Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

mwanadamu ana uungu wa kuumba kitu kipitia kinywa chake
anaumba na anaharibu pia
 
Binadamu ni kiumbe wa pekee ulimwenguni anayeyatawala mambo yote yasiyoonekana na yanayooneka, mimi huamini binadamu ni kiumbe na muumbaji, kwangu Mungu ni dhana tu.

Binadamu anaouwezo wa kukata uhai wake bila kutumia zana,kuugua,sumu ama chochote kile chenye kudhuru mwili hata kufa.

Kwakutumia akili yake tu anauwezo wakukiita/kukikaribisha kifo na kikamfika ndani ya masaa yasiyozidi 24, Zingatia kwakutumia "akili" yake tu, sio elimu yake.

Haya sio ya leo bali tangu karne ya 5 mpaka karne hii ya 21 yanatukia katika maisha ya mwanadamu.

Jamii za kiafrika na Asia ndizo huitumia sana dhana hii.

Haya jiue tupate kuaminisha uyasemayo, bila hivyo, inaonesha mambo ya madiwani (chopa tatu madiwani watatu) halafu Kalenga na ukifikiria Chalinze unaweweseka kama ulivyoambiwa juu huko.

Nna uhakika bangi ya leo ni ile inayoleta uchizi.
 
Haya jiue tupate kuaminisha uyasemayo, bila hivyo, inaonesha mambo ya madiwani (chopa tatu madiwani watatu) halafu Kalenga na ukifikiria Chalinze unaweweseka kama ulivyoambiwa juu huko.

Nna uhakika bangi ya leo ni ile inayoleta uchizi.

Kashapata Cha Arusha, kile Lema alizuia vijana wake wasiwauzie wananchi wa Kalenga, ikabidi kiwe kinavutiwa kambini.
 
mwee! hii mada ngumu kwangu ngoja niishie kuwa msomaji tu!
 
Mkuu Yericko,uhai wa huyu binadamu hapa duniani unategemeana na viumbe na mazingira yake.Tunaishi juu ya dunia.Tunakula vyakula toka kwenye mimea.Tunakunywa maji.Tunavuta hewa ambayo bila kuivuta hatuwezi kuishi.Tunaona na viumbe wengine wakiishi kwa sababu somewhere in history somebody created all this.Na hivi vyote binadamu hadi leo kashindwa kuviumba.Yeye pamoja na vyote vilivyoijaza dunia vimekaa kwa mpangilio fulani wa kisayansi na kutegemeana katika namna ambayo inadhihirisha scientifically chanzo cha maumbile haya ni superior kuliko any of the created being.Kushindwa kwetu kuelewa vizuri chanzo hiko haimaanishi kwamba hakipo.Hakuna namna ya kuondoa uwezekano wa chanzo hicho,tutazidi kuifanya equation iwe ngumu kuwa solved kabisa.Hakuna namna ya kuigeuza equation ukasema binadamu ambaye ni sehemu ya maumbile,ndiye ameumba,unaongeza maswali zaidi yenye logic isiyoendana na uhalisia wa sayansi ya uumbaji.Frustrations za binadamu kushindwa kulijibu swali la "Mungu ni nani na yukoje" lisitufanye kujiongezea matatizo zaidi kwa kusema "There is no God".Hiyo itakuwa ni negligence ya hali ya juu kwa sayansi ambayo tayari inamanifest something extraodinary beyond our limit.What is beyond that limit?Kujibu swali hili inahitaji sisi wenyewe kwenda nje ya limit kitu ambacho tunaona hakiwezekani.Lakini mie nauliza,nani ajuaye,huenda tunao uwezo wa kupush beyond limit isipokuwa tu we are not in a required path,who knows?ni lazima tuhangaike kujua kile ambacho uumbaji unatuambia.Niitazamapo dunia na yaliyomo,naona kama a certain silent music wenye mpangilio fulani ambao tunahitaji speaker zenye teknolojia ya kutufanya tusikie kila ala inayopigwa ili tujue ni muziki wa aina gani na muziki huu wa kisayansi unamwelezea anayeupiga.Kwa jinsi dunia ilivyoumbwa na viumbe wake,kusema kwamba hakuna Mungu au mungu ni mmojawapo wa viumbe waliomo duniani,ni uvivu wa kutokutaka kuipita njia ngumu ya kugundua mambo makubwa na mazito beyond us.You can see it even in classes,ni rahisi kumshawishi mwanafunzi akae anapiga story tuu kuliko mfululizo wa vipindi vya kujifunza especially masomo magumu.You remind me of my days in school,somo la physics na Mathematics watu walikuwa wakijaa darasani na hata hawasinzii,when it came to a certain very complex subject known as basic electricity,watu walikuwa wanajaa kwa sababu mwalimu alikuwa mzuri na mwenye vituko vya kuchangamsha watu lakini alikuwa akimaliza vituko vyake na kuanza kushusha nondo,pamoja na ufundishaji mzuri wa kueleweka tofauti na wale wa physics and Maths bado watu walisinzia,wachache tusiolala tulimsikiliza na kumwelewa vizuri tu.Ni mfano nimetoa wa kile kinachoendelea katika struggle ya binadamu kujielewa mwenyewe na aliyemuumba.Kuna facts nyingi sana zinazotusuta kukataa uwepo wa Mungu lakini tunahitaji kutuliza akili na kuwa na mental discipline fulani ili kusoma na kupata ufahamu huo kwani si jambo la mazungumzo ya walevi bar!Kilichotuumba hakiko kama sisi,ni superior zaidi,hivyo kujifunza kukijua inahitaji muda na dedication na maarifa makubwa!Na hatuwezi kukijua kama wenyewe hatujijui 100%.Mkuu Yericko nikuulize swali bwana,vipi,nikichukua kisu na kukuchinja shingo yako unaweza kukataa kufa ukabaki unaishi bila shingo?au ukameditate na kuiunga shingo yako uendelee kuishi?we si muumbaji bwana!kama unaweza please niPM nakuja sasa hivi hapo,just make sure unanielekeza vizuri ulipo,usije ukanidanganya na kupata kisingizio eti nimechelewa ha ha haa!
 
Yericko Nyerere, chama si binaadam, ikiwa mmeweza kuiua chadema kwa kuwaondoa binaadam makini kwenye chama usifikiri kuwa na binaadam ni vivyo hivyo.

Poleni sana naona mzimu wakujiua umewakaa.


Nimekwambia juu huko, jiue basi ili utuhakikishie kuwa kweli unaweza. Wacha blah blah blah.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mfano kuhusu uduni wa elimu yetu (kama tunakubaliana kwamba elimu yetu ni duni):

Mimi nafikiri kwamba tumewekeza sana katika elimu katika sections nyingi lakini tukaacha walimu. Matokeo yake ualimu imekuwa ni sector ambayo wanaoenda huku ni wale ambao walishindwa kupata marks za kwenda kusoma fani zingine. So, teaching profession has never been able to attract the best minds. How can we improve our teaching and learning kama the best minds haziendi kufundisha? Hivyo basi tunahitaji kufanya kama walivyofanya Korea ambapo ni kuhakikisha kuwa:

i) ualimu inakuwa ni profession inayolipwa mshahara mkubwa kuliko fani zengine zote katika taasisi za serikali

ii) asilimia angalau 5 ya waliofaulu vizuri wanaenda kusomea ualimu wa sayansi, lugha na hesabu

iii) tunakuwa na vyuo maalumu vya ualimu ambavyo vipo didicated kufundisha masomo ya lugha (kiingereza kikitiliwa mkazo) na hesabu. Haya masomo mawili ndiyo ambayo vijana wanaomaliza katika sekta zetu za elimu wapo hoi sana ukilinganisha na wengine katika ukanda wetu.

Baada ya hilo la ualimu, tupige hatua zaidi. Kwamba lugha za Kiingereza na Kiswahili zinafundishwa concurently kuanzia shule ya msingi na walimu ambao watakuwa wampepikwa vizuri hapo juu. Kiingereza pia kinakuwa ni moja ya lugha za mawasiliano katika jamii yetu sambamba na Kiswahili.

Watoto wakifika secondari, wapewe option za kuendelea na masomo kwa kutumia Kiswahili au Kiingereza. At the end of the day, tutakuwa na wanafunzi wanaojua lugha zote mbili kama lugha za mawasiliano, na kunakuwa na makundi ya wanafunzi wanaojua Kiingereza kama lugha ya taaluma na wengine Kiswahili kama lugha ya taaluma vilevile.

You see, these are some of what I call radical proposals ambazo tunaweza kuwauzia wanasiasa wakaweka kwenye sera za vyama vyao. Tukishakubaliana haya mawazo hapa yakawa ya JF, basi tunakubaliana kuwa chama kitakachoyakubali mawazo yao tutakiunga mkono katika uchaguzi. Sasa wengine mnasema tuliwahi kutoa radical proposals, lini? Mimi ni mkongwe katika forum hii, na siku zote tumenyooshea tu wanasiasa vidole. Twende mbele, leteni mawazo.

It is always easier to criticise than to propose. This forum is fuller of criticisms than proposals! We want to reverse the trend, so that it becomes a kisima where people who make decisions for our country can come and fetch our talents, wisdom and intellect. Our criticism then should always go along with radical and revolutionary proposals.

Ongeza anauweza wa kukikataa kifo pia na akaweza!
 
Back
Top Bottom