Kocha - Joseph Omog Wachezaji wote watakaowatumia katika msimu wa 2016/2017. Magolikipa: 1. Vincent De Paul Angban* 2. Peter Mandira 3. Denis Dennis Beki wa kulia: 4. Hamadi Juma: Coastal Union 5. Salum Kimenya: Prisons Beki wa kushoto: 6. Mohamed Hussein 7. Abdi Bandai Mabeki wa kati: 8. Novaty Lufunga 9. Juuko Murushid* 10. Emmanuel Simwanza- Mwadui FC 11. Janvier Besala Bokungu* Viungo: 12. Jonas Mous 13. Awadh Juma 14. Justice Majabvi* 17. Saidi Ndemla 18. Mwinyi Kazimoto 19. Mzamiru Yassin: M.Sugar 20. Mohamed Ibrahim: M.Sugar 21. Mussa Ndusha* Winga: 22. Peter Mwalyanzi 23. Jamal Mnyate – Mwadui 24. Shiza Kichuya – M. Sugar 25. Hassan Kabunda- Washambuliaji: 26. Ibrahim Hajibu 27. Daniel Lyanga 28. Haji Ugando 29. Mbaraka Yusuf – K.Sugar 30. Laudit Mavugo 31. Blagnon Goue Frederic * 32. Ame Ali – Azam FC 33. Method Mwanjari* Nimejaribu kupekua pekua na kuunga unga naona wachezaji wanazidi..mfano wenyenyota wanaonekana wako 8 huku tukitakiwa kuwa nao 7 na jumla ya wachezaji ni 33 huku tukitakiwa kuwa nao 30 yaani wasizidi...bado nahitaji msaada nijue chama langu maana mwaka huu ninaimani nalo sana tu