I mean tech ya zamani kwenye toyota sio kwenye engines. Engines zao kitambo tu zina sensors za emmissions. Ujue Lexus zina share same engines na toyota na zinauzwa Europe, Toyota ni maamuzi tu wamefanya kwamba model hii tutauza wapi na wapi. Wanajua kuwa huwezi kupeleka LC300 Europe ukauza same price na RR. Watu watachukua RR tu na sio kwamba ana struggle kumeet izo emmission standards.
Tech ya zamani mfano kwenye suspensions watatumia zile zile za zamani wakati wenzake kina RR unakuta wanatumia Air Suspension. Sunroof utakuta hio hio unayoiona kwenye crown inatumika kwenye v8 zao wakati wenzake RR wana panoramic roof. Ukija interiors ndo usiseme, layout ya dashboard na vitu vyake ni kama zamani tu. If it doesnt break dont fix it, ndio toyota hao. Crown ya 2010 haifui dafu kwa BMW 7 series 2002 in terms of features na uluxury na ndio crown unaambiwa flagship.
Most of snesors sio kwamba ni for emmissions, nyengine ni za kucheki uzima wa gari, suspension, gearbox. n.k
Nikasema kuwa toyota kwenye kushindana na german cars kamwachia Lexus