa na wa kutisha ukizingatia imebeba hatma ya maisha ya watu, lakini hudumu ni za hovyo kupita kipindi chochote kile.
Sijui hizo hela tunazochanga zinaenda wapi. Halafu kuna wahuni wanasema mama anaupiga mwingi how. Watu wanatiwa umasikini kwa gharama za matibabu.
Hudumu nyingi hazimo kwenye bima kitu kinachoumiza sana.
Shame on you CCM, mlaaniwe kabisa.