Binadamu ambaye hajaoga kwa miaka 50 afariki akiwa na miaka 94

Binadamu ambaye hajaoga kwa miaka 50 afariki akiwa na miaka 94

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1666714875840.png

Amou Haji aliyetajwa na vyombo vya habari kuwa "mtu mchafu zaidi duniani" amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94, ikiwa ni miezi michache tu baada ya kunawa kwa mara ya kwanza katika miongo kadhaa.

Amou alikuwa amekataa kutumia sabuni na maji kwa zaidi ya nusu karne, akihofia ingemfanya mgonjwa.

Raia huyo wa Iran, ambaye aliishi katika jimbo la kusini la Fars, aliepuka majaribio ya hapo awali ya wanakijiji kutaka kumsafisha.

Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA la Iran, aliugua muda mfupi na baadaye ufariki siku ya Jumapili.

==========================

In a previous interview, given to the Tehran Times in 2014, he revealed his favorite meal was porcupine, and that he lived between a hole in the ground and a brick shack built by concerned neighbors in the village of Dejgah.

He told the outlet at the time his unusual choices were down to "emotional setbacks" when he was younger.

Years of not bathing had left him with skin covered in "soot and pus", IRNA said, while his diet had consisted of rotten meat and unsanitary water drunk from an old oil can.

He was also fond of smoking, being pictured on at least one occasion puffing on more than one cigarette at once.

Attempts to bathe him, or offer him clean water to drink, made him sad, the news agency said.

However, whether he holds the record for having gone the longest without taking a bath has been a matter of some debate. Back in 2009, there were reports of an Indian man who had - at that point - not washed or brushed his teeth for 35 years. What had happened to him since was not immediately clear.

BBC
 
Amou Haji alikuwa amekataa kutumia sabuni na maji kwa zaidi ya nusu karne, akihofia ingemfanya kuwa mgonjwa.

Raia huyo wa Iran , ambaye aliishi katika jimbo la kusini la Fars, aliepuka majaribio ya hapo awali ya wanakijiji kutaka kumsafisha.

Lakini, kulingana na vyombo vya habari vya ndani, Haji hatimaye alikubali shinikizo na kuoga miezi michache iliyopita.

Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA la Iran, aliugua muda mfupi baadaye na kufariki siku ya Jumapili.

Katika mahojiano ya awali, yaliyotolewa na gazeti la Tehran Times mwaka 2014, Haji alifichua chakula anachopenda zaidi ni nungu, na kwamba aliishi kati ya shimo ardhini na kibanda cha matofali kilichojengwa na wakaazi wa kijiji cha Dejgah.

Aliiambia kituo hicho kwamba uamuzi wake ulitokana na vikwazo vya kihisia wakati alipokuwa mtoto mdogo.

Kutooga kwa miaka mingi kulimwacha akiwa ngozi yake imezibwa na tope na usaa, IRNA ilisema, huku chakula chake kikiwa nyama iliooza na maji chafu .



Mjomba Haji kama alivyojulikana alihuzunika kila alipotakiwa kuoga

Haji hakujulikana kuwa na familia , lakini wanakijiji walijaribu kumuangalia.

Pia alikuwa akipenda kuvuta sigara, akipigwa picha angalau mara moja akivuta sigara zaidi ya mara moja.

Jaribio la kumuogesha, au kumpa maji safi ya kunywa, lilimhuzunisha, shirika hilo la habari lilisema.

Hata hivyo, iwapo anashikilia rekodi ya kukaa muda mrefu zaidi bila kuoga limekuwa suala la mjadala.

Mnamo 2009, kulikuwa na ripoti za mwanamume wa India ambaye - wakati huo - hakuosha au kupiga mswaki kwa miaka 35.

Kilichomtokea tangu wakati huo hakikufahamika mara moja.
 
Amou Haji alikuwa amekataa kutumia sabuni na maji kwa zaidi ya nusu karne, akihofia ingemfanya kuwa mgonjwa.

Raia huyo wa Iran , ambaye aliishi katika jimbo la kusini la Fars, aliepuka majaribio ya hapo awali ya wanakijiji kutaka kumsafisha.

Lakini, kulingana na vyombo vya habari vya ndani, Haji hatimaye alikubali shinikizo na kuoga miezi michache iliyopita.

Kwa mujibu wa shirika la habari la IRNA la Iran, aliugua muda mfupi baadaye na kufariki siku ya Jumapili.

Katika mahojiano ya awali, yaliyotolewa na gazeti la Tehran Times mwaka 2014, Haji alifichua chakula anachopenda zaidi ni nungu, na kwamba aliishi kati ya shimo ardhini na kibanda cha matofali kilichojengwa na wakaazi wa kijiji cha Dejgah.

Aliiambia kituo hicho kwamba uamuzi wake ulitokana na vikwazo vya kihisia wakati alipokuwa mtoto mdogo.

Kutooga kwa miaka mingi kulimwacha akiwa ngozi yake imezibwa na tope na usaa, IRNA ilisema, huku chakula chake kikiwa nyama iliooza na maji chafu .



Mjomba Haji kama alivyojulikana alihuzunika kila alipotakiwa kuoga

Haji hakujulikana kuwa na familia , lakini wanakijiji walijaribu kumuangalia.

Pia alikuwa akipenda kuvuta sigara, akipigwa picha angalau mara moja akivuta sigara zaidi ya mara moja.

Jaribio la kumuogesha, au kumpa maji safi ya kunywa, lilimhuzunisha, shirika hilo la habari lilisema.

Hata hivyo, iwapo anashikilia rekodi ya kukaa muda mrefu zaidi bila kuoga limekuwa suala la mjadala.

Mnamo 2009, kulikuwa na ripoti za mwanamume wa India ambaye - wakati huo - hakuosha au kupiga mswaki kwa miaka 35.

Kilichomtokea tangu wakati huo hakikufahamika mara moja.
The guy[emoji3578][emoji3578]
c514b890-5480-11ed-ac87-630245663c6a.jpg.jpg
7cf9b4c0-5480-11ed-ac87-630245663c6a.jpg.jpg
 
Back
Top Bottom