Bimmer na Landcruiser V8

Bimmer na Landcruiser V8

Ni kawaida kwa matajiri wetu wa kibongo kununua hizi 3-series zenye Bei sawasawa na IST na kuja kutamba mzee.
3-series ipi asee mnafanisha na IST mbona mnatulosea adabu wajerumani ... hizi kama hizi ndio mnaringanisha na IST kweliii
88CB4E6C-3F42-46EB-A4CA-8A6E32C1226A.jpeg
5C4512E1-098B-4FE5-A5A0-71D83D63DA1C.jpeg
 
Kipimo kirahisi kabisa Cha durability za magari Ni angalia wakandarasi wakiwa field Ni GX ngapi unaona wanazitumia kwny kazi zao za kila siku vs hao hao wakandarasi wakienda field kila siku Ni Benz/BMW/Audi/Land Rover/Volvo ngapi/model gani hua unawaona nazo field.

Ukifanyika tena mkutano wa wakandarasi (CRB) nitakushtua uende kwny parking Yao ujionee magari Yao ni yapi,Ni full GX/VX/LC's na Wana uwezo wa kununua Gari yoyote Ile waitakayo kibongo bongo.Hizo RR,BMW,Benz hua wanaenda nazo church,harusini etc na sio field.Kisa Ni Nini? Durability.
Asilimia wakandarasi bongo wamekalili mkuu, mie nina mwana field anatumia Land lovel discover 4, mie nilikuwa natumia ki audi sema nimekiua 😀😀😀, sasa hivi navuta Mjerumani mwingine ndio wa field wadau kibao wanatumia Amarok, sema bongo tumeishameza mzee mwenzangu, ile meeting ya mwanza nilikuwepo nilipuliza sana maeneo flani 😀😀😀
 
Kipimo kirahisi kabisa Cha durability za magari Ni angalia wakandarasi wakiwa field Ni GX ngapi unaona wanazitumia kwny kazi zao za kila siku vs hao hao wakandarasi wakienda field kila siku Ni Benz/BMW/Audi/Land Rover/Volvo ngapi/model gani hua unawaona nazo field.

Ukifanyika tena mkutano wa wakandarasi (CRB) nitakushtua uende kwny parking Yao ujionee magari Yao ni yapi,Ni full GX/VX/LC's na Wana uwezo wa kununua Gari yoyote Ile waitakayo kibongo bongo.Hizo RR,BMW,Benz hua wanaenda nazo church,harusini etc na sio field.Kisa Ni Nini? Durability.
hii coment yako imenifanya nisununue kabisa mjapan tena maisha yangu yote, na kuanzia leo field nitakuwa natumia mjerumani tu 😀😀😀😀
 
Mkuu Holy Man wanakutania huku aisee, eti wanafananisha Mjerumani na vitu vya kijinga..... 🤣
Wajapana watu wa ajabu sana, ulaya kabla ya kuwa na mazingira soft walikuwa wakitumia gari zao hadi nchi zao zimeendelea kufikia hapo, nchi zao hazikuwa na rami ghafla walikuwa kama sisi na gari walizo tumia ni hizo hizo zao, walikuwa na mazingira magumu kama yetu.. sema huku kwety watu tunajifichia kwenye machaka ya ukosefu wa pesa ila hakuna kama mjerumani 😀😀😀
 
Asilimia wakandarasi bongo wamekalili mkuu, mie nina mwana field anatumia Land lovel discover 4, mie nilikuwa natumia ki audi sema nimekiua 😀😀😀, sasa hivi navuta Mjerumani mwingine ndio wa field wadau kibao wanatumia Amarok, sema bongo tumeishameza mzee mwenzangu, ile meeting ya mwanza nilikuwepo nilipuliza sana maeneo flani 😀😀😀
Magari ya mzungu Yana heshima yake, Toyota afanye atakavyofanya ila BMW itabaki kuwa juu
 
Magari ya mzungu Yana heshima yake, Toyota afanye atakavyofanya ila BMW itabaki kuwa juu
Umemaliza na huu ndio ukweli, haitokaa Toyoda akaipiku BMW . Sema wapambe wa toyota wanakuwa wanalingamisha gari zisizo lingana mtu anakuja linganisha 3 Series na V8 Badala ya kulinganisha na BMW X5 M competition na hiyo V8 zao
 
Umemaliza na huu ndio ukweli, haitokaa Toyoda akaipiku BMW . Sema wapambe wa toyota wanakuwa wanalingamisha gari zisizo lingana mtu anakuja linganisha 3 Series na V8 Badala ya kulinganisha na BMW X5 M competition na hiyo V8 zao
Kwani aliyeanzisha hii mada ya kulinganisha 3-series vs V8 si Ni mjerumani mweusi mwenzenu au?
 
Asilimia wakandarasi bongo wamekalili mkuu, mie nina mwana field anatumia Land lovel discover 4, mie nilikuwa natumia ki audi sema nimekiua 😀😀😀, sasa hivi navuta Mjerumani mwingine ndio wa field wadau kibao wanatumia Amarok, sema bongo tumeishameza mzee mwenzangu, ile meeting ya mwanza nilikuwepo nilipuliza sana maeneo flani 😀😀😀
😄😄😄 wakandarasi hawahawa walioanza shughuli zao from the bottom class 7 huko wakiwa na toroli tu,wakaja kumiliki Hilux roho ya paka/Mitsubishi l200 enzi hizo ikiitwa 'TZJ' mpk Sasa wapo huko kwny class 2 useme wamekariri?

Bahati mbaya au nzuri kila gari wanayoitaka Wana afford na Gari za kitozi wananunuliaga wake zao/michepuko Yao.Nenda tu hapo kwny SGR kaangalie Sub-Contractors wanatumia magari gani.Na hata waturuki wenyewe walipofanya leasing wamechukua Nissan,Toyota ndio zimejaa huko.Hakuna Ford/BMW/Mercedes/Audi/Volvo Wala nini.

Majuzi tulikua na mkutano mwingine Iringa huko,tuna wapuliza Kama kawa tu Maana ndio furaha yetu hela inapatikana kwa jasho.😄😄😄
 
3-series ipi asee mnafanisha na IST mbona mnatulosea adabu wajerumani ... hizi kama hizi ndio mnaringanisha na IST kweliii
View attachment 2023715View attachment 2023716
😄😄😄 M-series ngapi umeziona bongo?

Bongo hapa zimejaa E-46 ambazo Bei zake Ni sawa na IST tu,ukija hapo Kwny E-90 zipo zipo kwa mbaali,F-series Ni za kuhesabu tu.Sasa weka M-version za hizo Gari ndio utakuta nchi nzima hata kumi hazifiki 😄😄😄
 
😄😄😄 wakandarasi hawahawa walioanza shughuli zao from the bottom class 7 huko wakiwa na toroli tu,wakaja kumiliki Hilux roho ya paka/Mitsubishi l200 enzi hizo ikiitwa 'TZJ' mpk Sasa wapo huko kwny class 2 useme wamekariri?

Bahati mbaya au nzuri kila gari wanayoitaka Wana afford na Gari za kitozi wananunuliaga wake zao/michepuko Yao.Nenda tu hapo kwny SGR kaangalie Sub-Contractors wanatumia magari gani.Na hata waturuki wenyewe walipotaka kukodisha magari ya kazi wamechukua Nissan,Toyota ndio zimejaa huko.Hakuna Ford/BMW/Mercedes/Audi/Volvo Wala nini.

Majuzi tulikua na mkutano mwingine Iringa huko,tuna wapuliza Kama kawa tu Maana ndio furaha yetu hela inapatikana kwa jasho.😄😄😄
Aseee, 😀😀😀 Iringa niliona mbali sanaaa. Vipulizio vya huko iringa pia havikunichochea sana kuja kuvipulizaa 😀😀😀.. Bongo watu wana ugonjwa wa Toyota na Nissan ... kidogo sasa hivi tunahamaia Amarok kama gari za field mdogo mdogo tutabadirisha mfumo .. Wakandarasi na V8 wanataka heshima, leo unaweza paki pale kabisa GLE AMG 63 na mwingine na Harrier tako la nyani au V8 wewe mwenye GLE wakakufanisha na kigari kitoto
 
Aseee, 😀😀😀 Iringa niliona mbali sanaaa. Vipulizio vya huko iringa pia havikunichochea sana kuja kuvipulizaa 😀😀😀.. Bongo watu wana ugonjwa wa Toyota na Nissan ... kidogo sasa hivi tunahamaia Amarok kama gari za field mdogo mdogo tutabadirisha mfumo .. Wakandarasi na V8 wanataka heshima, leo unaweza paki pale kabisa GLE AMG 63 na mwingine na Harrier tako la nyani au V8 wewe mwenye GLE wakakufanisha na kigari kitoto
😄😄😄 Na Kuna mikoa hapa bongo hata ukienda na Audi RS6 mwingine akaja na tako la nyani mwenye tako la nyani ataheshimika Saana maana wao wanajuaga Gari ya juu Ni superior kuliko Gari ya chini 😄😄
 
Back
Top Bottom