Binadamu anaenda kukosa ajira kabisa kwakuwa teknolojia imetawala, kama uwepo wa maroboti

Binadamu anaenda kukosa ajira kabisa kwakuwa teknolojia imetawala, kama uwepo wa maroboti

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Tunapenda sana ushabiki ila bila kufahamu tunachokishabikia kina faida zipi na hasara zipi. Tuko na Watanzania ndezi wengi sana kila kitu kinaonekana ni bora. Any way...

Tunalia na ajira kwa kiwango kikubwa kwasasa na bado robot sio nyingi nchini Tanzania je¡ zikishika atamu hali itakuwaje na asilimia ya wabongo wengi wanawaza kuajiliwa na sio kujiajiri.

Tanzania tunawatumwa wengi na wengi wao ndo hao wanaosema wamesoma sijui wamesoma nini? kulipwa 10m mshahara we nikapuku... baada ya kustaafu mnakufa na presha. Acha ubishi jifunze, acha utumwa.

Maoni ya Mwanajukwaa
Kama technology itatupatia nyumba za bure na chakula cha bure, naona ije tuu na hizo kazi za kuajiriwa zipotee tuu, maana sasa hivi 99% ya watu duniani wanafanya kazi ili wale na kupata sehemu za kulala, na kama technology haitaweza kutuletea chakula na nyumba za bure basi binadamu itabidi tuendelee kuingia chimbo ili tuishi
 
Inaonekana hupendi mambo ya teknolojia weye 😂😂

Inaonekana hujui sababu za kukua kwa teknolojia kijana 😁

Jitahidi uzikwepe hizi hazipo kwaajili yako😂
 
Inaonekana hupendi mambo ya teknolojia weye 😂😂

Inaonekana hujui sababu za kukua kwa teknolojia kijana 😁
sio kwamba sipendi technology, make mpaka sasa natumia technology . Elewa hoja kijana
 
sio kwamba sipendi technology, make mpaka sasa natumia technology . Elewa hoja kijana
Nimeelewa vizuri na naelewa fika ukuaji wa teknolojia impact yake kwenye ajira inaweza kuwa Negative

Sasa unatoa solution gani?
Tuache kutumia hizi teknolojia? Tusizishobokee? Au tufanyaje?

Maana hoja yako haionekani zaidi ya kulalama tu hapo 😁
 
Nimeelewa vizuri na naelewa fika ukuaji wa teknolojia impact yake kwenye ajira inaweza kuwa Negative

Sasa unatoa solution gani?
Tuache kutumia hizi teknolojia? Tusizishobokee? Au tufanyaje?


Maana hoja yako haionekani zaidi ya kulalama tu hapo 😁
Ambazo hazina maana achana nazo. Ila kwa karne 21 ngumu kwakuwa mambo yako less .


Nimeelewa vizuri na naelewa fika ukuaji wa teknolojia impact yake kwenye ajira inaweza kuwa Negative

Sasa unatoa solution gani?
Tuache kutumia hizi teknolojia? Tusizishobokee? Au tufanyaje?


Maana hoja yako haionekani zaidi ya kulalama tu hapo 😁
 
Kama technology itatupatia nyumba za bure na chakula cha bure, naona ije tuu na hizo kazi za kuajiriwa zipotee tu, maana sasa hivi 99% ya watu duniani wanafanya kazi ili wale na kupata sehemu za kulala, na kama technology haitaweza kutuletea chakula na nyumba za bure basi binadamu itabidi tuendelee kuingia chimbo ili tuishi
 
Kama technology itatupatia nyumba za bure na chakula cha bure, naona ije tuu na hizo kazi za kuajiriwa zipotee tuu, maana sasa hivi 99% ya watu duniani wanafanya kazi ili wale na kupata sehemu za kulala, na kama technology haitaweza kutuletea chakula na nyumba za bure basi binadamu itabidi tuendelee kuingia chimbo ili tuishi
#hakika
 
Kama hutataka kukifunza kuhusu tecknolonia mpya, wale wanaojifunza ndio watachukua nafasi yako na sio robot kama unavyodai
 
Back
Top Bottom