Bimmer na Landcruiser V8

Bimmer na Landcruiser V8

Gari nyingi za mjep zinaishia 180 hivyo hata angekanyaga mpaka kibati bado 180 ndio ungekuwa mwisho....

Mjerumani angempita tu...

Halafu pamoja na kwamba LC ina engine kubwa ila bado Sedan nyingi zenye smaller engines huwa zinachanganya faster huliko SUV...

With exception kwa gari kama Jeep Grand Cherokee Trackhawk Ambayo engine yake ina almost 800HP kasoro.
Usitaje chombo iyo kwenye nyuzi kama hizi mkuu utashitakiwaa. Cherokee Trackhawawk Jini kabixa
 
Haya mazoea ya kuona gari za kampuni moja nchini mwetu yanafanya watu wasiheshimu specs,hivi Lc V8 inaweza pambana na akina range rover,Bentley bentayga,x6,porsche cayenne...linapokuja suala speed?au kwa vile ina V8 kwa sisi tunaofuatilia specs hatushangai hiyo v8 kuzidiwa na ndugu yake mpya l300 V6.I salute toyota for producing durable vehicles.
 
X6 na Cayenne zinakuwaje SUV?

Hizo Ni Coupe mzee....

Halafu hizo gari zote unazo taja zote zinaaccelerate slower ukilinganisha na SUV niliyokutajia.

Sasa imegine hiyo Jeep from 0 to 100 hailzifiki sekunde 3

Halafu kuna sedan nyingi tu ambazo acceleration kama hiyo haivuki 2 secs
X6 na Cayenne zinakuwaje SUV?

Hizo Ni Coupe mzee....

Halafu hizo gari zote unazo taja zote zinaaccelerate slower ukilinganisha na SUV niliyokutajia.

Sasa imegine hiyo Jeep from 0 to 100 hailzifiki sekunde 3

Halafu kuna sedan nyingi tu ambazo acceleration kama hiyo haivuki 2 secs
AMG inakuwaje SUV?
 
Usitaje chombo iyo kwenye nyuzi kama hizi mkuu utashitakiwaa. Cherokee Trackhawawk Jini kabixa

Kuna video nmeangalia jana youtube jamaa alikuja na Ford Mustang yake halafu akaweka hela akataka warace na mtu mwenye Hiyo Track Hawk...

Kabla race haijaanza jamaa wa Jeep akamuonesha kidogo chuma yake inavyochomoka...

Mbona jamaa alianza kidai hela palepale...
 
Aisee hii BMW ni model ipi?
1992 E34..
_20211125_232804.JPG
 
Aisee Caterham sio sedan!! Hizo lightweight sports cars.. Kwa compassion hii utaleta hata gari za F1 sababu zina engine za chini ya 2lts..
Tuhamie sasa kwenye hizo nyingine.. 3.5 Nissan na Porsche ni umesahau .3 ni 3.3.. Zina turbo.. Hivi hizi ni engine ndogo kweli sababu v8 ni 4.5..!!!?
Yaani Bill gates kupitwa net worth na Jeff unataka kusema Gates sio Tajiri..!!!
Wewe hukuwa umegenaralize yote hato hayondo maana hata ulipojibu hukuwa umezingatia hayo.Sasa ndo akili imekurudia key board warrior
 
Kabisa mkuu. Shida ni kwamba, vijana wakishanunua bmw 1 series ya m15 baasi wanaona wamemaliza na kutaka sifa za kijinga za kujidanganya kujilinganisha na LC sababu sahani yake inasoma juu ya 180 na mlango ukiufungua ni mzito.
Ni kawaida kwa matajiri wetu wa kibongo kununua hizi 3-series zenye Bei sawasawa na IST na kuja kutamba mzee.
 
Hizo GX zinamilikiwa na serikali, makampuni na taasisi kubwa.

Mantainance yake ni sawa na hizo za ujerumani, interms of expenses na time.

Ni vile individuals wachache ndo wanazimiliki na hawazipi kashkash kama za serikali. Nimeshafanya kazi na hizo gari, serikali inapeleka pale Toyota Tz bill inakuja 5 -6M na inalipa bila mawazo.

Ila msizione hiko barabarani mkaziona zni durable sana.
Kipimo kirahisi kabisa Cha durability za magari Ni angalia wakandarasi wakiwa field Ni GX ngapi unaona wanazitumia kwny kazi zao za kila siku vs hao hao wakandarasi wakienda field kila siku Ni Benz/BMW/Audi/Land Rover/Volvo ngapi/model gani hua unawaona nazo field.

Ukifanyika tena mkutano wa wakandarasi (CRB) nitakushtua uende kwny parking Yao ujionee magari Yao ni yapi,Ni full GX/VX/LC's na Wana uwezo wa kununua Gari yoyote Ile waitakayo kibongo bongo.Hizo RR,BMW,Benz hua wanaenda nazo church,harusini etc na sio field.Kisa Ni Nini? Durability.
 
Tukiwa safarini na wadau.. Tukasema tupime mwendo na Landcruiser.. Matokeo ndio kama hayo..!

Hii test tumeifanya kwa kipande kifupi.. Then tukapunguza mwendo Landcruiser ikapita.. Rpms kwetu zilikuwa zinacheza kwenye 6k..V8 yeye engine kubwa stamina ya kutosha.

Tahadhari spidi kali ni hatari..ndio maana hapo kwenye dashboard kuna vitabu vya dini.. Incase chochote kikitokea tunakimbilia kutubu.

View attachment 2020608
Hv ni jf yangu tu?
 
Back
Top Bottom