Bima za Afya za Mitandao ya simu ni utapeli. Hivi serikali ya Tanzania mbona imelala kiasi hiki?

Bima za Afya za Mitandao ya simu ni utapeli. Hivi serikali ya Tanzania mbona imelala kiasi hiki?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hizi bima ni kampuni binafsi sasa ili kupata namba za Watanzania kirahisi wanajifungamanisha na kampuni za simu kama Tigo au Vodacom.
So far sasa wamepewa ruhusa ya kutumia namba 100 ili wasionekane matapeli.

Wale wahudumu wanamtumia mwanya wa Watanzania kutokujua mambo muhimu kuwalaghai.
Mkataba gani unafanywa bila mteja kuweka Saini?

Mkataba gani unafanywa bila mteja kupata nakala ya mkataba?
Kwanini bima zao wanasisitiza malipo yako utayapata mara baada ya kutoka wodini ulikolazwa?

Tena wengi wanasema malipo yatafanywa kwa waliolazwa zaidi ya siku 5, unajua mtu anayelazwa zaidi ya siku 5 kiuhalisia huyo kutoboa (kupona) si rahisi kwahiyo akifa mchezo umekwisha.

Nani atafuatilia malipo na atatumia mkataba upi kudai?
Kinachofanyika Watanzania wanakatwa pesa mpaka wanaudhika wanaamua kutupa line na kusajili tena.

Wanakata around 4.5k mpaka 7k, mtandao mmoja tu let's say Vodacom wakikatwa wateja 100,000 hapo kampuni inakuwa imevuna pesa nyingi.

Serikali isikatae wajibu wake. Kuna watu wanaungwa bila ridhaa, yaani ile kumsikiliza tu mhudumu usipomkalipia anakuunga. Maana wanapewa malengo kila siku upate wateja 7 kwahiyo rough lazima ichezwe na ukiungwa kutolewa si kazi rahisi na pesa automatically inakatwa kila mwezi.
 
Hizi bima ni kampuni binafsi sasa ili kupata namba za Watanzania kirahisi wanajifungamanisha na kampuni za simu kama Tigo au Vodacom.
So far sasa wamepewa ruhusa ya kutumia namba 100 ili wasionekane matapeli.
Wale wahudumu wanamtumia mwanya wa Watanzania kutokujua mambo muhimu kuwalaghai.
Mkataba gani unafanywa bila mteja kuweka Saini?
Mkataba gani unafanywa bila mteja kupata nakala ya mkataba?
Kwanini bima zao wanasisitiza malipo yako utayapata mara baada ya kutoka wodini ulikolazwa?
Tena wengi wanasema malipo yatafanywa kwa waliolazwa zaidi ya siku 5, unajua mtu anayelazwa zaidi ya siku 5 kiuhalisia huyo kutoboa (kupona) si rahisi kwahiyo akifa mchezo umekwisha. Nani atafuatilia malipo na atatumia mkataba upi kudai?
Kinachofanyika Watanzania wanakatwa pesa mpaka wanaudhika wanaamua kutupa line na kusajili tena.
Wanakata around 4.5k mpaka 7k, mtandao mmoja tu let's say Vodacom wakikatwa wateja 100,000 hapo kampuni inakuwa imevuna pesa nyingi.
Serikali isikatae wajibu wake. Kuna watu wanaungwa bila ridhaa, yaani ile kumsikiliza tu mhudumu usipomkalipia anakuunga. Maana wanapewa malengo kila siku upate wateja 7 kwahiyo rough lazima ichezwe na ukiungwa kutolewa si kazi rahisi na pesa automatically inakatwa kila mwezi.
Aisee,aisee JF na WanaJF mmbarikiwe sana!,Hili mkuu nimeiona sana,sikuwa na pa kusema Bora umelianzisha!Nakatwa hela kila mwezi book7kwenye pesa zangu kupitia mitandao hiyo tajwa, mpaka nimetafuta line za mitandao mwingine bila kupenda ili nisikatwe hizo hela!Kujitoa hakuna hiyo option!Hata sijui nilijiunga lini!Tena nadhani nilijiunga nikiwa nipo farujohn.Waache Mkuu.
 
Hizi bima ni kampuni binafsi sasa ili kupata namba za Watanzania kirahisi wanajifungamanisha na kampuni za simu kama Tigo au Vodacom.
So far sasa wamepewa ruhusa ya kutumia namba 100 ili wasionekane matapeli.
Wale wahudumu wanamtumia mwanya wa Watanzania kutokujua mambo muhimu kuwalaghai.
Mkataba gani unafanywa bila mteja kuweka Saini?
Mkataba gani unafanywa bila mteja kupata nakala ya mkataba?
Kwanini bima zao wanasisitiza malipo yako utayapata mara baada ya kutoka wodini ulikolazwa?
Tena wengi wanasema malipo yatafanywa kwa waliolazwa zaidi ya siku 5, unajua mtu anayelazwa zaidi ya siku 5 kiuhalisia huyo kutoboa (kupona) si rahisi kwahiyo akifa mchezo umekwisha. Nani atafuatilia malipo na atatumia mkataba upi kudai?
Kinachofanyika Watanzania wanakatwa pesa mpaka wanaudhika wanaamua kutupa line na kusajili tena.
Wanakata around 4.5k mpaka 7k, mtandao mmoja tu let's say Vodacom wakikatwa wateja 100,000 hapo kampuni inakuwa imevuna pesa nyingi.
Serikali isikatae wajibu wake. Kuna watu wanaungwa bila ridhaa, yaani ile kumsikiliza tu mhudumu usipomkalipia anakuunga. Maana wanapewa malengo kila siku upate wateja 7 kwahiyo rough lazima ichezwe na ukiungwa kutolewa si kazi rahisi na pesa automatically inakatwa kila mwezi.
Serikali haijalala, bali inashiriki kwa namna fulani.
 
Hizi bima ni kampuni binafsi sasa ili kupata namba za Watanzania kirahisi wanajifungamanisha na kampuni za simu kama Tigo au Vodacom.
So far sasa wamepewa ruhusa ya kutumia namba 100 ili wasionekane matapeli.
Wale wahudumu wanamtumia mwanya wa Watanzania kutokujua mambo muhimu kuwalaghai.
Mkataba gani unafanywa bila mteja kuweka Saini?
Mkataba gani unafanywa bila mteja kupata nakala ya mkataba?
Kwanini bima zao wanasisitiza malipo yako utayapata mara baada ya kutoka wodini ulikolazwa?
Tena wengi wanasema malipo yatafanywa kwa waliolazwa zaidi ya siku 5, unajua mtu anayelazwa zaidi ya siku 5 kiuhalisia huyo kutoboa (kupona) si rahisi kwahiyo akifa mchezo umekwisha. Nani atafuatilia malipo na atatumia mkataba upi kudai?
Kinachofanyika Watanzania wanakatwa pesa mpaka wanaudhika wanaamua kutupa line na kusajili tena.
Wanakata around 4.5k mpaka 7k, mtandao mmoja tu let's say Vodacom wakikatwa wateja 100,000 hapo kampuni inakuwa imevuna pesa nyingi.
Serikali isikatae wajibu wake. Kuna watu wanaungwa bila ridhaa, yaani ile kumsikiliza tu mhudumu usipomkalipia anakuunga. Maana wanapewa malengo kila siku upate wateja 7 kwahiyo rough lazima ichezwe na ukiungwa kutolewa si kazi rahisi na pesa automatically inakatwa kila mwezi.
Ukitaka kujua utapeli wao pata shida kisha wapelekee madai utaona hizo danadana
 
Ni washenzi wana nisumbua, kila nawakatia .nilicho note ni wana target line zinazo fanya transaction sana
 

Attachments

  • Screenshot_20241009_080504_Phone.jpg
    Screenshot_20241009_080504_Phone.jpg
    116 KB · Views: 13
2019 tigo ilibaki kidogo sana niingie mkenge,lakini ile kiu ya yule wakala wao kutoka tigo kunipigia kila baada ya nusu saa kunisisitiza nijiunge nikaanza kupata wasi wasi,kama ujuavyo,Bongo ukiitiwa fursa ujue wewe ndiye fursa yenyewe.
sasa ni vodacom wameniandama😃

yaani nikate bima kwa ajili ya kwenda mwananyamala,au hizi hospital za ccm🤣,nitaenda kwa hela tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20241009-082623.png
    Screenshot_20241009-082623.png
    270.8 KB · Views: 14
😂😂

Walinipigia Mwezi wa sita, Yule jamaa nikamwambie anipe maana ya Bima.
Na lengo la Bima ya Afya NI lipi?

Anaweza,
Nikamwambia Watu wanakata Bima ya Afya ili ikitokea Dharura kaumwa na Hana Pesa Siku hiyo Bima inamuokoa.
Anaenda hospital anaendelea kuhudumiwa Sasa ninyi Mnataka mtoe Pesa baàda ya Mtu Kutoka hospital hivi inaleta Maana kweli?

Hayo makampuni tunatumia udhaifu wa Elimu Dunia Kwa watañzania
 
😂😂

Walinipigia Mwezi wa sita, Yule jamaa nikamwambie anipe maana ya Bima.
Na lengo la Bima ya Afya NI lipi?

Anaweza,
Nikamwambia Watu wanakata Bima ya Afya ili ikitokea Dharura kaumwa na Hana Pesa Siku hiyo Bima inamuokoa.
Anaenda hospital anaendelea kuhudumiwa Sasa ninyi Mnataka mtoe Pesa baàda ya Mtu Kutoka hospital hivi inaleta Maana kweli?

Hayo makampuni tunatumia udhaifu wa Elimu Dunia Kwa watañzania
The business model inarelay on kutolipa madai..... ujinga wako capital yao
 
Back
Top Bottom