Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Binadamu ni kiumbe wa pekee ulimwenguni anayeyatawala mambo yote yasiyoonekana na yanayooneka, mimi huamini binadamu ni kiumbe na muumbaji, kwangu Mungu ni dhana tu.

Binadamu anaouwezo wa kukata uhai wake bila kutumia zana,kuugua,sumu ama chochote kile chenye kudhuru mwili hata kufa.

Kwakutumia akili yake tu anauwezo wakukiita/kukikaribisha kifo na kikamfika ndani ya masaa yasiyozidi 24, Zingatia kwakutumia "akili" yake tu, sio elimu yake. Fikra ya mwanadamu ni sumaku na hivyo ni kweli mwanadamu anao uwezo wa kukiita kifo na kikamjia; ila kinacho weza kucheleweza masaa kadhaa ndani ya uwezo wake ni namna gani kifo hicho kitatokea. Sumaku yake inapokivuta kifo nguvu za asili zinayachanganya mazingira yote yanayowezekana na kukusanya kimbunga za maguvu yatakayokifanya kifo kitokee kwa jinsi yake. Tembelea www.quasserer.com

Haya sio ya leo bali tangu karne ya 5 mpaka karne hii ya 21 yanatukia katika maisha ya mwanadamu.

Jamii za kiafrika na Asia ndizo huitumia sana dhana hii.
 
Hizi habari za kifo zinanapana yake ukiamua kuzifatilia ki undani utakosa raha.
 
zito ni jembe. chadema bila zito inayumba sana, chadema bila zito ni sawa na gari bila injini. chadema imejengwa kwa misingi ya udini, ukabila ,na ukanda. chadema ina laana ya watanzania...
 
zito ni jembe. Chadema bila zito inayumba sana, chadema bila zito ni sawa na gari bila injini. Chadema imejengwa kwa misingi ya udini, ukabila ,na ukanda. Chadema ina laana ya watanzania...
wewe ukoje?, nahisi kuna fyuzi fulani imekatika kwenye kichwa chako.
 
Binadamu ni kiumbe wa pekee ulimwenguni anayeyatawala mambo yote yasiyoonekana na yanayooneka, mimi huamini binadamu ni kiumbe na muumbaji, kwangu Mungu ni dhana tu.

Binadamu anaouwezo wa kukata uhai wake bila kutumia zana,kuugua,sumu ama chochote kile chenye kudhuru mwili hata kufa.

Kwakutumia akili yake tu anauwezo wakukiita/kukikaribisha kifo na kikamfika ndani ya masaa yasiyozidi 24, Zingatia kwakutumia "akili" yake tu, sio elimu yake.

Haya sio ya leo bali tangu karne ya 5 mpaka karne hii ya 21 yanatukia katika maisha ya mwanadamu.

Jamii za kiafrika na Asia ndizo huitumia sana dhana hii.

Kupoteza jimbo la Kalenga kwa kishindo kikuu, huku matumaini ya kuendelea kusimama yakiwa yanayoyoma kunaanza kufanya Yericko uweweseke mchana!

Na huu ni mwanzo tu wa anguko la genge la wachumia tumbo!

Wewe kazi yako si kuandika habari za kinafiki za kupamba genge lako!

Haya unayoyandika yametoka wapi? Na tangu lini?

Ngoja tusubiri kidogo CCM Charinze itwae ubingwa tena. Mwaka huu CDM full kubwabwaja tu.
 
Kupoteza jimbo la Kalenga kwa kishindo kikuu, huku matumaini ya kuendelea kusimama yakiwa yanayoyoma kunaanza kufanya Yericko uweweseke mchana!

Na huu ni mwanzo tu wa anguko la genge la wachumia tumbo!

Wewe kazi yako si kuandika habari za kinafiki za kupamba genge lako!

Haya unayoyandika yametoka wapi? Na tangu lini?

Ngoja tusubiri kidogo CCM Charinze itwae ubingwa tena. Mwaka huu CDM full kubwabwaja tu.

Hii mada umeielewa kweli???
 
Hii mada umeielewa kweli???

Mada iko bayana.

Nachosema nikuwa siyo kawaida yako, na siyo haki kwako kuanza kujadili mambo tofauti na habari za CDM na hasa wakati huu ambapo chama kinawayawaya.

Nadhani kwa wakati huu ambacho chama chako kinapigwa mweleka kwenye chaguzi mbalimbali, ulitakiwa ujikite zaidi kwenye mambo ya chama.
 
Mada iko bayana.

Nachosema nikuwa siyo kawaida yako, na siyo haki kwako kuanza kujadili mambo tofauti na habari za CDM na hasa wakati huu ambapo chama kinawayawaya.

Nadhani kwa wakati huu ambacho chama chako kinapigwa mweleka kwenye chaguzi mbalimbali, ulitakiwa ujikite zaidi kwenye mambo ya chama.

Mimi ni nani mpaka niwe namipaka ya haya?
 
zito ni jembe. chadema bila zito inayumba sana, chadema bila zito ni sawa na gari bila injini. chadema imejengwa kwa misingi ya udini, ukabila ,na ukanda. chadema ina laana ya watanzania...

Tobaaaaa........!!!!!!
We jamaa uko sawa kweli?
 
Ningeomba mifano miwili au mitatu juu ya maandiko yako Yericko Nyerere watu waliotumia akili wakajiua within 24 hrs without external forces

Nikikupa mfano utataka kwa wale wanaofahamika, mimi nitakuwa wakawaida kabisa, Yur Gupta, Anna Mdapo, na wengineo wengi
 
Last edited by a moderator:
Ningeomba mifano miwili au mitatu juu ya maandiko yako Yericko Nyerere watu waliotumia akili wakajiua within 24 hrs without external forces

Mkuu Yericko Nyerere, naomba niungane na Sizinga kuomba mifano michache tu, najua unayo mingi kama hii kitu inafanya kazi kuanzia karne ya 5 hadi 21, najua haitakua taabu kuipata mifano japo kwa uchache.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Yericko Nyerere, naomba niungane na Sizinga kuomba mifano michache tu, najua unayo mingi kama hii kitu inafanya kazi kuanzia karne ya 5 hadi 21, najua haitakua taabu kuipata mifano japo kwa uchache.

Sorry sikuiona hiyo mifano uliyoitoa mkubwa, hawa ni wa karne ipi, na kuna ushahidi gani kwamba walikiita kifo? Au siku hizi binadamu ana black box kama ya ndege?


Nikikupa mfano utataka kwa wale wanaofahamika, mimi nitakuwa wakawaida kabisa, Yur Gupta, Anna Mdapo, na wengineo wengi
 
Sorry sikuiona hiyo mifano uliyoitoa mkubwa, hawa ni wa karne ipi, na kuna ushahidi gani kwamba walikiita kifo? Au siku hizi binadamu ana black box kama ya ndege?

Kupuma maranyingi huwa mpaka mtu augue, katika vifo vya aina hii hupimwa mwili wa marehemu, na huwezi ona ugonjwa uliomuua marehemu
 
Back
Top Bottom