Bin Zubeiry ni mchonganishi

Bin Zubeiry ni mchonganishi

Kocha - Joseph Omog Wachezaji wote watakaowatumia katika msimu wa 2016/2017. Magolikipa: 1. Vincent De Paul Angban* 2. Peter Mandira 3. Denis Dennis Beki wa kulia: 4. Hamadi Juma: Coastal Union 5. Salum Kimenya: Prisons Beki wa kushoto: 6. Mohamed Hussein 7. Abdi Bandai Mabeki wa kati: 8. Novaty Lufunga 9. Juuko Murushid* 10. Emmanuel Simwanza- Mwadui FC 11. Janvier Besala Bokungu* Viungo: 12. Jonas Mous 13. Awadh Juma 14. Justice Majabvi* 17. Saidi Ndemla 18. Mwinyi Kazimoto 19. Mzamiru Yassin: M.Sugar 20. Mohamed Ibrahim: M.Sugar 21. Mussa Ndusha* Winga: 22. Peter Mwalyanzi 23. Jamal Mnyate – Mwadui 24. Shiza Kichuya – M. Sugar 25. Hassan Kabunda- Washambuliaji: 26. Ibrahim Hajibu 27. Daniel Lyanga 28. Haji Ugando 29. Mbaraka Yusuf – K.Sugar 30. Laudit Mavugo 31. Blagnon Goue Frederic * 32. Ame Ali – Azam FC 33. Method Mwanjari* Nimejaribu kupekua pekua na kuunga unga naona wachezaji wanazidi..mfano wenyenyota wanaonekana wako 8 huku tukitakiwa kuwa nao 7 na jumla ya wachezaji ni 33 huku tukitakiwa kuwa nao 30 yaani wasizidi...bado nahitaji msaada nijue chama langu maana mwaka huu ninaimani nalo sana tu
Hapo ni kazi Tu!
 
Back
Top Bottom