Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam mkuu..Yes kama umeamua kubaki kwa wajapani.. Hiyo ni bonge ya gari.. Huwezi kuwa mnyonge kwa Landcruiser..!
Usitaje chombo iyo kwenye nyuzi kama hizi mkuu utashitakiwaa. Cherokee Trackhawawk Jini kabixaGari nyingi za mjep zinaishia 180 hivyo hata angekanyaga mpaka kibati bado 180 ndio ungekuwa mwisho....
Mjerumani angempita tu...
Halafu pamoja na kwamba LC ina engine kubwa ila bado Sedan nyingi zenye smaller engines huwa zinachanganya faster huliko SUV...
With exception kwa gari kama Jeep Grand Cherokee Trackhawk Ambayo engine yake ina almost 800HP kasoro.
Dunia ya natural aspirated engines ishapitwa na wakati.Sawa sawa ila Beamer ana exercise sana tunes! Mjapani huwa anaishi sana na Naturally aspirated engines.
X6 na Cayenne zinakuwaje SUV?
Hizo Ni Coupe mzee....
Halafu hizo gari zote unazo taja zote zinaaccelerate slower ukilinganisha na SUV niliyokutajia.
Sasa imegine hiyo Jeep from 0 to 100 hailzifiki sekunde 3
Halafu kuna sedan nyingi tu ambazo acceleration kama hiyo haivuki 2 secs
AMG inakuwaje SUV?X6 na Cayenne zinakuwaje SUV?
Hizo Ni Coupe mzee....
Halafu hizo gari zote unazo taja zote zinaaccelerate slower ukilinganisha na SUV niliyokutajia.
Sasa imegine hiyo Jeep from 0 to 100 hailzifiki sekunde 3
Halafu kuna sedan nyingi tu ambazo acceleration kama hiyo haivuki 2 secs
Usitaje chombo iyo kwenye nyuzi kama hizi mkuu utashitakiwaa. Cherokee Trackhawawk Jini kabixa
Aisee hii BMW ni model ipi?Aisee SUV zinazochanganya faster kuliko sedans zipo nyingi tuu..
Kuna X6.. Cayenne.. AMG.. Ni vile huku kwetu ukitaja SUV picha inayokuja ni hizi gari za diesel..!
Wewe hukuwa umegenaralize yote hato hayondo maana hata ulipojibu hukuwa umezingatia hayo.Sasa ndo akili imekurudia key board warriorAisee Caterham sio sedan!! Hizo lightweight sports cars.. Kwa compassion hii utaleta hata gari za F1 sababu zina engine za chini ya 2lts..
Tuhamie sasa kwenye hizo nyingine.. 3.5 Nissan na Porsche ni umesahau .3 ni 3.3.. Zina turbo.. Hivi hizi ni engine ndogo kweli sababu v8 ni 4.5..!!!?
Yaani Bill gates kupitwa net worth na Jeff unataka kusema Gates sio Tajiri..!!!
Ni kawaida kwa matajiri wetu wa kibongo kununua hizi 3-series zenye Bei sawasawa na IST na kuja kutamba mzee.Kabisa mkuu. Shida ni kwamba, vijana wakishanunua bmw 1 series ya m15 baasi wanaona wamemaliza na kutaka sifa za kijinga za kujidanganya kujilinganisha na LC sababu sahani yake inasoma juu ya 180 na mlango ukiufungua ni mzito.
Kipimo kirahisi kabisa Cha durability za magari Ni angalia wakandarasi wakiwa field Ni GX ngapi unaona wanazitumia kwny kazi zao za kila siku vs hao hao wakandarasi wakienda field kila siku Ni Benz/BMW/Audi/Land Rover/Volvo ngapi/model gani hua unawaona nazo field.Hizo GX zinamilikiwa na serikali, makampuni na taasisi kubwa.
Mantainance yake ni sawa na hizo za ujerumani, interms of expenses na time.
Ni vile individuals wachache ndo wanazimiliki na hawazipi kashkash kama za serikali. Nimeshafanya kazi na hizo gari, serikali inapeleka pale Toyota Tz bill inakuja 5 -6M na inalipa bila mawazo.
Ila msizione hiko barabarani mkaziona zni durable sana.
Hv ni jf yangu tu?Tukiwa safarini na wadau.. Tukasema tupime mwendo na Landcruiser.. Matokeo ndio kama hayo..!
Hii test tumeifanya kwa kipande kifupi.. Then tukapunguza mwendo Landcruiser ikapita.. Rpms kwetu zilikuwa zinacheza kwenye 6k..V8 yeye engine kubwa stamina ya kutosha.
Tahadhari spidi kali ni hatari..ndio maana hapo kwenye dashboard kuna vitabu vya dini.. Incase chochote kikitokea tunakimbilia kutubu.
View attachment 2020608
Na hii sio Tz tu, Ni worldwide.Mkuu durability ya Gx huwezi kufananisha na Range Rover, BMWX5 ama suv nyingine za Mzungu. Hizi gari zimeundwa kwa ajili ya kazi na ndio hapo Mjapani anapompiga bao mzungu
Bavaria in the house, bado sijamcheki mtaalam RRONDO ,.....Cayenne ana SUV ya kawaida inafanana na X5 na ana SUV Coupè inafanana na X6.
Duuh fans wa Toyota.. Mambo ya bei za magari tena!!! Yaani tutoe hela sawa.. Mimi nipate Bimmer wewe IST.. Lazima nikutambie sababu umepigwa..! Hujapata value for money..!Ni kawaida kwa matajiri wetu wa kibongo kununua hizi 3-series zenye Bei sawasawa na IST na kuja kutamba mzee.
😂😂Ni kawaida kwa matajiri wetu wa kibongo kununua hizi 3-series zenye Bei sawasawa na IST na kuja kutamba mzee.