Bima za Afya za Mitandao ya simu ni utapeli. Hivi serikali ya Tanzania mbona imelala kiasi hiki?

Pole sana. Dalili mojawapo ya utapeli ni kwamba hakuna option ya kujitoa. Wakati kukuunga kwao ni rahisi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…